Jaribio la kumuua Trump: Kwanini aliyetoa taarifa kwa Secret Service na polisi kuwa juu ya paa kulikuwa na mtu mwenye silaha alipuuzwa?

Hiyo ni kwa sababu alipita tu hapo, hakusimama wala hakushuka kwenye gari eneo hilo, ndo maana hawakushughulika na hilo jengo.
Kama angekuwa na shughuli kwenye eneo hilo mze wale jamaa wangejaa humo kila mahali🏹🏹
Nimekuelewa mkuu
 
Nimeipenda hii
 
Asante
 
Yaani unawalaumu wenzako kuwa waelewa sana wakati huo huo wewe mwenyewe unataka kuonekana una uelewa sana kwa unacho kuwasilisha? 😂😂😂😂
Mimi nakataa kwa mawazo yangu, haliingii akilini mwangu kwa mazingira yale kwamba alitaka kuuwawa, ile ni sanaa ya nyumba ya sanaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…