Jaribio la kumuua Trump: Kwanini aliyetoa taarifa kwa Secret Service na polisi kuwa juu ya paa kulikuwa na mtu mwenye silaha alipuuzwa?

Jaribio la kumuua Trump: Kwanini aliyetoa taarifa kwa Secret Service na polisi kuwa juu ya paa kulikuwa na mtu mwenye silaha alipuuzwa?

Naamini idara za usalama za Marekani nazo hazimtaki Trump ashinde urais.

Wakati ule Trump akiwa Rais wa Marekani sera zake zilionekana kumbeba Putin, mpaka wapo waliosema Putin kafanikiwa kuliwekea taifa la Marekani Rais. Hii ilikuwa kama kashfa kwa wamarekani.

Je, this time watakubali Trump ashinde Urais? kwasababu inavyoonekana, ushindi wa Trump ni sawa na ushindi kwa Putin, mbaya zaidi wakati huu kuna vita kati ya Russia vs Ukraine, huku USA kila siku akitoa misaada ya kijeshi kwa Ukraine.

Donald Trump, J.F Kennedy in the making.
Kama ni kweli mamlaka za usalama hususani CIA hawamtaki basi asahau kurudi white house....

CIA wana power kubwa sana juu ya nani anatakiwa kuingia white house unless otherwise hizi ziwe ni nadharia tu na sio uhalisia.
 
Kwenye matukio kama hayo mtu wa kwanza kuhisiwa ni yule aliye madarakani.kumbuka huo ni mchezo wa siasa sio ujambazi.
mkulima akitaka kuuliwa basi mtu wa kwanza kumuhisi ni mfugaji
Haaaa hapo siyo Biden na chama chake tu ....bali yupo Zelensky na ukraine...bwana Zelensky anajua vizuri kuwa trump hawezi kuangaika na ukrain dhidi ya mrussi ..hivyo inawezekana tukio ilo ni kutokea ukraine pia.
 
Screenshot_20240714-084827_X.jpg
 
Naamini idara za usalama za Marekani nazo hazimtaki Trump ashinde urais.

Wakati ule Trump akiwa Rais wa Marekani sera zake zilionekana kumbeba Putin, mpaka wapo waliosema Putin kafanikiwa kuliwekea taifa la Marekani Rais. Hii ilikuwa kama kashfa kwa wamarekani.

Je, this time watakubali Trump ashinde Urais? kwasababu inavyoonekana, ushindi wa Trump ni sawa na ushindi kwa Putin, mbaya zaidi wakati huu kuna vita kati ya Russia vs Ukraine, huku USA kila siku akitoa misaada ya kijeshi kwa Ukraine.

Donald Trump, J.F Kennedy in the making.
Uzi ufungwee!!
 
HISTORIA JINSI ILIVYO KAMA MANAGEMENT YA C.I.A IKIWA HAIPENDEZWI NA SERA ZAKO ...................WAO WANA KUWAISHA MAPEMA TUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU ..................USIJE WALETEA NUKSI BUREEEEEEEEEEEE
 
Shuhuda huyo alitoa taarifa kwa polisi na Secret Service kuhusu shooter aliyekuwa amejificha juu ya paa akiwa na silaha.

View attachment 3041839

Mahali ambapo shooter alikuwa juu ya paa na Trump alipokuwa akifanyia campaign mita 130 (google earth photo)

View attachment 3041840
Secret Service Agents baada ya kufanikiwa kumuua shooter juu ya paa lilelile ambalo shuhuda alishatoa taarifa mapema kwamba alimuona mtu huyo lakini taarifa yake ikapuuzwa.


Wamarekani wanasema ni wakati wa mkuu wa Secret Service ajiudhuru.

Akiongea na BBC shahidi huyo aliweka wazi kuwa taarifa yake ilipuuzwa na vyombo vya usalama (Secret Service)
View attachment 3041843
Huyu whistleblower awe makini nae..
Angekuwa Africa msala wote angeshushiwa yeye
 
Ila Mimi nawaza kama tukio staged Kwa baadhi wanavyodai na wengine kusema kutokuwepo Kwa secret service kwenye jengo alipokuwa shooter it was planned, ina maana shooter alijitolea uhai for sake of politics?
Staged hadi iondoke na uhai wa mtu bullets fly huwezi uka stage kirahisi namna hiyo masuala ya shooting kwa US ni mengi sana na hili likiwemo
Mfumo haumtaki kabisa trump kama ambavyo trump pia hautaki mfumo kwa hiyo nadhani huu ndio utakuwa uchaguzi brutal sana kwa marekani kuwahi kushuhudia na huenda akapigwa tena risasi au apunguze baadhi ya ratiba za kampeni
 
Jamaa wameharibu vibaya sana ,wameamsha zile hisia za JFK...Na JFK alikua mkatoliki, huku pembeni Putin anasema hiiiiii.......huku nae alishasogea Cuba
Screenshot_20240714-131038_Telegram.jpg

Shuhuda huyo alitoa taarifa kwa polisi na Secret Service kuhusu shooter aliyekuwa amejificha juu ya paa akiwa na silaha.

View attachment 3041839

Mahali ambapo shooter alikuwa juu ya paa na Trump alipokuwa akifanyia campaign mita 130 (google earth photo)

View attachment 3041840
Secret Service Agents baada ya kufanikiwa kumuua shooter juu ya paa lilelile ambalo shuhuda alishatoa taarifa mapema kwamba alimuona mtu huyo lakini taarifa yake ikapuuzwa.


Wamarekani wanasema ni wakati wa mkuu wa Secret Service ajiudhuru.

Akiongea na BBC shahidi huyo aliweka wazi kuwa taarifa yake ilipuuzwa na vyombo vya usalama (Secret Service)
View attachment 3041843
 
Back
Top Bottom