fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,617
- 8,244
No your observation is nit correct brother huyo mtu ni chupli chupli to borrow from haji manara
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No your observation is nit correct brother huyo mtu ni chupli chupli to borrow from haji manara
Nasikitika sana, kumbe hata wewe Mkuu nguruka wa kig0ma huna uwezo wa kusoma threads zinazohitaji analytical mind and abilities!. Pole.
Ili kumjua huyu sio mtu wa kawaida, lazima kwanza umsikilize, pili uwe na uwezo to listern in between the lines.
P
Mkuu,hoja hii ungeileta kwa mtu mwingine nje ya polepole ningekuelewa sana.Nasikitika sana, kumbe hata wewe Mkuu nguruka wa kig0ma huna uwezo wa kusoma threads zinazohitaji analytical mind and abilities!. Pole.
Ili kumjua huyu sio mtu wa kawaida, lazima kwanza umsikilize, pili uwe na uwezo to listern in between the lines.
P
Ila wahuni wamemkataa hadi wamemuhamishaHumpley Pole Pole is genius. Wenye akili tunaona hivyo.
Akili ya niokoHumpley Pole Pole is genius. Wenye akili tunaona hivyo.
Mkuu ukitusua utaacha huu ujinga wa kutukana hovyo.Akili ya nioko
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Muda ni mwalimu mzuri sana
Bahati mbaya katikisa tawi huku kalikalia akijikuta na yeye anatikisikaPolepole ataitikisa ccm
Mh. We naye [emoji1787]Ulichosema ni kweli Polepole ni mtu mzito kuliko tunavyofikiria, nimewahi kwenda ofisini kwake Kwa ishu za hapa na pale, jamaa ana wasaidizi wasiopungua watano rasmi.
Kuanzia usalama, dereva, waandishi anafanya mawasiliano na watu wote wakubwa wa serikali kuanzia Rais, Wabunge, Wakuu wa Mikoa na vyombo vya usalama.
Anaweza akaamua Pascal leo ulale kituoni ukalala, usichukulie poa huyu komrade, tokea nimeenda ofisini kwake na kufanya naye mazungumzo nimetambua jamaa ana nguvu sana ndani ya serikali na chama, usichukulie poa. Mawasiliano ya Moja Kwa Moja na wakuu wengi anayo
Chama Sio mwisho wala kilele cha nguvu nchini!!nakuonya !wapo wenye nguvu wasio onekana!!wenye nchi yao!!Trust me maamuzi ya Mama kum eliminate kisasa pole pole ku m cost uraisi wake!!!Note this comment my friend!!Hana nguvu yoyote, kwasababu hana support yoyote anayotegemea, sio ya kifamilia wala kihistoria. Wala hana mizizi yoyote ndani ya chama. He is just a nobody. Ni kwamba anapepeta tu mdomo. Otherwise he is no body
Still 'time will tell..?'me nipo vizuri kuliko yeye, time will tell.
Ummmh nimekuinulia mikono ndugu yangu....ww c wa kawaidaMkuu hata kwa Makonda ulimpamba sana lakini leo hatajwi hata na radio KASIBANTE ya Bukoba Mjini
Wanasiasa na Binadamu hubadilika , baada ya uchaguzi huu Bashiru na Polepole wanaondolewa na hii ni compromise ambayo itafanyika na manguli wa siasa plus Deep state ili kuiokoa CCM 2025 , tofauti na hapo chama kinapotea mazima
Kwa hali ya sasa CCM ina hali mbaya sana tokea iwepo ,kinachofanyika ni kujikaza kisabuni na kutumia msaada wa Dola
Baada ya uchaguzi tukivuka salama tukakwepa Sanctions za Magharibi, tushukuru sana
Chama Sio mwisho wala kilele cha nguvu nchini!!nakuonya !wapo wenye nguvu wasio onekana!!wenye nchi yao!!Trust me maamuzi ya Mama kum eliminate kisasa pole pole ku m cost uraisi wake!!!Note this comment my friend!!