Mamako anakopa hatari, umesahau Supika mstaafu alisema nchi itapigwa mnada🤣Mtu alishindwa kutoa Ajira,mikopo,mishahara ,madawati ,posho huku akisingizia miradi 🤣🤣
Mbona vyote vinafanyika Sasa na mama bila excuses? Na kaongeza mabilioni ya Bajeti Wizara zote at par
kipindi cha mwendazake nilikuwa natembea hadi na 10 million kwenye gari za kula bata tu na matoto makali, ila sasa hivi nipo humu JF kugombania goriSigawi kazi,katafute fursa kitaa saizi ukianza hata biashara Kuna uafadhari kuliko awamu ya 5.
Mwisho Sasa Kwa nini Mwendazake hakukupa kazi? 🤣🤣🤣🤣
Kukatika Kwa umeme hakutokani na kutokuwa na umeme Bali umeme mdogo na uchakavu wa Mitambo ndio maana wameanza kutekeleza mradi wanaita wa ujazilizaji kwenye grid yaani grid densification and stabilisation so it won't happen over knightWakate tena umeme tuone, tunataka tuone unafuu wa umeme kupitia bwawa letu. Tunataka kutoka mazingira kuacha kutumia kuni kwa umeme nafuu, tunataka kuepuka miradi ya gesi ya watu kwa kutumia umeme wa Taifa. Chonde waziri wa fedha umeme utumike kama huduma ya lazima na sii chanzo Cha kodi
Ww utakuwa chawa wa maropeAlipinga Kwa hoja lakini akapewa dhamana ya usimamizi amesimamia vyema kabisa tena Kwa speed ya mwanga
Maamuzi mazito ya JPM hayo
Jiwe alikuwa emptyAlikuwa mjinga,huwezi haribu uchumi sekta zingine Kwa visingizio vya kipuuzi
Swali Mbona Sasa hivi Kila sekta Kuna pesa tena zimeongezeka mara 2,zometoka wapi? Mfano Watoto wa vyuo Vikuu wote wamepata mkopo yule mtu wenu alishindwa 🤣🤣
Nyie si ndio mlikuwa majizi yenyewe mlionufaika naekipindi cha mwendazake nilikuwa natembea hadi na 10 million kwenye gari za kula bata tu na matoto makali, ila sasa hivi nipo humu JF kugombania gori
Jikite kwenye hojaWw utakuwa chawa wa marope
Hawa ndio mafisadi wa awamu hii wanafikiri hatuoni. Tuendelee kuweka kumbukumbu sawa tu ili muda wao ukifika watalia na kusaga meno.Nashangaa ananijaza upepo kwamba kila sekta ina pesa za kutosha..
Hahaha.Kwa hiyo kesho linaanza?
Wezi ni nyie, sie tulikuwa tunafanya kaziNyie si ndio mlikuwa majizi yenyewe mlionufaika nae
Unadhani kila.kila kima anakopeahwa? Kakope na wewe kama ni simple.Mamako anakopa hatari, umesahau Supika mstaafu alisema nchi itapigwa mnada🤣
Na wewe endelea kuiba lakini kumbuka kuna watu wako nyuma yako kila ufanyacho cha kifisadi is recorded!Nyie si ndio mlikuwa majizi yenyewe mlionufaika nae
Majizi nyie mlikuwa mnapora pesa za watu na kugawana shenzi wakubwaWezi ni nyie, sie tulikuwa tunafanya kazi
Siibi nakula jasho languNa wewe endelea kuiba lakini kumbuka kuna watu wako nyuma yako kila ufanyacho cha kifisadi is recorded!
Yanai ni utapeli tapeli tu hakuna loloteHahaha.
Hili swali lako nimecheka alafu Nimekumbuka swala la treni ya SGR na mradi wa BRT kilwa road.
Bongo kuwaamini wanasiasa inabidi ujitoe ufahamu.
Haya!Siibi nakula jasho langu
Hawa ndio mafisadi wa awamu hii wanafikiri hatuoni. Tuendelee kuweka kumbukumbu sawa tu ili muda wao ukifika watalia na kusaga meno.
Saizi kazi zimeyeyukia wapi 😁😁Wezi ni nyie, sie tulikuwa tunafanya kazi
wee hapana nilikiwa na miradi na tulikuwa tunalipwa on time.. sio sasa hivi .. sasa hivi njaa sana mwanaMajizi nyie mlikuwa mnapora pesa za watu na kugawana shenzi wakubwa
Kafunika na nn? Yeye mwenyewe alikiri kwamba boss wake alikua kichwa.Blaa blaa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] huna hoja kubali Samia kawafunika