Japkas
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 3,011
- 4,617
Akimaliza kazi yake baada ya uchaguzi atarudi kwenye baraza.Wewe una watu wengi sana nyuma yako, kaa vizuri
Na kikwete, kinana, samia, husein, wasira, Rostam I'li uweze kutimiza ndoto zako 2030.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akimaliza kazi yake baada ya uchaguzi atarudi kwenye baraza.Wewe una watu wengi sana nyuma yako, kaa vizuri
Na kikwete, kinana, samia, husein, wasira, Rostam I'li uweze kutimiza ndoto zako 2030.
Kawapiga surprise ya kiwango cha SGRWewe una watu wengi sana nyuma yako, kaa vizuri
Na kikwete, kinana, samia, husein, wasira, Rostam I'li uweze kutimiza ndoto zako 2030.
Taifa lipi hilo unalolizungumzia wewe Mzee Makamba kaliasisi??Apewe tu ni mtoto wa Muasisi wa Taifa
Waliopitq wamefanya nini?Alifanya Nini kwenye hiyo nishati safi hivi karibuni alipokuwa amekabidhiwa wizara?
Balaa.Nilikuwa namchukulia poa.Kumbe ni fundi haswaaMama yupo vzr kwa tactic
Kabisa mkuu, watanzania wengi ni wajinga sana, kwa sbb ya elimu mbovu, ccm hata wakiweka jiwe linapiataWaliopitq wamefanya nini?
Mkapa, kikwete, magufuli, Samia wote hao wamefanya maajabu gani ambayo makamba atashindwa?
Nchi yetu hatupo serious kihivyo hadi makamba ashindwe.
Makamba akiwa raisi hakuna tofauti na waliopita. Watu wanavyozungumza unaweza hisi waliopita walifanya maajabu yoyoteKabi
Kabisa mkuu, watanzania wengi ni wajinga sana, kwa sbb ya elimu mbovu, ccm hata wakiweka jiwe linapiata
Kila la kheri kwa bwana February. Aje awe Rais wa TFF baada ya Karia.Wewe una watu wengi sana nyuma yako, kaa vizuri
Na kikwete, kinana, samia, husein, wasira, Rostam I'li uweze kutimiza ndoto zako 2030.
2030 ni mkatoliki labda 2040Wewe una watu wengi sana nyuma yako, kaa vizuri
Na kikwete, kinana, samia, husein, wasira, Rostam I'li uweze kutimiza ndoto zako 2030.
Hivi hii nchi ni ya majaribio?Labda Rais wa Burundi
Muwe na adabu