Jaribio la kigaidi kumuua Mh. Tundu Lissu, teknolojia kuwaumbua wahusika?

Tatizo tulilonalo wengi Tanzania watu wanamuona Lisu katika muonekano wa siasa zaidi, Kama vile yeye anaishi muda wote ndani ya siasa na uana sheria basi, wanasahau kuwa yeye kama binadamu wengine anaishi pia maisha mengine ya kawaida nje ya uana siasa na uana sheria, ana watu wanaompenda, wanaomchukia, kuna watu ameshakwaruzana nao nje na ndani ya siasa. Jaribu kujitathmini wewe binafsi kwenye maisha yako unakumbana na mambo gani na mangapi, Je yote yanatokana na kazi unayofanya?......Unavamiwa na vibaka ukitoka kazini utasema bosi wako kazini anahusika kisa mlikwaruzana kazini! Tanzania kuna watu bado wajinga sana wanaishi kwa kuhisihisi tu, ndio maana ushirikina upo juu sana nchi hii watu wanaishi kwa hisia hisia kuliko kisayansi ..Tuna safari ndefu sana sana kielimu na kisayansi....
 
Tatizo sio unachokiongea ila ni jinsi unakiongea, ni km unalilia hoja za kufikirika zaidi ndizo ziwe na nguvu.Ndio maana nilishauri hapa rais atumbue tuu kitengo cha longolongo ktk office yake. Hivi ukiulizwa hao watu unaodhani ni suspect ktk maisha yake binafsi hata wa kuhisi ni nani unaweza kuwa nao au ndio ktk live interview utaanza kugombana na watu? Hata km una nia ya kudanganya tafadhali jaribu kushauri huku uki narrow down domain ili polisi waone pa kuanzia na wafikie unalotaka wafikie. Unachoongea ni comfusion kwa polisi/na CCM kuweza kuwa ktk sync na wewe. Kwa vile watakumbana na maswali mengi sana na hawatakuwa na majibu km wewe.KWa ujumla nyie wapiga ramli wa UDSM lazima mbanwe sana misuli.Dunia imewapita sana. Umetukana watu hapa, wakati ulichoandika hapa kinaongeza unknowns bila kujua watu piga ua hawatachagua unknowns,watakwenda kwenye knowns parameters na hazitokuwa upande wako. Kinachoniuma ni kwamba mna majibu ya kijinga sana, kwa kiasi mkipewa jukumu la kuokoa nchi kwa maadui wa nje.Mtatuacha ktk bahari kubwa.Na mbaya zaidi ya yote ni kwamba aliyewapa hiyo nafasi hata km aliwabeba alitegemea mgejikaza na kudhihirisha hata mnaweza kumtoa kimasomaso.
 

Unachokiandika ndicho kilekile ninachokisema, kwahiyo unahisi mimi natetea kilichotokea kwake, don't be stereotype tunazunguka palepale.... kuishi kwa hisia hisia. We don't leave on subjective world these days, is only evidently proved life events makes us move positively forward. Dunia imewapita watu wanaoishi maisha ambayo ni subjective, kuhisi hisi. Just closing chapter
 
And it remains to be seen by the majority as well, chadema mrekebishe kwanza nyumba yenu ndio wengi tuweze kuwaamini, chadema Hamna msimamo, cdm Hamna demokrasia, cdm kuna ufisadi na favouritism, chadema you's a puppet, mshakuwa affiliated na vyama vya west vinasupport ushoga etc na you'll have to return the favour, chadema you've got a lot of shit to make right ili muaminiwe.
Nyie mtaendelea kulalamika pasipo kujichunguza ndani mwenu na kujisahihisha kama ccm wanavyofanya sasa, mtabaki kuwa wasindikizaji hadi kifo chenu.

Hatuwezi kufanya experiment ya kukabidhi uongozi wa nchi kwa watu hawajielewi.
 
Ni kweli teknolojia ina mambo mengi ya msaada. Pamoja na hiyo teknolojia, haizuii kujenga dhana mbalimbali ambazo kwa pamja au mmoja mmoja na kwa kuunganisha teknolojia hiyo unayoisema, basi tukaja na jibu ambalo litaondoa mashaka mbele ya sheria. Kumbuka, unaweza ukafikiri watu hawa wametumwa na fulani lakini ukajikuta sivyo na hivyo wao kubaki kuwa wao kwa sababu zao!
Tafakari!
 
Hatuwezi kufanya experiment ya kukabidhi uongozi wa nchi kwa watu hawajielewi.
Duh! Eti hatuwezi kukabidhi nchi! Hii sasa ni zaidi ya ulevi wa madaraka, ni uenda wazimu. Tatizo nadhani ni la vichaa kupewa rungu! [B]Oii[/B] mdogo wangu, wako wengi waliowahi kutoa kauli za kishetani kama hizi na mwisho wao haukuwa mzuri. Tafadhali sana, najua wewe ni mgeni lakini hii kauli si ya kutoa humu JF, ni kauli zinazoweza kutolewa kwenye blog za vijiweni, si forum kama JF! Mnaweza kudhani mnamtetea dikteta uchwara kumbe ndio mnamharibia...laiti ungejua hao mnaowategemea walivyoanza kunung'unika kichichini kwa kupewa maagizo ya hovyo! Kalaghabaho, wasalimie akina Gadafi!
 
Usijikweze na kumhusisha Mag3 na wanafunzi wa Osoro.
 
Mbona unafanya watu wawe na matumbo ya kuharisha!?
 
Hizi ndio theories za ajabu sasa...Will you keep on barking all day or start biting?
 
Hizi ndio theories za ajabu sasa...Will you keep on barking all day or start biting?
The King is naked...wewe endelea kumsifia alivyovaa vidudu ila angalia msije mkakutana an innocent child, katoto kanaweza kucheka hadi kakazimia kwani kwake utupu ni utupu. Je ulisoma angalizo nililotoa kwenye utangulizi?
 
Aisee nimechekaa?
Eti Bashite atayajulia wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
KUNA KAULI HZ ZINAMNYIMA RAHA BASHITE

1. WALIONISHAMBULIA NAWAFAHAMU
2. TULIJUA MUDA MREFU TUNAFUATILIWA

MTU ANAYEJUA MUDA MREFU ANAFUATLIWA LAZMA ACHUKUE HATUA

SASA HAIJULIKAN LISU NA DEREVA WALCHUKUA HATUA GAN INGAWA HATUA MOJAWAPO WALIYOICHUKUA NI KUHAKIKISHA RISAS HAZIFIK KCHWANI..

HAYO MENGNE YASYOJULIKANA NDYO YANAWANYMA WATU USNGz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…