Januari Makamba: Wanaohoji kuchelewa Mradi wa JNHPP ni upuuzi tu

Januari Makamba: Wanaohoji kuchelewa Mradi wa JNHPP ni upuuzi tu

Leo Waziri wa Nishati, Januari Makamba amewajibu wanaohoji kuchelewa kwa Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere JNHPP ni upuuzi tu na kama hawaamini majibu yake basi wamuue.

"Ukisema Bwawa litachelewa kwa sababu hii na hii wanasema muongo huyo, mshenzi huyo basi njooni mniue basi kama hamuamini, wote ni upuuzi tu" amesema Makamba

Source: Wasafi Media



Anywe sumu afe,asitutafutie dhambi
 
Leo Waziri wa Nishati, Januari Makamba amewajibu wanaohoji kuchelewa kwa Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere JNHPP ni upuuzi tu na kama hawaamini majibu yake basi wamuue.

"Ukisema Bwawa litachelewa kwa sababu hii na hii wanasema muongo huyo, mshenzi huyo basi njooni mniue basi kama hamuamini, wote ni upuuzi tu" amesema Makamba

Source: Wasafi Media



Wee kipara ngoto acha kauli za kihuni. Watu hawakuamini kwa sababu maalum. Kitendo cha kumsengenya na kumdharau jpm hilo kosa halitakuachia huru. Hatima yako ipo katika kuwaonesha watu unaweza kuaminika kwa kufanya kama jpm. Jambo hili bila shaka ni vigumu kwako kwani kiitikadi umeonyesha sio mtu wa maslahi ya umma ila maslahi binafsi.
 
Leo Waziri wa Nishati, Januari Makamba amewajibu wanaohoji kuchelewa kwa Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere JNHPP ni upuuzi tu na kama hawaamini majibu yake basi wamuue.

"Ukisema Bwawa litachelewa kwa sababu hii na hii wanasema muongo huyo, mshenzi huyo basi njooni mniue basi kama hamuamini, wote ni upuuzi tu" amesema Makamba

Source: Wasafi Media


Mosie nkewakukome newafe wao sa uja ndiye wakimvika.....
 
Makamba hauaminiki kwa sababu una majibu yasiyojitosheleza na yanayochelewa kuja kwa wakati, na mara nyingine hauna consistence kwenye majibu yako.

Leo unasema hivi, ukipingwa unabadilika kesho unasema tofauti about same thing, ni kama unaangalia uchochoro wa kujifichia kwenye majibu yako, ndio maana huaminiki.

Mfano.

1. Kuhusu ile crane ya tani 26 uliyoagiza toka nje, ukaambiwa mbona hata hapa Tanzania zipo crane zenye uzito huo? ukasema inatakiwa isiyohamishika, ok fine, mpaka leo hiyo isiyohamishika iko wapi?

2. Au kuhusu tatizo la umeme lililowahi kuwepo, ukatutangazia mgao wako nchi nzima kwa kisingizio awamu iliyopita mitambo ilikuwa haifanyiwi service, then after ukadai mgao utasahaulika, lakini wapi, mgao bado upo mpaka juzi tumetangaziwa mwingine.

Baadae ulivyoona mambo sio ukabadilika, mkatangaza sababu ya mgao wa umeme ni ukame, ghafla akatokea mtendaji bwawa la Nyumba ya Mungu akasema maji yaliyopo kule yanatosha kuwasha umeme kwa muda mrefu ujao, Makamba kimya...

Halafu hii tabia yako ya kukimbilia kuwaona wanaokuhoji ni maadui, ndio itakumaliza kabisa, usijione special usiyehojika, you are not, hicho cheo chako ni cha umma, sio CEO wa private company.

Mwanzo ukihojiwa ulisema tatizo ni uwaziri wako, kama vile wewe ndie waziri wa Nishati pekee uliyewahi kutokea nchi hii.

Leo unawaambia wanaokuhoji wakuue, hii maana yake unakimbia majukumu yako, unajiona unaonewa unapoulizwa kuhusu yale yanayoihusu wizara yako, sasa kama hutaki kuulizwa wewe unataka aulizwe nani?

Anyway, tatizo ni la yule aliyekuweka hapo, amekudekeza matokeo yake unajiona kama "mtoto wa mama usiegusika", sasa kwa huu utoto wako, mtachafuka wote.
Makamba nilijua ni mweupe Ila sio kwa kiwango hiki. Kabisa hana majibu zaidi ya kusema Kama wanataka wamuue?
Mawaziri wote wanasemwa, Tamisemi, afya, maji, ujenzi, mambo ya ndani. Kwa nn yeye aone anaonewa?
 
Sitaki kuamini kama waziri katamka neno waniue subiri nirejelee vyanzo rasmi vya taarifa isije ikawa ni hila za mitandaoni.

Ila Kama ni kweli uongozi ni kipaji Mungu asipokujalia huwezi kulazimisha
Hata mimi sikuamini mpaka nilivyosikiliza video. Hii nchi tumerogwa sio bure kama viongozi ndio hawa
 
kwa kauli ya waziri wa nishati january makamba kusema ni upuuzi kuhoji bwawa la umeme kutokamilika kwa wakati hii ni dharau kubwa kwa kamati ya bunge iliyishinda juani na kwenye baridi kali ikikagua mradi huo katika utekelezaji wake! makamba amenena maneno hayo kwa kusema ni upuuzi mtu kuhoji bwawa hilo akiwa mkoa wa geita na watumishi wa tannesco! makamaba kazi za umma hazihitaji hasira watu wakiuliza wajibu kulingana unavyofahamu changamoto ulizonazo katika wizara yako sasa kwa kauli zako hizo watu waliowengi wanaona kama hata ukosee chochote hakuna hatua zozote zitakazochukuliwa
 
Haka ka jamaa kashenzi sana, inamaana huo umeme haufiki Geita ngoja nimtwangie kaka Dr msukuma
 
Wakuu hivi January ni nani mpaka acheleweshe huo mradi? Acheni kumtupia lawama huyo jamaa kama ni kuchelewa kwa mradi basi tatizo lipo ngaz za juu yake
Ujenzi wa bwawa ni jambo la kitaalamu na siyo kisiasa. Wanasiasa hushughulika na sera.
Upuuzi umefanya wasikilizwe na kuaminika wanasiasa badala ya wataalamu.
Wanasiasa wengi ni wajinga fulani wenye ushawishi na madaraka kwa sababu ya upuuzi wa wananchi walio wengi.
 
jamaa kweli ameshangaza umma kuita watu wapuuzi kwa hiyo spika na kundi lake ni wapuuzi aiseee nchi ngumu sana hii
 
Leo Waziri wa Nishati, Januari Makamba amewajibu wanaohoji kuchelewa kwa Mradi wa Bwawa la Julius Nyerere JNHPP ni upuuzi tu na kama hawaamini majibu yake basi wamuue.

"Ukisema Bwawa litachelewa kwa sababu hii na hii wanasema muongo huyo, mshenzi huyo basi njooni mniue basi kama hamuamini, wote ni upuuzi tu" amesema Makamba

Chanzo: Wasafi Media

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom