Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na umaskini pia umesahauTuendelee kuchukua tahadhari korona inaua haswa kwa wale wenye magonjwa kama vile;
1. KISUKARI
2. PRESHA
3. UKIMWI
4. SARATANI
5. TB.
6. UGONJWA WA MOYO
We can’t do such a thing. Mtu verified ana protection hiyo.Shida ukiwa verified inakuwa ni rahisi kwa JF kukufatilia, ikitokea siku umefungua ID mpya ukaandika visivyoeleweka wanakuunganishia ID unaumbuka bora nibaki hivi hivi kuliko kujitia kitanzi cha verification
Kaka nimeona tick nikafurahi mno! shukrani, nataka nisomeke Verified na Platinum, kuna zaidi ya Platinum?We can’t do such a thing. Mtu verified ana protection hiyo.
Tuna Apps 2, hii ina options zote za browser App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizihivi kwann app isiwe na mwonekano rahis kama wa browser jmn
Hakuna mkuu wangu.Kaka nimeona tick nikafurahi mno! shukrani, nataka nisomeke Verified na Platinum, kuna zaidi ya Platinum?
Kuna faida nyingi sana ukiwa verified kuliko kujificha.
Ni hiari sawa ila chondechonde mkuu melo usije ukatubadilikia uko mbeleni ukaja sema ni lazima........Nakuomba sana Maxence Melo please usitufikishe uko
Poleni sana.Kujuanajuana tutajuana kwa namba za simu tutakazopeana PM inatosha kufahamu mpaka sura.
shukran sana mkuuTuna Apps 2, hii ina options zote za browser App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi