January Makamba: Sisi hatuzalishi mafuta

January Makamba: Sisi hatuzalishi mafuta

Unaelewa maana ya gharama za uendeshaji hapa Nchini?

Zanzibar na Bara ni sawa?

Kwani ni mafuta pekee ndio yako chini huko Zanzibar? Mbona ni vitu karibu vyote ukiacha vyakula bei ni chini na hazijaanza leo?

Au wewe hujawahi nunua au kuagiza mtu akuletee bidhaa kutoka Zanzibar?
Hivi hakuna mbunge hata mmoja alimuuliza kuhusu hilo? Maanake point yake kuu ni kwamba mafuta yamepanda bei kwasababu sisi hatuyazalishi; what about Zanzibar? Nauliza, je hakuna mbunge hata mmoja asie jua hilo pamajo na hili unalo uliza wewe hapa? Maanake it sound like huku nje ya bunge wananchi hatumuelewi Gadiola na hayo majibu yake, tunajua kua mafuta kwenye soko la dunia yamepanda, tunajua na sababu ni nini lakini wananchi tunajua serikali inaweza kufanya kitu, kwa maneno mengine hakubaliani na majibu ya waziri!
 
Uongozi ni kipawa MTU Anapewa na Mungu kama huna kipawa hicho huwezi kuwajali wale unao waongoza. Utatafuta sababu kukwepa wajibu wako kama kiongozi.

SERIKALI ni kama baba na wananchi ni Watoto kwa SERIKALI.

Sasa pale baba Anapo kwepa majukumu Yake ya kuwasaidia Watoto wake panapotokea majanga basi Ubaba wake lazima utiliwe mashaka.

Katika jambo Hili na Kuziba maskio kwa SERIKALI na uhakika itaigharimu sana kwenye sanduku la kura.
 
Kwanini Zanzibar bei ya mafuta ipo chini kuliko bei ya huku bara!?.

Au, Zanzibar wanazalisha mafuta.

January, unakipara kama helmet.
 
Niseme wazi mm sio CCM na sio mshabiki wa kada yeyote wa CCM lakini naona tatizo kubwa ktk namna watanzania tunavyofikiri na kuchambua mambo.

Niwe straight, wale woote wanaomshambulia Makamba ni wapumbavu aheri ya mazezeta.
Hivi kuna neno amekosea hapo? Sisi tuna mafuta?
Au ni uongo kwamba bei haijapanda sokoni?
Kumuweka kwenye vitu vinavyoongeza gharama(tozo na kodi) ni sahihi? Yeye ni waziri wa fedha?
Wizara ya nishati ina amua kodi au tozo iwe kiasi gani kwenye mafuta?

Ukijibu hayo maswali ndipo utajua Wewe ni mpumbavu ama la
Hahaha kwa iyo we ndo amekutuma kama unaakili ee iv hadi sasa oyu jamaa yako anajua hatujui kuwa nchi yetu aidhalishi mafuta
Watu wanahoji iweje kama kiongozi wa sector anakuja na ngojela badala ya suluhisho au we umeona chochote cha kutatua tatizo alichokisema
CHUKI imewatia upofu wa kufikiria.
 
Waziri wa Nishati January Makamba, amesema kwamba bei za mafuta nchini inatokana na gharama mbalimbali ikiwemo zile zilizotumika kununulia mafuta, gharama ya usafirishaji na gharama za biashara yenyewe hapa nchini.

Kauli hiyo ameitoa hii leo Mei 5, 2022, bungeni Dodoma, wakati kujadili hoja iliyotolewa na Mbunge wa Kilindi, Omari Mohamed Kigua, ya kusimamisha shughuli za Bunge zilizokuwa zikiendelea ili kujadili hali ya mfumuko wa bei ya mafuta nchini.

"Wote tunajua bei za mafuta zimepanda duniani na sisi kama nchi sio wazalishaji wa mafuta tunanunua mafuta kutoka nje na sehemu kubwa ya bei ya mafuta inayopangwa nchini inatokana na gharama ya mafuta yenyewe, gharama ya kuleta, kodi na tozo mbalimbali na gharama za kufanya biashara yenyewe hapa nchini," amesema Waziri Makamba

View attachment 2212801
Kiukweli hakuna jitihada za makusudi za kupunguza gharama za mafuta ili vitu visipande bei ,wadau nendeni kenya mwone alichofanya kenyata kupunguza makali ya upandaji bei ya mafuta ili vitu visipande bei/aliidhinisha mabilioni ya hela kuyapa makampuni ya mafuta ili bei isipande na alifanikisha hilo jambo
 
Kiukweli hakuna jitihada za makusudi za kupunguza gharama za mafuta ili vitu visipande bei ,wadau nendeni kenya mwone alichofanya kenyata kupunguza makali ya upandaji bei ya mafuta ili vitu visipande bei/aliidhinisha mabilioni ya hela kuyapa makampuni ya mafuta ili bei isipande na alifanikisha hilo jambo
Na mpaka sasa wakenya hawalalamiki kama sisi
 
Diakteta wako akikuachia kovu kubwa sana na litakutesa hadi unaingia kaburini!

Una stress nae kiasi kwamba hujawahi acha kumtaja kwenye hoja yeyote ile.

Sikuwahi kujua kama dikteta wako kakuachia stress kiasi hiki!

Sukuma gang kaa kwa kutulia wakati dhalimu tunampa ukweli wake. Shetani anatakiwa atajwe kila mara.
 
Hivi hakuna mbunge hata mmoja alimuuliza kuhusu hilo? Maanake point yake kuu ni kwamba mafuta yamepanda bei kwasababu sisi hatuyazalishi; what about Zanzibar? Nauliza, je hakuna mbunge hata mmoja asie jua hilo pamajo na hili unalo uliza wewe hapa? Maanake it sound like huku nje ya bunge wananchi hatumuelewi Gadiola na hayo majibu yake, tunajua kua mafuta kwenye soko la dunia yamepanda, tunajua na sababu ni nini lakini wananchi tunajua serikali inaweza kufanya kitu, kwa maneno mengine hakubaliani na majibu ya waziri!
Una uhakika na unachoongea?
 
Watanzania tupiganie katiba mpya tuuu ndio suluhisho la la haya yote
 
Moja ya Mawaziri machachari kabisa asie na chale hata moja makalioni anaiamini elimu yake.

Sie mwengine ni Mgosi wa Milimani Usambara.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani ile ishu ya kukataza mifuko ilimpa Credit sana ila daah jamaa mweupe sanaa kichwani
Hamna kitu kabisa ile njemba
 
Kiukweli hakuna jitihada za makusudi za kupunguza gharama za mafuta ili vitu visipande bei ,wadau nendeni kenya mwone alichofanya kenyata kupunguza makali ya upandaji bei ya mafuta ili vitu visipande bei/aliidhinisha mabilioni ya hela kuyapa makampuni ya mafuta ili bei isipande na alifanikisha hilo jambo
Hiyo ndio maana halisi ya uongozi, kuwa na maono, kuona mbele na kujipanga namna ya kukikabili.
 
Back
Top Bottom