Ausar
JF-Expert Member
- Mar 19, 2021
- 2,369
- 3,800
Safari hii kete zimebadilika wakifanya mzaha watafanyiwa wepesi kwa alievutwa kua makamu.......huyo ni body guard wa namna yake.......watu warushe makombora kwa tahadhariMungu atatufanyia wepesi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Safari hii kete zimebadilika wakifanya mzaha watafanyiwa wepesi kwa alievutwa kua makamu.......huyo ni body guard wa namna yake.......watu warushe makombora kwa tahadhariMungu atatufanyia wepesi
Unamzungumzia mzee SokweSafari hii kete zimebadilika wakifanya mzaha watafanyiwa wepesi kwa alievutwa kua makamu.......huyo ni body guard wa namna yake.......watu warushe makombora kwa tahadhari
Mzee sokwe sio makamu wa rais😀😀maana mawazo ya wengi ni labda litokee tukio kama la 2021.....bimkubwa alijua hilo mapema ndo maana ile nafasi safari hii kamvuta Mngoni,,,,,kwa wale wanaotegemea embe lidondokee kwenye mchongoma wanaweza wakapata suprise.........ile team ya wakina wazuri hawafi baada ya kuchomolewa watu wao January na wenzake wakae vizuri,,......mambo ndo kwanza yanaanzaUnamzungumzia mzee Sokwe
Kipimo chake cha uadilifu kilikuwa Wizara ya nishati na akatuonesha rangi yake halisi, ambapo hafai hata kwa kulumangila.Wewe una watu wengi sana nyuma yako, kaa vizuri
Na kikwete, kinana, samia, husein, wasira, Rostam I'li uweze kutimiza ndoto zako 2030.
Lazima awe Rais, hatumtaki hilo jiziWewe una watu wengi sana nyuma yako, kaa vizuri
Na kikwete, kinana, samia, husein, wasira, Rostam I'li uweze kutimiza ndoto zako 2030.
Kwa faida ya Nani. Jifunze kutoka kwa Philip Mpango. Hilo shetani lishindwe na kulegea huko.Ipo siku atafanikiwa
Na kwanini atafute urais kwa udi na uvumba anatafuta nn huko. Tuwe na Rais km January? Ukimwangalia tu ni jizi, mnataka auze nchi? Muwe serious!Kama alishindwa lowasa alie anza tokea 1995 huko na ukubwa wake wote kwenye mfumo wa chama ndie aweze huyu mr bwana mdogo kwenye mfumo wa chama .
JK akiamua hata Mwijaku anakuwa rais mkuu mwogope sana huyo mzee.Kwamba January Makamba siku Moja aje awe raisi wa nchi hii!...!?
Mbona nyie watu hamlitakii mema kabisa hili taifa?
Ewaaa huyo ndio atatufaa zaidi !
Ushamshauri mwenzako aingize mtaji kwenye biashara itakayo mpiga.Wewe una watu wengi sana nyuma yako, kaa vizuri
Na kikwete, kinana, samia, husein, wasira, Rostam I'li uweze kutimiza ndoto zako 2030.
Najua hawezi kuwa mfumo hauku mkubali , japo inawe kuwa vinginevyo.Na kwanini atafute urais kwa udi na uvumba anatafuta nn huko. Tuwe na Rais km January? Ukimwangalia tu ni jizi, mnataka auze nchi? Muwe serious!
Mfumo upi boss kama ni usalama hawana lolote linapokuja suala la Ccm kwa sasa Ccm ni dubwasha kubwa kuliko usalama wa taifa nchi iko mateka yaani wanaloamua Ccm ndilo linakuwa.Najua hawezi kuwa mfumo hauku mkubali , japo inawe kuwa vinginevyo.
Wakati huo Dr Nchimbi anamuangalia tu?Ipo siku atafanikiwa
Nchimbi ni makamu wa kitu gani?Unadhani Nchimbi kapewa umakamu kwa bahati mbaya.
Mkuu Sakasaka Mao umepigaje hapo?? Hatuwezi kuwa na Rais mwenye historia ya ku-cheat mitihani ya O-level GalanosKipimo chake cha uadilifu kilikuwa Wizara ya nishati na akatuonesha rangi yake halisi, ambapo hafai hata kwa kulumangila.
Huwa sielewi sababu ya kuendeleza mada za huyo mchumia tumbo wenu, kwani hakuna waTz wengine wenye sifa?
Aliyotutendea waTz kutuweka guzani kwa manufaa binafsi, labda asubiri 2050, hapo kizazi chetu kitakuwa kilikwishapita, ama kupungua sana na kusahau adha zake kwa ajili ya uzee.
Lakini mkimleta 2030, hauziki.