Hahahahah wengi mpo kihisia na hilo liko wazi 😂 ila inapokuja swala la ndoa wote mnatakaga kuwa on your best manners. Huwa mnaachaga magumashi yote kwa muda maalum.Nimecheka Kwa sauti
Naweza kupata mahali na nisikuache vilevile
Inategemea Niko hapo Kwa sbb gani
Karibu..Depo au Depal?? Anyway naomba unifungulie pm kuna issue flani hivi private nataka unifafanulie tafadhali
Haya uage kabisa lakini maana unaweza ukachelewa kurudi 😂Niandalie Cinzano na ng'ombe choma najindaa kabla ya saa Tano nishatia timu hapo chimbo!
[emoji28]Anakuja kwa Watibeli.
Sisi hatuna kazi mbovu. Hakuna Mwanamke aliyewahi kuingia katika anga letu akatoka.
Mkuu unachosema ni kweli na nimegundua Wanawake sasa hivi wanakuwa na backup kabisa. Akiona huku hakueleweki anahamia kule na bado ataendelea kutafuta backup nyingine tena.Maisha ya upweke kivipi ww 😂 wanawake wako very smart. Mwanamke hana confidence ya kuacha mtu kama hajapata pa kuji banza haswa hawa wamatumbi wenzetu. Ukiona demu anakuacha kwa mbwembwe jua kashapata pa kujishikiza.
Hawa watu acha tu, kama huwajui watakutesa mno na visanga vyao.Mkuu unachosema ni kweli na nimegundua Wanawake sasa hivi wanakuwa na backup kabisa. Akiona huku hakueleweki anahamia kule na bado ataendelea kutafuta backup nyingine tena.
Kwa upande wangu aisee huwa hawanitesi cha msingi ni kutowaweka sana akili watakuchosha tu.Hawa watu acha tu, kama huwajui watakutesa mno na visanga vyao.
[emoji23][emoji23]Watu wameachana tangu August 2023 (kwa mujibu wa Nifah)...
Thread ya kutemana imewekwa Dec 2023, miezi kadhaa mbele baada ya kutemana...
Mleta mada anasema kapewa taarifa na "Jasusi", baada ya kuona uzi wa Nifah...
Mleta mada kama wewe na huyo "Jasusi" ni washikaji, ungeshakuwa na habari hizi tangu zamani...
Kama wameachana, wameachana sisi haituhusu na wala tulikuwa hatuji kama wanakulana, na hata tungejua pia haituhusu, na ajabu ya mapenzi wanaweza wakarudiana...
Conclusion: Unatujazia server kwa habari za 2023
🤣🤣🤣🤣Mkubwa hatafutwiHaya uage kabisa lakini maana unaweza ukachelewa kurudi 😂
Kikubwa sana😂 slide kwa DM nikupe Dibaji.🤣🤣🤣🤣Mkubwa hatafutwi
Nanja ñdo nin?Malengo tu yakitofautiana inatosha kwa uamuzi wa mwanamke kukukacha. Wala ishu sio pesa ni focus tu. Mwanamke ikifikia mahali anataka ndoa akaona humpi akijitokeza mwenzio tu unaachwa Nanja😂
Nitamwita nimwelekeze ameanza kukengeuka.🤣🤣🤣🤣Mi najua wewe ni mzee kifimbocheza hebu mshughulikie huyu Kijana aisee
Nifah siwajui hata ila kiukweli wewe ndio ulimpenda sana jasusi,yeye hakuwa kivile inaonyesha hivyoo . Wahenga walisema usipende sana usije pata ugonjwa wa moyo. Bora awe mwanaum sio ke. Huyu anawake alikuwa anakutumiazź tu
Usichelewe maana nina mpango wa kubadili laini hadi February maana najua kuanzia kesho simu ni nyingi huyu anataka,kodi yule ada huyu uniform za wajomba, Vingamuzi vimeisha bando,[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yeah it's a digital life jirani.....nakuja pm kukupa number chap kwa haraka
Sahii kabisaMadeem bana, Kila siku nawaambia.
Mwanaume Huwa haoi mwanamke anayejua kabisa kua Amewahi kuliwa na FULANI.
NA NDIO maana waliowahi kuoa Wanawake wa hivo, Huwa wanaishi na wasiwasi sana .
Mwanaume yupo Radhi akaoe Malaya asojua kaliwa na Akina nani ila anajua kaliwa.
Ila atakua mgum kuoa mwanamke anayejua kabisa kaliwa na Fulani.
Najua hamtanielewa.
Njia panda flaniNanja ñdo nin?
Sawa Tajiri,huna BAYA🤣🤣🤣Usichelewe maana nina mpango wa kubadili laini hadi February maana najua kuanzia kesho simu ni nyingi huyu anataka,kodi yule ada huyu uniform za wajomba, Vingamuzi vimeisha bando,
Maji + umeme,nitakuwa nashinda jf tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeona juhudi zako,akikaidi ni vile ni mbishi wa kuzaliwaNitamwita nimwelekeze ameanza kukengeuka.