Januari Makamba atapita njia ya Hayati Lowassa katika safari yake ya kisiasa

Januari Makamba atapita njia ya Hayati Lowassa katika safari yake ya kisiasa

Wanaweza kuwa rais wakiamua kama walivyoamua kwa JPM.
Huu ukoo wa makamba na Jpm ni ukoo hatari sana kwa taifa letu..hakuna wanachokiwaza zaidi ya kujilimbikizia mali tu.
Hawa watu inatakiwa wapewe sumu, hawafai kwa ustawi wa taifa
 
Kazi yake ilikiwa kususa, mana akiwa hakubaliani na rais aliepo, humsikii kabisa! Hatujawahi kuwa na waziri wa mambo ya nje kimya namna hii
Huko yupo kimyaaaaa, pengine anatuma watu wamsemee.
 
Halafu kuna wengine wamemshauri akabadili dini awe mkristu kwa vile mama yake ni Mkrist, ili baada ya Samia Muislamu aje yeye na kofia ya Ukristu.

Naunga mkono hoja. Januari Makamba hata kama ataruhusiwa kuwa na dini zote mbili yaani Ukristu na Uislamu, hawezi kuwa Rais wa Tanzana mpaka anakufa.

Yeye tayari ni mtu anayesemwa na anayetaka kama vile Edward Lowassa na Maalim seif Hamad walivyoutaka Urais wa Tanzania na ZNZ kuanzia miaka ya 1990s. Hawa Lowasa na Seif walisemwa na walitaka sana na wamekufa hawajapata uRais wa Tanzania.

Urais wa Tanzania utapewa na Mungu tu kama alivyopata A H Mwinyi (badala ya Salim Ahmed Salim aliyesemwa sana na kupendwa na Nyerere) au BW Mkapa(badala ya Malecela na Kolimba waliosemwa sana). Hata Kikwette alipata mbele ya Fredrick Sumaye, Salim, Kigoda na Mwandosya waliokuwa vipenzi vya Mkapa na Magufuli alipata badala Benard Membe na Lowassa ambao waliigawa NEC ya CCM.

Mfano wa mwisho ni Rais wa sasa ambaye ameteremshiwa na Mungu tu baada ya JPM aliyetajs kutawala milele.
Hapa ndio atajimaliza kabisa kisiasa. Sijui kama kuna dozi anaweza ipata ya kubadili gia ya sasa. La kumshauri ni kuendelea kugombea ubunge tu na akipata uwaziri ashukuru.
 
Hadi Sasa kwenye duru za siasa za Tanzania bara, January Makamba anaonekana ndiye mtu atakayemrithi Samia,jamaa watu wamempigia kelele akiwa nishati,akahamishiwa wizara ya mambo ya nje kimkakati,akitoka huko... anajua mikakati yote,ndani ya chama,ni kutekeleza tu kuingia Ikulu.
 
Alipopata uwaziri wa nishati alitumia muda mwingi kusingizia matatizo ya umeme yamesababishwa na Magufuli lakini mwisho wa siku hakuna cha maana alichokifanya. Unafiki mbaya sana
Hapa ndipo alibidi kuwahakikishia wananchi kuwa anaweza. Lakini kinyume chake tulikuwa tunasikila stori tu, mara usambazaji, mara Jpm, mara nidhamu ya uoga. Basi mradi ni mastori tu.

Nafikiri aliko anajuta kwa nini alipoteza nafasi nyeti kama hiyo. Pole zake.
 
Hadi Sasa kwenye duru za siasa za Tanzania bara, January Makamba anaonekana ndiye mtu atakayemrithi Samia,jamaa watu wamempigia kelele akiwa nishati,akahamishiwa wizara ya mambo ya nje kimkakati,akitoka huko... anajua mikakati yote,ndani ya chama,ni kutekeleza tu kuingia Ikulu.
Si kwa kasi hii ya utekelezaji wa miradi aliyonayo. Kwenye umeme watanzania hawatamsamehe. Mwenzake miezi 6 tu anatangaza kuondokana na shida ya umeme.
 
Huwa nasema my theory ni kuwa ukitaka cheo cha boss ili uoneshe watu unajua zaidi yake daima hutofika popote maana mzigo anaobeba boss huwezi kujua uzito wake na jinsi anafanya kuongoza , mambo mengi huwa siri ya mtungi .
Hawa kina Maropu na Mr Singapore Stone watausikia urais kwa wengine tu. Watagawa mitungi million ya gesi na kuchora mawe nchi nzima na hawatoonja urais. Sio majaaliwa yao because they want to prove to us for doing sth they have no clue.

Halafu ukipanga mafaili na tamaduni zetu ni kuwa rais ajae mwaka 2030 ni mkristo na ni wa makamo hawa vijana wangewaza labda uwaziri mkuu. Tuwaambie ukweli watulie.
 
Hadi Sasa kwenye duru za siasa za Tanzania bara, January Makamba anaonekana ndiye mtu atakayemrithi Samia,jamaa watu wamempigia kelele akiwa nishati,akahamishiwa wizara ya mambo ya nje kimkakati,akitoka huko... anajua mikakati yote,ndani ya chama,ni kutekeleza tu kuingia Ikulu.
Wewe ni pimbi kabisa. Mtu katoka nishati ambayo Samia alimpa fedha zote za kukarabati mitambo, akaishia kutuachia mgawo wa umeme mkali kuliko hata ule wa 1993 wakati wa Mwinyi. Huyu ndiye waziri kilaza kuliko wote, yupo hapo kwa sababu ya JK na baba yake tu. Ila uwezo ni ZERO
 
Sio siri kuwa shauku ya mh Januari Makamba kuutaka urais ni kubwa sana pengine zaidi ya ile shauku ya mh Lowasa. Lakini kwa bahati mbaya mapito yake hayatatofautina na yale ya Mh Lowasa.

Atajitahidi sana, atakusanya watu, atakuwa kwenye makundi pendwa na hata nyakati nyingine atafika katika 5 bora, lakini kamwe hatachaguliwa kuwa mgombea Urais kupitia CCM.

Hata akifanya kama Lowassa, kuhamia upinzani nako atachaguliwa kuwa mgombea wa Urais lakini safari itaishia kama ile ya Mh Lowasa.
Mbona kama wewe ndiye unateseka zaidi ya muhusika 🤔🤔🤔
 
Huyu jamaa hana chochote alichowahi kukifanya au hata kukisema tu cha kuonyesha kuwa anafaa kuwa rais. Kazi yake ni kupiga picha huku ameiga mapozi ya Obama. Hafai kabisa. Hata ubunge hafai. Hata uwaziri hafai.
Mkuu hii nchi huijui na vituko vyake, mpaka Jiwe aliwahi kuwa Rais sembuse huyo January
 
Ni kweli hali yake kimaisha ni zaidi mara 1000 kuliko sisi washinda JF. Ukweli ni kwamba, matamanio yake yataniathiri mimi mlala hoi, ndio maana nashinda hapa mtandaoni kumtetea yule atayenipa mkate.

Kamwe sitokaa kimya kumuona mchafuzi kajitokeza na kutaka kuhadaa watu eti yeye ndie bora.
Kumbe shida ni kuwa wewe hutaki awe Rais na siyo hayo uliyoyaandika hapo juu
 
January Makamba ni akili kubwa sana kuliko watanzania wengi sana. Huyu ndiyo anastahili kupewa urais, siyo hawa akina jiwe na Sa100. Jiwe alikuwa na wazimu, sa100 ni kama haelewi afanye nn.
Umesema ukweli,ila sa100 hakuwahi kuwaza kuwa Rais so kutegemea mikakati mizuri toka kwake
 
Hacha kuwa na Iman na hicho chama mkuu,chadema kishajifia kitambo..Mtu kama mbowe anashinda ikulu anatoboa siri za chama ili apate ruzuku na wewe bado una imani na hicho chama mkuu?.
Ccm ni chama cha hovyo sana ndio maana tunatafuta walau aliye msafi kwenye hicho chama atupatie machache kama alivyofanya JPM.
Huyo Jiwe wako ndiye chanzo cha matatizo hapa nchini, kaa kwa kutulia ma usukuma gang wako
 
Haya hapa...
Tatizo la ccm haiamini katika kumwandaa mtu ,swala la kuiga miondoko ya Obama sio Sheria za nchi ,mmeshashauriwa na vyama vingine ingieni barabarani kuonyesha hisia zenu ipatikane katiba mpya. Bila hivyo walaji ndani ya ccm na serikali uliyozungumza Wala hawatasikia mana ameshaandaliwa
 
January Makamba ni akili kubwa sana kuliko watanzania wengi sana. Huyu ndiyo anastahili kupewa urais, siyo hawa akina jiwe na Sa100. Jiwe alikuwa na wazimu, sa100 ni kama haelewi afanye nn.
January huyu huyu ambae alifeli vibaya sana pale Tanesco ndo aje aweze iongoza hii nchi yenye watu 61M? acha kuota mkuu
 
Umekaa unamuombea mwenzako mabaya wakati Hali yake kimaisha ni zaidi Yako mara makumi elfu.

Fanya Yako achana na maisha na ndoto za wengine. Havikusaidii
Huyo si mwenzake bali ni kiongozi wake, hivyo anaruhusiwa kutoa assessment yake. Mpiga kura yeyote anaruhusiwa kufanya hivyo. Ata ccm uwa inafanya utafiti kujua nani anakubarika kwa wananchi.
 
Tatizo la ccm haiamini katika kumwandaa mtu ,swala la kuiga miondoko ya Obama sio Sheria za nchi ,mmeshashauriwa na vyama vingine ingieni barabarani kuonyesha hisia zenu ipatikane katiba mpya. Bila hivyo walaji ndani ya ccm na serikali uliyozungumza Wala hawatasikia mana ameshaandaliwa
Hakika.
 
Back
Top Bottom