Pre GE2025 January Makamba mipango yako ya urais Samia kaivuruga leo, jipange vizuri pamoja na timu yako 2030

Pre GE2025 January Makamba mipango yako ya urais Samia kaivuruga leo, jipange vizuri pamoja na timu yako 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kama watanzania WALIO wengi ni wajinga, kwann asiwe? Ni nani mwenye ujasili wa kusema hadharani, ukimtoa lisu na walioba wa kukemea uchafu
Kama mtu anaweza kushirikiana na walanguzi WA majenereta kutengeneza tatizo la umeme Kwa kuleta mauza uza pale TANESCO hili watu wafanye biashara, atashindwa Nini kuhujumu mashirika kama ATC, TRC,NHC na mengine ya umma hili tu yashindwe kutoa huduma Kwa ufanisi na hatimae tuanze kuwategemea watu binafsi(ambao ni syndicate yake)kutupa huduma pale atakapokuwa raisi???

Hii nchi na watu wake imeoza kabisa.
 
FB_IMG_1735739435691.jpg
 
Innocent Bashungwa 2030 japo atachuana vikali na Mwigulu Nchemba, Dotto Biteko na Sulemani Jafo
 
h
Mnataka nchi izidi kuongozwa na failures aliyepo hamuoni anapoipeleka nchi .

Na sasa mnataka mwizi wa mitihani na mpiga dili apewe nchi?
[/QUOT
Mbona kwa mwinyi hampigi kele kele, huo ndo mfumo wa Dunia kila mtu andaa watoto wake
 
Back
Top Bottom