Pre GE2025 January Makamba mipango yako ya urais Samia kaivuruga leo, jipange vizuri pamoja na timu yako 2030

Pre GE2025 January Makamba mipango yako ya urais Samia kaivuruga leo, jipange vizuri pamoja na timu yako 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Jamaa ilikua safari hii ndo watusue ,,,,na wwmeshindwa kwahio imeshatoka hio.....2030 kuna watu ambao tayari watakua kwenye mfumo watakua wamejijenga........yeye asipoingia kwenye mfumo lazima apotee....nafasi yake ilikua sasa kipindi alichokua kwenye mfumo ila bahati kaichezea alikua na papara sana hajui kula na kipofu
Alikuwa na papara sana, alitumia muda Mwingi kufuta legacy ya mwendazake kuliko kufanya majukumu aliyopaswa kufanya akiwa kama waziri
 
Urais haupatikani Kwa mipango bali Kwa baraka ya wazee wa kitengo Cha kijasusi Cha nchi!kama huna baraka hauwi hasta ufanyaje!

Biden alipitishwa na chama chake!kumbe mwenye baraka alikua Trump na Sasa Trump kapewa!!
 
Alikuwa na papara sana, alitumia muda Mwingi kufuta legacy ya mwendazake kuliko kufanya majukumu aliyopaswa kufanya akiwa kama waziri
Na walianza kuonyesha mapema kua hata mkuu wao wamemuweka mfukoni,,,...bimkubwa akaamua kuwapa za mbavu.......ule upande wao kwa sasa wanasaka pa kukusanyia nguvu maana nguvu kubwa na resources zao walizielekeza kwa huyo jamaa na mambo yamekuja kuharibika mwishoni
 
SpikKajiuzulu.
Majkatibu mkuu chongolo alikiuzulu.
MauqaRais kajiuzulu.
Kilichobaki ni KUINGIA IKULU
 
Mama ampishe hamphrey polepole aje ainyooshe nchi.aache kujitengenezea mazingira ya kujipendelea.
 
Kama watanzania WALIO wengi ni wajinga, kwann asiwe? Ni nani mwenye ujasili wa kusema hadharani, ukimtoa lisu na walioba wa kukemea uchafu
Kweli hatuna watu jana walikua 🧟 🧟‍♂️ 🧟‍♀️ hawaelewi kua ndo teyari mtu kapita na vimbwanga vyote vya watu kupotezwa na kufa.
 
Asilimia kubwa viongozi wa Tanzania wamepewa na baba zao na hawana sifa kabisa
Kuna mtu Mmoja aliwahi kusema kwamba watumishi wengi WA serikali WA Tanzania akiwemo Samia mwenyewe ufanisi wao ni duni sana na hawawezi kuongoza nchi nyingine tofauti na Tanzania
 
Amkeni acha ndoto
Mawazo kama haya ndo yalimponza mwezi wa kwanza,,,,,,hawa hawajashtuka kwamba zama zimebadilika,,, bado wapo na mawazo na akili za enzi zile za unajua mimi nani
 
Na walianza kuonyesha mapema kua hata mkuu wao wamemuweka mfukoni,,,...bimkubwa akaamua kuwapa za mbavu.......ule upande wao kwa sasa wanasaka pa kukusanyia nguvu maana nguvu kubwa na resources zao walizielekeza kwa huyo jamaa na mambo yamekuja kuharibika mwishoni
Tena kama Hilo la kumuweka mfukoni ndio walikuwa wanalifanya wazi wazi bila kificho, wakiuaminisha uma kwamba nchi Iko mikononi mwao...!!

Sasa hivi nahisi watakuwa wanajiuliza maswali mengi sana ni wapi waanzie
 
Tena kama Hilo la kumuweka mfukoni ndio walikuwa wanalifanya wazi wazi bila kificho, wakiuaminisha uma kwamba nchi Iko mikononi mwao...!!

Sasa hivi nahisi watakuwa wanajiuliza maswali mengi sana ni wapi waanzie
Wanawaza pa kujipachika ,,,,Nchimbi angekua kapata nafasi nzuri wangepeleka nguvu waziwazi huko shida jamaa mwisho wa siku atakua makamu na anaweza akaachia nafasi kwenye chama kwahio workdone itabaki 0..................ule ukanda kwa kuletewa tu Wasira kuna dalili za neema, shida na jamaa wa pande za huko haziivi chungu kimoja na kwenye idadi ya kura na wabunge wale jamaa wamekaa angle nzuri
 
Ingizo la Nchimbi tayari ni pigo kwa watu come 2030

Ikitokea lolote kwa Mama, then Nchimbi atakaa pale juu. Then 2030 inakuwa formality tu
 
Kwamba January Makamba siku Moja aje awe raisi wa nchi hii!...!?

Mbona nyie watu hamlitakii mema kabisa hili taifa?
Halafu kuna wengine wamemshauri akabadili dini awe mkristu kwa vile mama yake ni Mkristu, ili baada ya Samia Muislamu aje yeye na kofia ya Ukristu.

Januari Makamba hata kama ataruhusiwa kuwa na dini zote mbili yaani Ukristu na Uislamu, hawezi kuwa Rais wa Tanzana mpaka anakufa.

Yeye tayari ni mtu anayesemwa na nayaetaka kama vile Edward Lowassa na Maalim seif Hamad walivyoutaka Urais wa Tanzania na ZNZ kuanzia miaka ya 1990s. Hawa Lowasa na Seif walisemwa na walitaka sana na wamekufa hawajapata uRais wa Tanzania.

Urais wa Tanzania utapewa na Mungu tu kama alivyopata A H Mwinyi (badala ya Salim Ahmed Salim aliyesemwa sana na kupendwa na Nyerere) au B W Mkapa(badala ya Malecela na Kolimba waliosemwa sana). Hata Kikwette alipata mbele ya Fredrick Sumaye na Mwandosya waliokuwa vipenzi vya Mkapa na Magufuli alipata badala Benard Membe na Lowassa ambao waliigawa NEC ya CCM. Mfano wa mwisho ni Rais wa sasa ambaye ameteremshiwa na Mungu tu badala ya JPM aliyetaka kutawala milele
 
Ingizo la Nchimbi tayari ni pigo kwa watu come 2030

Ikitokea lolote kwa Mama, then Nchimbi atakaa pale juu. Then 2030 inakuwa formality tu
Na kawekwa hapo ili hilo la kutokea lisitokee......wanasema mchawi mpe mwanao amlee
 
Back
Top Bottom