Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao

Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao

CCM wanapigana madongo kama vile huyo Magufuli hakuwa mtu wa CCM.

January anasema kweli kuhusu Magufuli, na hakuanza kuongea haya leo, tunayeongea naye tunajua.

Lakini, ukweli huu unaoonesha CCM kuwa ni chama kisicho makini. Kimempitisha mwendawazimu awe rais, halafu kikashindwa kumdhibiti.
Utamdhibiti na katiba inamruhusu!? Utawezaje!?
 
Wazuri hawafi sijui mtaalam wao kaona nini huko maana sahivi wanaropokaropoka tu
 
Jiwe alikuwa mshenzi sana. Asante mhe. January Makamba kwa kulisema hili ili dunia ijue. Na January ndiyo mwanaccm pekee uliyebakia kuwa na akili.

Mhe. January Makamba naomba uende mbali zaidi, kwa kuitaka serikali kifuta kumbukumbu zote za serikali zinazomtambua jiwe kama mmoja wa watu waliowahi kuwa marais nchi hii.
🤣🤣🤣
 
Kweli kabisa ili waonekane wanatenda haki , nchi hii Ina wanafiki wengi sana
Tunahitaji JPM mpya wa kuja kufundisha Adabu maana kwa Sasa tumepoteza dira
 
January jiuzulu maana uchaguzi wa 2020 haukuwa wa haki na wewe ulipita bila kupingwa sababu ya Hila za uchaguzi wa 2020
 
Unawezaje kusema uchaguzi ulikuingiza bungeni haukuwa huru halafu unabaki kung'ang'ania podium na ubunge?
kama kweli unamaanisha kaa pembeni kama alivyowahi kujiuzulu Hayati Mwinyi.Other wise funga mdomo na usifanye watanzania wajinga.

RiP John Pombe Magufuli
Uko sahih
 
Natafakari tu maana mambo mengine huja kama Muujiza

Kama 2020 Uchaguzi haukuwa Huru na Haki na Jaji mkuu ameshafikisha muda wake wa kustaafu, tutampata wapi sisi mtu ambaye Mungu wa mbinguni anakaa ndani yake?

Yawezekana maneno yale hajanena Makamba bali ni Roho Mtakatifu

Nawatakieni Sabato Njema 😄🔥
Kwa kisukuma huwa tunasema alikuwa ‘Anayabhula “ 😅😅🙏
 
Naomba nisimuwekee maneno Makamba.

Maneno aliyoyazungumza ni tuhuma nzito kwa utawala wa Rais Magufuli.
HAKUNA WATU WATAOUNGUZWA NA MOTO MBAYA KAMA WANASIASA TENA HUSUSAN WANASIASA WA TANZANIA.
Hii habari ya kumbeza asiyekuwepo ili kulinda ugali wa aliyekuwepo ni mbaya sana.
Kama mtu angelikua anafufuka huyu Makamba angelizungumza mengine tofauti na haya.
 
Unawezaje kusema uchaguzi ulikuingiza bungeni haukuwa huru halafu unabaki kung'ang'ania podium na ubunge?
kama kweli unamaanisha kaa pembeni kama alivyowahi kujiuzulu Hayati Mwinyi.Other wise funga mdomo na usifanye watanzania wajinga.

RiP John Pombe Magufuli
Yaliyopita si ndwele tugange ya sasa na yajayo 🐒

changamoto zilizopitia ziwe ni fursa ya kutupa ujasiri wa kujisahihisha, kujirekebisha na kujipanga vizuri kwa wakati ujao ili tufanye vizuri zaidi ...

kukata tamaa au kughadhabishwa na maoni na mitazamo ya wengine juu ya yalio pita si muhimu sana 🐒
 
Unawezaje kusema uchaguzi ulikuingiza bungeni haukuwa huru halafu unabaki kung'ang'ania podium na ubunge?
kama kweli unamaanisha kaa pembeni kama alivyowahi kujiuzulu Hayati Mwinyi.Other wise funga mdomo na usifanye watanzania wajinga.

RiP John Pombe Magufuli
Kweli kabisa
Wazuri hawafi sijui mtaalam wao kaona nini huko maana sahivi wanaropokaropoka tu
apumzike kwa amani.

Kweli kabisa ili waonekane wanatenda haki , nchi hii Ina wanafiki wengi sana
Tunahitaji JPM mpya wa kuja kufundisha Adabu maana kwa Sasa tumepoteza dira
Mnadanganyana kwa sababu hamna utamaduni wa kuupenda wala kuuzoea ukweli.
 
Back
Top Bottom