Japo anaonekana mtu wa kawaida tu ndani ya CCM, Humphrey Polepole sio mtu wa kawaida!, He is extra ordinary very powerful!

Japo anaonekana mtu wa kawaida tu ndani ya CCM, Humphrey Polepole sio mtu wa kawaida!, He is extra ordinary very powerful!

Utasubiri sana!.
P
Mkuu hata kwa Makonda ulimpamba sana lakini leo hatajwi hata na radio KASIBANTE ya Bukoba Mjini

Wanasiasa na Binadamu hubadilika , baada ya uchaguzi huu Bashiru na Polepole wanaondolewa na hii ni compromise ambayo itafanyika na manguli wa siasa plus Deep state ili kuiokoa CCM 2025 , tofauti na hapo chama kinapotea mazima

Kwa hali ya sasa CCM ina hali mbaya sana tokea iwepo ,kinachofanyika ni kujikaza kisabuni na kutumia msaada wa Dola

Baada ya uchaguzi tukivuka salama tukakwepa Sanctions za Magharibi, tushukuru sana
 

Baada ya uteuzi wa leo wa Humprey Polepole, nimemsikiliza tena huku nimetulia, na wewe ukimsikiliza huku umetulia, utakubaliana na mimi, hiki ni kichwa cha ukweli!.

Kiukweli JPM ana suka timu nzuri.
Hongera Polepole kwa uteuzi,
Mteuzi, amekiona kwako nilichokiona hapa!.
Just keep up being the way you are!.

P
 
Ulichosema ni kweli Polepole ni mtu mzito kuliko tunavyofikiria, nimewahi kwenda ofisini kwake Kwa ishu za hapa na pale, jamaa ana wasaidizi wasiopungua watano rasmi.

Kuanzia usalama, dereva, waandishi anafanya mawasiliano na watu wote wakubwa wa serikali kuanzia Rais, Wabunge, Wakuu wa Mikoa na vyombo vya usalama.

Anaweza akaamua Pascal leo ulale kituoni ukalala, usichukulie poa huyu komrade, tokea nimeenda ofisini kwake na kufanya naye mazungumzo nimetambua jamaa ana nguvu sana ndani ya serikali na chama, usichukulie poa. Mawasiliano ya Moja Kwa Moja na wakuu wengi anayo
Naunga mkono hoja.
P
 
Binafsi nimeanza kumfatilia Polepole kwa ukaribu wakati wa mchakato wa mabadiliko ya katiba mpya kuna vitu kadhaa nimeviona ndani yake ukiachilia hicho cheo alichonacho kwa sasa, katika hali ya kawaida huwezi kuelewa ukiweka ushabiki wa kivyama mbele.

Ana nguvu ya ushawishi na hoja, nafikiri ndiyo sababu iliyomfanya kupanda madaraja kiuongozi kwa haraka haraka.
Naunga mkono hoja, na sasa huyu ni Waziri mtarajiwa!.
P
 
Paskali uko sahihi sana na kweli huyo Polepole ana nguvu sana ndani ya CCM. Sababu hasa ya Polepole kuwa na nguvu ndani ya CCM

1. Polepole ni mtu aliyesoma mambo ya ccm na kuyakariri vyema hasa sheria na miongozo ya chama.

2. Polepole hakuwa sehemu ya wanachama wezi kwani hakuwa kuwa kwenye sehemu ya ulaji ndani ya chama au serikali kabla ya Magufuli, hivyo kuwa katika kundi la wanaccm wachache wasio na kashfa.

3. Magufuli hajui mambo mengi ya ccm, hivyo anamuamini na kumtumia zaidi Polepole kwenye taratibu zote za chama.

4. Magufuli ni mtu anayependa kunyenyekewa na kusujudiwa, na Polepole anamnyenyekea na kumsujudia Magufuli kuliko hata afanyavyo kwa Mungu. Hali hiyo inamfanya Magufuli kumkubali zaidi Polepole kuliko mwanaCCM yoyote, aliye chamani au serikalini.

Kwa sababu hizi hapo juu, Polepole ndio msiri na mshauri mkubwa wa CCM kuliko mwanaCCM yoyote. Hapo ndio nguvu zote za Polepole zilipo. Iwapo ukielewana na Polepole, basi wewe unaweza kupata cheo chochote ndani ya nchi hii.
Naunga mkono hoja.
P
 
Mkuu sipo kwaajili ya mnyukano wala ubishani, jaribu kumtazama kwa jicho la tatu huyu jamaa Kuna vitu utaviona ukishindwa kufanya hivyo uachie muda utatoa majibu mazuri siku za mbele, hata usijihangaishe kwendelea kuni-quote sitajujibu chochote.
Siku za mbele zenyewe ndio hizi zimeanza... subiri jina kwenye cabinet...
P
 
Kama hicho cheo ni kikubwa kama mnavyosema, mbona kakubali ubunge?

Sijui una akili gani huyo kateuliwa kua mbunge then waziri kamili, polepole kwenye chama kafanya kazi kubwa sana na anaenda serikalini kutekeleza majukumu mengine, kwa akili yako mjumbe wa sekretariet ya ccm unamuona mtu mdogo?
 
Back
Top Bottom