Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao

Januari Makamba adai uchaguzi wa 2020 ulitugawa, watu walifungwa, walinyang'anywa pesa, na waliharibiwa biashara zao

Magufuri kweli alikuwa katili ila ameshakufa na nimuda mrefu umeshapita kuendelea kumuongelea kwa mabaya yake naona kama ni kumsafisha Samia kwa kivuli Cha mabaya ya Magufuri, hii haisaiidii kitu viongozi wanatakiwa wajikite kutuletea maendeleo wananchi huyo Samia naye anatakiwa kukemea huu upuuzi maana hata yeye tutamjaji kwa alichokifanya ktk utawala wake na inawezekana hawa wanaomponda Magu wakaja kumponda na yeye pia.
 
CCM wanapigana madongo kama vile huyo Magufuli hakuwa mtu wa CCM.

January anasema kweli kuhusu Magufuli, na hakuanza kuongea haya leo, tunayeongea naye tunajua.

Lakini, ukweli huu unaoonesha CCM kuwa ni chama kisicho makini. Kimempitisha mwendawazimu awe rais, halafu kikashindwa kumdhibiti.
 
..sasa kwanini Magufuli alichanganya mambo hayo mazuri na dhuluma za kufunga wanasiasa, kuiba uchaguzi, kunyang'anya pesa, kuharibu biashara za watu?
Sasa Mwizi wa mali ya umma unamfanyaje?
Sasa mfanyabiashara aliyezoe fraud kiasi cha kusumbua wananchi mfano kwenye sukari, umeme, bei za bidhaa, wizi wa dhahabu, kukwepa Kodi - HAO UNAWAFANYAJE.

Wanasiasa wajinga wanaoshirikiana na wahujumu uchumi kuvuruga mipango ya Serikali, na kuwa financed na outsiders ili wadestabilize nchi na kuwa influenced na hata mataifa ya nje yanayofaidika na maliasili za nchi -HAWA UNAWAFANYAJE.

Vyama vya mchongo ambavyo unajua kabisa NI frame za biashara either Kwa kupata hela kutoka Kwa Serikali au mashirika ya nje, vyama ambavyo unajua wamagharibi wanamikono yao Kwa manufaa yao na si Watanzania -UTAVIACHA TU VISHINDE UCHAGUZI?
 
Magufuri kweli alikuwa katili ila ameshakufa na nimuda mrefu umeshapita kuendelea kumuongelea kwa mabaya yake naona kama ni kumsafisha Samia kwa kivuli Cha mabaya ya Magufuri, hii haisaiidii kitu viongozi wanatakiwa wajikite kutuletea maendeleo wananchi huyo Samia naye anatakiwa kukemea huu upuuzi maana hata yeye tutamjaji kwa alichokifanya ktk utawala wake na inawezekana hawa wanaomponda Magu wakaja kumponda na yeye pia.

..sio sahihi kusema Magufuli amekufa hivyo uovu wake usisemwe.

..kuna watu wanaendelea kuishi na machungu na vilema vilivyotokana na ukatili wa utawala wa Magufuli.

..njia sahihi ya kufanya ilikuwa ni Rais Samia kuandaa utaratibu wa kuwatambua waathirika wa ukatili wa Magufuli ili taifa liwaombe radhi na kuwafuta machozi.

..Mh.Makamba anasema wako wananchi walifungwa, walinyang'anywa pesa, walivunjiwa biashara. Kwanini wananchi hao hawatambuliwi na serikali ili watendewe haki?
 
Sasa Mwizi wa mali ya umma unamfanyaje?
Sasa mfanyabiashara aliyezoe fraud kiasi cha kusumbua wananchi mfano kwenye sukari, umeme, bei za bidhaa, wizi wa dhahabu, kukwepa Kodi - HAO UNAWAFANYAJE.

Wanasiasa wajinga wanaoshirikiana na wahujumu uchumi kuvuruga mipango ya Serikali, na kuwa financed na outsiders ili wadestabilize nchi na kuwa influenced na hata mataifa ya nje yanayofaidika na maliasili za nchi -HAWA UNAWAFANYAJE.

Vyama vya mchongo ambavyo unajua kabisa NI frame za biashara either Kwa kupata hela kutoka Kwa Serikali au mashirika ya nje, vyama ambavyo unajua wamagharibi wanamikono yao Kwa manufaa yao na si Watanzania -UTAVIACHA TU VISHINDE UCHAGUZI?

..huo ni mtizamo wa Magufuli, na watesaji wenzake.

..mtizamo wa Samia ni kuwa kulikuwa na dhuluma.

..Samia kwasababu anaamini Magufuli alikosea anapaswa kuwaomba radhi waliodhulumiwa.
 
Sikuwahi kumkubali yule dikteta mshenzi kutoka Burundi.

Ila haka kajamaa kalikoiba mtihani kidato cha 4 kanasahau kuwa kenyewe pia ni zao la wabunge wa mtutu walioachwa bungeni na yule dikteta ?

Wizara ya nishati kamefanya dili za kifisadi na wahuni wenzie wameiacha hoi taaban zaidi hata ya walivyoikuta halafu wakahamishwa wizara.
 
Naomba nisimuwekee maneno Makamba.

Maneno aliyoyazungumza ni tuhuma nzito kwa utawala wa Rais Magufuli.
Yeye mwenyewe alinunua Wagombea wengine ili apite bila kupingwa , haaminiki na hatoaminika milele .

2015 alikuwemo kwenye ile ofisi ya masaki kuiba kura , nani atamuamini huyu ? ukiacha kuwa ni mtoto wa kiongozi hakuna chochote unachoweza kuonyesha alichokifanya January Nchi hii tangu azaliwe zaidi ya wizi wa mitihani Galanos

Kwa ufupi ni kwamba ccm yote imeoza , ing'olewe kabisa
 
..sio sahihi kusema Magufuli amekufa hivyo uovu wake usisemwe.

..kuna watu wanaendelea kuishi na machungu na vilema vilivyotokana na ukatili wa utawala wa Magufuli.

..njia sahihi ya kufanya ilikuwa ni Rais Samia kuandaa utaratibu wa kuwatambua waathirika wa ukatili wa Magufuli ili taifa liwaombe radhi na kuwafuta machozi.

..Mh.Makamba anasema wako wananchi walifungwa, walinyang'anywa pesa, walivunjiwa biashara. Kwanini wananchi hao hawatambuliwi na serikali ili watendewe haki?
Wewe
..sio sahihi kusema Magufuli amekufa hivyo uovu wake usisemwe.

..kuna watu wanaendelea kuishi na machungu na vilema vilivyotokana na ukatili wa utawala wa Magufuli.

..njia sahihi ya kufanya ilikuwa ni Rais Samia kuandaa utaratibu wa kuwatambua waathirika wa ukatili wa Magufuli ili taifa liwaombe radhi na kuwafuta machozi.

..Mh.Makamba anasema wako wananchi walifungwa, walinyang'anywa pesa, walivunjiwa biashara. Kwanini wananchi hao hawatambuliwi na serikali ili watendewe haki?
waende
..sio sahihi kusema Magufuli amekufa hivyo uovu wake usisemwe.

..kuna watu wanaendelea kuishi na machungu na vilema vilivyotokana na ukatili wa utawala wa Magufuli.

..njia sahihi ya kufanya ilikuwa ni Rais Samia kuandaa utaratibu wa kuwatambua waathirika wa ukatili wa Magufuli ili taifa liwaombe radhi na kuwafuta machozi.

..Mh.Makamba anasema wako wananchi walifungwa, walinyang'anywa pesa, walivunjiwa biashara. Kwanini wananchi hao hawatambuliwi na serikali ili watendewe haki?
waende mahakamani wakaishitaki serikali. Mambo ya kutaka serikali iwatambue sio sahihi. Hao kina makamba wanaweza kupenyeza watu wao ili walipwe na serikali hela wagawane. Wahuni sio watu. Kama vipi makamba awataje na biashara walizokua wanafanya
 
Wakiguswa wao ndiyo wanajitokeza kuongea wakiteswa wengine wanacheka chinichini. Manafiki haya yasiyo na haya!!! mtaalam wa fitna nawiz kwenye chaguzi!!!
TUNAOMBA uchaguzi ufanyike msimu wa ramadhani na kwaresma zinapogongana labda vibaka watamwogopa Mola
 
Back
Top Bottom