Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Brazaj hauko Marekani ,Sweden wala Norway.....
Uko Afrika.....
Waafrika tuna demokrasia yetu.....
Mama akiachana kusakama wapinzani atakuwa zaidi ya Mandela.Ukilala Mbowe ukiamka Mbowe yaani ni misukure hii pinga pinga fc 🤣🤣
Maneno ya kukopikopi. Ni lini hatukuwa katika Uhusiano wa Kimataifa na tulikosa nini?Kuturudisha katika uhusiano MADHUBUTI na jumuiya ya kimataifa ......
Wizi kamuibia nani ?!!Unamaana huyu uhalali wake ni kupitia ghiliba, wizi na udhwalimu?
Mnajiridhisha kuwa kuna asiyependa haki, usawa wala uhuru.
Huoni kuwa kuna mambo hayako sawa vichwani aidha kwangu au kwako?
Ulitaka hilo jarida liitwe The Ufipa?Sawa ni Jarida la The Muslim..
Waswahili wanasema "halihitaji tochi"....mchana kweupeee unatafuta betri?!!!!Maneno ya kukopikopi. Ni lini hatukuwa katika Uhusiano wa Kimataifa na tulikosa nini?
🤣🤣Misukure hao wameshakatwa ndimi darini nyumbani kwa Mh.Mbowe.....Ulitaka hilo jarida liitwe The Ufipa?
Kichwa hakiongei mkuu 🤣H
Huo uhusiano umekusaidiaje sasa na wakati haupo ulikosa nini? Vichwa vingine vinapenda kuongea Maneno ya kuokotaokota tu
😍Jarida maarufu nchi Uturuki na Ulaya la “The Muslim 500” limemtaja Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kama kiongozi bora Mwanamke wa Mwaka mwenye ushawishi Duniani kwa Mwaka 2021-21.
Jarida la “The Muslim 500” hutoka kila baada ya Mwaka mmoja na husomwa Dunia nzima.
Kwa Jarida hili la “The Muslim 500” kumtaja Rais Samia Kama Kiongozi Bora wa Mwanamke wa Mwaka itachochea nafasi ya kukuza uwekezaji hapa nchini pamoja na kuongeza Utalii na kuitangaza Tanzania katika ramani za kimataifa....!!!
View attachment 1979938
On this subject, I reserve my comments. My be Missile of the Nation, The Undertaker, The Boss, Ahmed Rajab, Mohammed Said to mention a few can comment.Jarida maarufu nchi Uturuki na Ulaya la “The Muslim 500” limemtaja Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan kama kiongozi bora Mwanamke wa Mwaka mwenye ushawishi Duniani kwa Mwaka 2021-21.
Jarida la “The Muslim 500” hutoka kila baada ya Mwaka mmoja na husomwa Dunia nzima.
Kwa Jarida hili la “The Muslim 500” kumtaja Rais Samia Kama Kiongozi Bora wa Mwanamke wa Mwaka itachochea nafasi ya kukuza uwekezaji hapa nchini pamoja na kuongeza Utalii na kuitangaza Tanzania katika ramani za kimataifa....!!!
View attachment 1979938
Wizi kamuibia nani ?!!
Dhulma kamdhulumu nani ?!!
Kabla ya kuzishangaa siasa zetu hizo....mbona huushangai UJAMAA WETU WA KIAFRIKA aliouasisi hayati mwalimu JKN?!!D
Tafuta Msamiati mwingine kuelezea hizo Siasa zenu za Africa. Shehe hawezi kujiita Padri wakati hatendi majukumu ya Upadri.
Kumbe unalilia 1.3T? Akili za Kisultani kabisa za kusaidiwasaidiwa. Hizo mumepewa na Mungu na kama sio waliowapa wao wamepewa na Mungu ili wawagawie? Mawazo ya kijinga kabisa. Hakuna pesa ya bure hapa Duniani. Hizo pesa mtazirudisha kupitia Tundu lolote mwilini.Kichwa hakiongei mkuu 🤣
Bila ya kukurudisha huo uhusiano uliolegalega zile Trilioni 1.3 tungezisikia kwenye bomba.....
Dunia ina korona kwenda kulia sisi tulikuwa tunaelekea KUSHOTO....
Suala la Katiba mpya si la wizi Wala la dhulma....Wizi na dhuluma - hataki tume huru wala katiba mpya kabla ya 2025.
Dhuluma - hataki vyama vingine kufanya siasa zao kutafuta wanachama na hata kujiimarisha.
Wizi - anajua na alikuwa sehemu ya ghiliba za awamu ya tano.
SABAYA kathibitisha lukuki ya wizi anaofungamana nao achilia wa kwenye kura na kununua watu.
Kiukweli hili jarida sikuwahi kulisikia kabla
Tunasaidiwa kila uchao....afya ,elimu.....Kumbe unalilia 1.3T? Akili za Kisultani kabisa za kusaidiwasaidiwa. Hizo mumepewa na Mungu na kama sio waliowapa wao wamepewa na Mungu ili wawagawie? Mawazo ya kijinga kabisa. Hakuna pesa ya bure hapa Duniani. Hizo pesa mtazirudisha kupitia Tundu lolote mwilini.
Hivi huwa mnatazama mambo kiakinifu au Ni kuropoka tu tukishashiba. Mama ndo afanane na Mandela kweli? Kwa hiyo, huyu mama anawazidi Mkapa, Nyerere na hata Kikwete?Mama akiachana kusakama wapinzani atakuwa zaidi ya Mandela.
Kwani Mandela amewazidi Nyerere ,Mkapa na Kikwete?!!!Hivi huwa mnatazama mambo kiakinifu au Ni kuropoka tu tukishashiba. Mama ndo afanane na Mandela kweli? Kwa hiyo, huyu mama anawazidi Mkapa, Nyerere na hata Kikwete?