binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Jeffrey Epstein, Harvey Weinstein, Trump D. Na mwingine alikuwa kwenye industry ya urembo (mamodo) niliona ducumentary simfahamu vizuri.Only kwa Blacks sio!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jeffrey Epstein, Harvey Weinstein, Trump D. Na mwingine alikuwa kwenye industry ya urembo (mamodo) niliona ducumentary simfahamu vizuri.Only kwa Blacks sio!??
Mwepesi Sana. Just time will tellJiga hakuna wakumpeleka chini hata siku 1.
Jiga yupo mbele ya muda Sana
Hakuna binadamu ana roho mbaya Kama wewe Mtu mweusi.Hao mastar weusi wakifanikiwa wawe wanarudi afrika tuu au nchi zao origin maana wanasakwaa asubuhi na usiku wafungwee... watu weupee wana rohoo mbaya sanaa mbwa hawaa
Kwamba uchumi wa US kumeshikiliwa na weusi siyoeeOhoo wameamia kwa black american mwengine sasa. Snoop sijui kama atasalimika
Blacks walioshika uchumi wa nchi hawako safe tena marekani.
Hakuna binadamu ana roho mbaya Kama wewe Mtu mweusi.
Sio wote ni baadhi waliofanikiwa kuwa level ya juu kiuchumi.Kwamba uchumi wa US kumeshikiliwa na weusi siyoee
Walirudi wenye akili zao Tena wengine wakaja Tz mliwafanya Nini Cha maana zaidi ya kuwapuuza Hata ujuzi wao hamkuona Kama una umuhimuKama vipi warudi tu Africa
Wana wanasheria wazuri sana inakuwaje wanashindwa kesi?Kwenye hili naona wanasingiziwa. Watu wanatafuta pesa na umaarufu kupitia migongo ya watu.
Hawa jamaa wanapatwa na makosa ndio maana huwa hawachomokiHapana sio huko tu marekani. Huku kwetu ndio sana. Kungekuwa na democracy ya kweli wengi sana hata wakubwa wangeishia ngome. Kuna uwezekano mkubwa hata wewe umewahi kupita na ka-under17. Lakini ksbb kinaonekana kitu cha kawaida kwa huku.
Jambo la pili kuna kitu kinakuwa nyuma ya hawa masuperstar marekani ili kuwatawanya waje wapya. Pia kuna swala la hao wanaotengeneza kesi kutaka kujipatia utajiri kupitia hawa. Mambo ni mengi.
Oyaa sio poaDah!
Balaa kubwa.
Mwanamke hana kibakio, yeye ana kibakiwo hivyo kamwe mwanamke habaki labda wawe 7 kwa mwanamme mmoja au awe anakuzidi umri mara 3 zaidi.
Nje ya hapo mwanamke hawez kumbaka mwanaume itabid upimwe akili ndugu mbakwaji.
Marekani bana, mtu kafanya kosa mwaka 2000, wanakuja kufanya kesi 2024. Hawajui ya kuwa hao kwa sasa ni watu wawili tofauti. Yule wa 2000 anatofautiana sana na wa sasa kiakili, kihisia, kimtazamo, kimuonekani, nguvu, uthubutu nk. Binafsi wangenishtaki kwa makosa ya miaka 20+ iliyopita, naweza kusema sikumbuki kitu. Hata wakitoa ushahidi vipi, nasema I don't have any idea. Nadhani kesi itaishia hapo.
Kushuhudia maovu yakifanyika mbele yao na kushindwa kutoa taarifa sehemu husika au wanaweza kuwa accused kwamba ndiyo walikuwa wanawapelekea mabwana zao hao watoto.
Kama umesoma response statement ya Jigger mstari baada ya mstari baada ya hizi tuhuma. Jay is scared bro. Anybody would be scared. Nobody is untouchable.Jiga hakuna wakumpeleka chini hata siku 1.
Jiga yupo mbele ya muda Sana
Je! Ni blacks tu ndo wanafanya hayo... Tena ma star..
Truth shall be revealed!Kuna shida kwenye music industry hasa upande wa blacks
Mbona black celebs katika tasnia zingine za sanaa kama film industry n.k hatusikii
Hawa jamaa wa music drugs zinawasumbua sana