casanova69
JF-Expert Member
- Sep 14, 2015
- 2,361
- 2,166
Sasa si bora ukajikita facebook na Nguvu ya JF ipo kwenye hizi ID za kificho zinatupa uhurukwa maoni yangu
1.kila mtu atajiheshimu zaidi na atawaheshimu wenzake.
2. itapunguza ban kwa sababu kila mmoja ataepuka kutumia lugha zisizo faa...
Kwhy bwashemeji mbona sioni alama ya verified kwako hapo...Waoga wa kuwa verified ni wale waliozea kutukana mitandaoni, matapeli,wezi na malaya.
Waoga wa kuwa verified ni wale waliozea kutukana mitandaoni, matapeli,wezi na malaya.
Kwa mtu mzima anayejielewa ambaye anaichukulia Jamiiforums kwa heshima na staha. Ambaye siku zote ana michango chanya, mwenye kukubali kukosolewa na anayejua kuhandle mijadala kuwa verified ni nafuu zaidi kwake...
UmefuaraahiiiWell done JamiiForums team
Wewe ni mimi kabisaMmh kikubwa niko JF tu inatosha . Haya mengine niya ziada tu
Edit name uniwekee mwenyewe kwanzi kwenye emoj ya cm si ipo?Mimi nataka kupewa Blue [emoji736] au crown kama hiyo yako mkuu. Ni bei gani?
Safi sanaBujibuji is a verified user
Niko kwenye process Mkuu.Kwhy bwashemeji mbona sioni alama ya verified kwako hapo...
Halafu hiyo Ni option mkuu ataye na afanye ...toka lini mtawala wa Afrika akapenda kukosolewa!!!
Kama mtu anakamatwa kwa sababu ya kuvaa litisheti ambalo ht halina effects kwa maisha ya maskini...
Kuna faida kubwa tunazozipata kupitia anonymous code ...
Wenye matusi Humu wanachukuliwa hatua ..kwhy usilete hoja nyepesi za kihafidhina...
Ndo ujue kuwa sio kila kitu cha kukiweka mitandaoni.Tatizo unawaza vitu negative tu kama matusi na ushamba, fikiria kuhusu 'nyeti' za kiserikali au hata waajiri wetu tunazozishusha humu….. ukiwa verified utawezana?
Ndo ujue kuwa sio kila kitu cha kukiweka mitandaoni.
Taarifa binafsi za ofisini unaziweka public ili iweje?
Hata kama kuna tatizo bado hailalishi ww kuweka siri za ofisi yako public kwa minaajili ya kupata msaada.
Huna uhuru wa kukoment nyuzi za kula tunda kimasihara na real name😂Imekaa vizuri
Sawa bro haina neno ....Niko kwenye process Mkuu.
Ww ni muoga tu kama waoga wengine, Kama unajua haki zako kwann uogope? Kama unaweza kumkosoa mtu bila kumvunjia heshima kwann uogope?