Japo anaonekana mtu wa kawaida tu ndani ya CCM, Humphrey Polepole sio mtu wa kawaida!, He is extra ordinary very powerful!

Polepole ana roho ya kinyonga ila ngozi yake ni ya kobe, ni ngumu kama nini sijui halafu ni mnafiki mjanja
 

I can imagine. Mama akimteua Polepole kushika kawadhfa ka maana serikalini au ndani ya chama naamini atakuja na wimbo mpya; wimbo ulio bora kabisa na wa tofauti kuthibitisha kuwa kazaliwa upya - mara ya tatu (kisiasa).

Kipaji extraordinary cha usanii. Sivyo?
 
Mkuu,hoja hii ungeileta kwa mtu mwingine nje ya polepole ningekuelewa sana.
Mkuu polepole huyu ukamlinganishe na Nyerere?

Huyu huezi kulinganisha hata na Ally hassan mwinyi.
ANA RANGI NYINGI SANA

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Muda ni mwalimu mzuri sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Polepole ataitikisa ccm
Bahati mbaya katikisa tawi huku kalikalia akijikuta na yeye anatikisika

Alipotikisa sana, kwa nguvu zake zote akajitikisa na yeye mwenyewe mpaka akakosa balance

Kwakuwa hakuwa sehem ya mti mtikisiko ulivyozidi yeye akaanguka mti ukabaki palepale

Dooo!!! Hana jinsi tena amesha anguka inabidi akae kwenye kivuli cha mti huohuo kuugulia maumivu

Balozi Malawi !!!???

Mnaikumbuka hadithi ya Abuu N'nuwasi na tawi la mti [emoji16][emoji16][emoji16] bakini umo umo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mh. We naye [emoji1787]

Sent from my Infinix X606B using JamiiForums mobile app
 
Hana nguvu yoyote, kwasababu hana support yoyote anayotegemea, sio ya kifamilia wala kihistoria. Wala hana mizizi yoyote ndani ya chama. He is just a nobody. Ni kwamba anapepeta tu mdomo. Otherwise he is no body
Chama Sio mwisho wala kilele cha nguvu nchini!!nakuonya !wapo wenye nguvu wasio onekana!!wenye nchi yao!!Trust me maamuzi ya Mama kum eliminate kisasa pole pole ku m cost uraisi wake!!!Note this comment my friend!!
 
Ummmh nimekuinulia mikono ndugu yangu....ww c wa kawaida
 
Wenye nchi yao !! Well let's wait and hope for the better to come !! Maana nasikia wapo pia wenye chama chao !! Karma is a bitch ! Yetu macho na masikio !!
Chama Sio mwisho wala kilele cha nguvu nchini!!nakuonya !wapo wenye nguvu wasio onekana!!wenye nchi yao!!Trust me maamuzi ya Mama kum eliminate kisasa pole pole ku m cost uraisi wake!!!Note this comment my friend!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…