Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu gani hao wako nyuma yake??Wewe una watu wengi sana nyuma yako, kaa vizuri
Na kikwete, kinana, samia, husein, wasira, Rostam I'li uweze kutimiza ndoto zako 2030.
Hafai huyo obama wa fakeAtabadilisha dini
Mama ni bingwa,full of surprises. Mjanja kama Nyerere.Kumbe uzoefu wake kwenye chama anautumia vizuri kusukuma agenda zake.Mama yupo vzr kwa tactic
Unadhani Nchimbi kapewa umakamu kwa bahati mbaya.2030 ni zamu ya Bashungwa.
Watakuwa wamechanganya damu na ibilisi sio bureKwamba January Makamba siku Moja aje awe raisi wa nchi hii!...!?
Mbona nyie watu hamlitakii mema kabisa hili taifa?
Jamaa ilikua safari hii ndo watusue ,,,,na wwmeshindwa kwahio imeshatoka hio.....2030 kuna watu ambao tayari watakua kwenye mfumo watakua wamejijenga........yeye asipoingia kwenye mfumo lazima apotee....nafasi yake ilikua sasa kipindi alichokua kwenye mfumo ila bahati kaichezea alikua na papara sana hajui kula na kipofuWewe una watu wengi sana nyuma yako, kaa vizuri
Na kikwete, kinana, samia, husein, wasira, Rostam I'li uweze kutimiza ndoto zako 2030.
Eti baba yake yupoJamaa ilikua safari hii ndo watusue ,,,,na wwmeshindwa kwahio imeshatoka hio.....2030 kuna watu ambao tayari watakua kwenye mfumo watakua wamejijenga........yeye asipoingia kwenye mfumo lazima apotee....nafasi yake ilikua sasa kipindi alichokua kwenye mfumo ila bahati kaichezea alikua na papara sana hajui kula na kipofu
Never say never aisee .... kwa mtazamo finyu based kwenye listi kama hii: mathalani criteria iwe ni jinsi mtu alivyo boya. Mbona wapo 'maboya ambao weshafanikiwa' kujipenyeza?He will Never be
Walipenya through accidentNever say never aisee .... kwa mtazamo finyu based kwenye listi kama hii: mathalani criteria iwe ni jinsi mtu alivyo boya. Mbona wapo 'maboya ambao weshafanikiwa' kujipenyeza?