Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo siku atafanikiwaWewe una watu wengi sana nyuma yako, kaa vizuri
Na kikwete, kinana, samia, husein, wasira, Rostam I'li uweze kutimiza ndoto zako 2030.
Nchi inaenda upinzaniWewe una watu wengi sana nyuma yako, kaa vizuri
Na kikwete, kinana, samia, husein, wasira, Rostam I'li uweze kutimiza ndoto zako 2030.
Labda Rais wa BurundiWewe una watu wengi sana nyuma yako, kaa vizuri
Na kikwete, kinana, samia, husein, wasira, Rostam I'li uweze kutimiza ndoto zako 2030.
He will Never beIpo siku atafanikiwa
Kama alishindwa lowasa alie anza tokea 1995 huko na ukubwa wake wote kwenye mfumo wa chama ndie aweze huyu mr bwana mdogo kwenye mfumo wa chama .Ipo siku atafanikiwa
Kwa nini anaamini kati ya Watanzania wote kwamba yeye kazi ya uraisi ndio anaiweza pekee, hakuna kazi nyingine?Wewe una watu wengi sana nyuma yako, kaa vizuri
Na kikwete, kinana, samia, husein, wasira, Rostam I'li uweze kutimiza ndoto zako 2030.
Kama watanzania WALIO wengi ni wajinga, kwann asiwe? Ni nani mwenye ujasili wa kusema hadharani, ukimtoa lisu na walioba wa kukemea uchafuKwamba January Makamba siku Moja aje awe raisi wa nchi hii!...!?
Mbona nyie watu hamlitakii mema kabisa hili taifa?
Apewe tu 😅Kwamba January Makamba siku Moja aje awe raisi wa nchi hii!...!?
Mbona nyie watu hamlitakii mema kabisa hili taifa?
Apewe tu ni mtoto wa Muasisi wa TaifaKama alishindwa lowasa alie anza tokea 1995 huko na ukubwa wake wote kwenye mfumo wa chama ndie aweze huyu mr bwana mdogo kwenye mfumo wa chama .