Jaribio la kumteka Deogratius Tarimo (Deo Bonge) huko Kiluvya, na Maswali tata

Raia hao wamejionea ni walevi tu wanaotokea bar wameshalewa.

Wakanunuwe ugomvi wa watu wanaotoka bar?
Wewe muislamu shetani, shetani wewe. Unawadhalilisha waislamu wenzako.You should not be that hopeless! One can say that we are all "hopeless" to some extent, but not to the extreme hopelessness as you are!
 
Unasafari ndefu sana, alithibitishwa au ulivyoambiwa na wewe ukapokea kama ilivyo?
 
HIVI mgambo hawezi kukamata mtu.
Mgambo ni Msaidizi wa Police (Auxiliary Police )anaweza kukukamata ila destination yake ni kukupeleka kituo cha Polisi ,hata wewe unaweza kukamata mhalifu kwa mujibu wa Sheria ya mwenendo wa Makosa ya Jinai kifungu cha 16 (Arrest by Private Persons) ikiwa kuna mtu ametenda kosa la Jinai mbele yako, na hatma yake ni akupeleke Polisi ,sio akuchukue kukupeleka anapotaka. Na asijifanye ni Polisi ,na anapaswa akwambie kosa lako .
 
sisi wenyewe tuanze msako kuanzia na huyu jamaa anayonekana vizuri kabisa tumuue kufukisha ujumbe
 
Sio mtaa wa kuishi inabidi aludi kwao kwa wazee nyumban alipozaliwa kwanza at list mpaka mwakan kule hawatamfata kamwe
 
Hii nchi inavuja...
 
Umeamua kuwapa kabisa elimu ya utekaji ...
 
Jamaa hataki kuingilia kabisa yasiyo muhusu
 
Hakuna Mtanzania asiyeigopa serikali.
Awe mwana masumbwi, awe tajiri, awe maskini au tajiri.
Hakuna Mtanzania wa kumpiga pingu Mtanzania mwenzake mchana mbele ya watu kama si wakala wa vyombo vya ulinzi na usalama.
Tusipepese macho wale watekaji ni government agents. Kama si government agents basi ndani ya masaa 12 tu baada ya video kuvuja tayari nisikie wako selo wananyea ndoo.
Swali langu: Kwanini walimwacha baada ya kuona mambo si mambo?
Je, serikali inaweza kumshindwa raia mhalifu?
Askari anaruhusiwa kutumia silaha kupunguza nguvu ya mtuhumiwa endapo mtuhumiwa atakuwa mkaidi au kupambana na askari , je, kwanini hawakutumia silaha?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…