JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

JB: Mganda huyu ni nani na anafanya nini Tanzania?

Nyie watu weusi mbona mna wivu na choyo ya wenyewe kwa wenyewe?,yaani mtu aninvest na ku create employment kwa dada zenu kimwili na kifinance nyie mna mdiscuss,utakuta hoja hii concept yake ni mtu kaporwa mtu na huyo JB,basi anaanza kumchimba,mbona sijawasikia mkitaka kuwamulika wachina ambao wao ni worse kuliko investors wote.
 
shida yako ni kasi ya kumiliki ama uhalali wa umiliki?Inaonekana umeathiriwa na snail-pace attitude ya Kitanzania,ile ya mtanzania kununua kiwanja then anakaa miaka kumi ndio anaweka msingi.Waganda wanafanya kazi na wame-embrace ujasiriamali kwa moyo wa ujasiri na bidii.

acha kujidharau..hakuna uTanzania, u-ganda ama uMarekani kwenye ishu ya kutengeneza pesa...kinachojalisha ni juhudi yako na commitment na kuomba Mungu..mbona sisi tunao watu wa kujivunia tu ambao wamekua na bado wanaendelea kukua kwa kasi??,.Said Salim Bakhresa mfano??

acha fikra za kitumwa...we are born equal...we fall at our own discretions!!!
 
mwaka fulani tuliletewa net group solution hapa bongo,ikawa maarufu hata kupewa Tanesco,ikaleta shida,tulipoenda South Africa walikotoka tukaujua ukweli kwamba kampuni ni ya mbongo mwenzetu na hata haikuwa kampuni yenye hadhi kubwa huko kiasi cha kumilikishwa Tanesco.Siku nyingine tukaletewa Dowans hapa,tukaambiwa wamarekani wale ni noma kwenye nishati,ikaleta shida,tukaenda marekani,cyprus na kwingineko,tukakutana na wabongo wenzetu again,sasa mie nauliza swali,huyo JB anaekuja juu kwa kasi hivyo,na anasema yuko karibu na familia ya kwanza,je,huko kwao Uganda ni maarufu pia?je,alikuwa nazo tangu akiwa kwao au kazipatia hapa bongo?
 
mwaka fulani tuliletewa net group solution hapa bongo,ikawa maarufu hata kupewa Tanesco,ikaleta shida,tulipoenda South Africa walikotoka tukaujua ukweli kwamba kampuni ni ya mbongo mwenzetu na hata haikuwa kampuni yenye hadhi kubwa huko kiasi cha kumilikishwa Tanesco.Siku nyingine tukaletewa Dowans hapa,tukaambiwa wamarekani wale ni noma kwenye nishati,ikaleta shida,tukaenda marekani,cyprus na kwingineko,tukakutana na wabongo wenzetu again,sasa mie nauliza swali,huyo JB anaekuja juu kwa kasi hivyo,na anasema yuko karibu na familia ya kwanza,je,huko kwao Uganda ni maarufu pia?je,alikuwa nazo tangu akiwa kwao au kazipatia hapa bongo?

Ana hotel hata pale jengo la NSSF Jijini Mwanza niliwahi kupita siku moja nikaona jina la hiyo hotelil na magari aina ya NOAH kwa ajili ya wateja wa hotelini yamepaki nje ya hoteli.kama ni hivyo mhhhhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!
 
Ana hotel hata pale jengo la NSSF Jijini Mwanza niliwahi kupita siku moja nikaona jina la hiyo hotelil na magari aina ya NOAH kwa ajili ya wateja wa hotelini yamepaki nje ya hoteli.kama ni hivyo mhhhhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!

Mkuu FYI hotel hiyo imefunguliwa rasmi leo!!!!!
 
Mzee Mwanakijiji,

Mr Justus Baguma, a Ugandan entrepreneur in Tanzania, owns the JB Belmont, Savannah and some shops at Quality Centre and has also been elected the chairman of the Ugandan Community in Tanzania.

He is a self-proclaimed self made man and attributes his success to hard work... Whether "hard work" means "trouble for Tanzania" I don't know....

Based on what you have mentioned about JB I therefore don't see any problem with him. Hard work pays!
 
Kagame and Museveni...have they planted people in our system as done in Congo DRC? What is it? Tutsi dominance or plans to rule East Africa?
 
Kagame and Museveni...have they planted people in our system as done in Congo DRC? What is it? Tutsi dominance or plans to rule East Africa?

nimewahi kukaa karibu na nyumbani kwa mfanyabiashara mmoja mtz mwenye asili ya asia ambaye leo hii ana wadhifa mkubwa ktk chama tawala huko mikoani.tulizoeana sana na watoto wake.ilikuwa ni kawaida kwangu kumkuta M7 ndani ya nyumba hiyo hapa dar na alikuja mara kwa mara bila kutangazwa radio wala popote wala hakuna cha msafara wa rais wala nini.narudia tena,M7 hakuwa anakaa ikulu wala hakuwa na msafara.alikuwa akija specific kwa mahusiano yake ya kibiashara na huyo bwana.nyumba iliwekewa walinzi na FFU wakati akiwepo.dunia ina mambo hii...tena mengi...nijisongee nguna yangu nile miee..!na maswali sitaki!
 
nimewahi kukaa karibu na nyumbani kwa mfanyabiashara mmoja mtz mwenye asili ya asia ambaye leo hii ana wadhifa mkubwa ktk chama tawala huko mikoani.tulizoeana sana na watoto wake.ilikuwa ni kawaida kwangu kumkuta M7 ndani ya nyumba hiyo hapa dar na alikuja mara kwa mara bila kutangazwa radio wala popote wala hakuna cha msafara wa rais wala nini.narudia tena,M7 hakuwa anakaa ikulu wala hakuwa na msafara.alikuwa akija specific kwa mahusiano yake ya kibiashara na huyo bwana.nyumba iliwekewa walinzi na FFU wakati akiwepo.dunia ina mambo hii...tena mengi...nijisongee nguna yangu nile miee..!na maswali sitaki!

wakati huo nilikuwa ktk stupid age na hivyo sikuyachukulia yale niliyokuwa nayaona kwa uzito wa 3D!leo hii jf mnanifanya nianze update software za kichwa changu na kuingiza programme zinazodadavua mambo kwa kina!duh,kweli bongo hii..!karibuni nguna kwa msunga na mlenda!
 
Nimepita mwaka jana,uongo wangu uko wapi?Huwezi kulinganisha upande wa Tanzania na ule wa Uganda.Upande wa Uganda pamoja na kwamba kwa kipindi kirefu ulikuwa hauna umeme lakini bado maduka,hoteli,migahawa na hata benki viliendelea kujengwa.Miaka kumi ya wapi ?Kama private commercial bank inaweza kufungua tawi lake upande wa Uganda wakati the same bank imeona haina haja kufungua tawi hata Bukoba mjini,yaani bado tu hupati picha ya tofauti kwenye suala la kimaendeleo...
Si mpaka wa Mtukula tu,jaribu kwenda Sirari au Namanga ujionee tofauti ya uchangamfu kibiashara katika upande wetu na upande wa majirani zetu...Unapoona benki upande wa mwenzako halafu kwako hakuna sijui unapata picha gani kibiashara?Au unao ni uongo?

Uko sahihi mkuu,upande wa uganda kuna benki ya standard na ipo jengo moja na Uganda Revenue Authority,yaani wenyewe kila kitu wanamalizia pale,ila TZ ukitaka kulipa hata kodi inabidi ufunge safari ya km 80 hadi CRDB Bukoba.Pia shoppings zote za watu kutoka Ngara,Karagwe,Muleba na Bukoba wanafanyia Mutukula upande wa Uganda.
 
hivi ule msema kuhusu upeo wa uelewa wa watu unasemaje...GRAET MIND DISCUSS ISSUES...NOT PEOPLE. Nahisi tunapoteza muelekeo wetu kama great thinkers...tukimjadili JB kama jb TUNAJIVUA U-GREAT THINKER ILA TUKIJADILI VYANZO VYA UTAJIRI WA GHAFLA WA BWANA JB TUNAKUWA TUNAJADILI ISSUES NA KUUVAA UHALISIA WA JAMVI LETU.
NIPEWE MAJIBU KWA MASWALI YANGU MACHACHE KAMA IFUATAVYO:-

1-NINI CHANZO CHA UTAJIRI WA HUYU JB?

2-JE VYANZO VYA UTAJIRI WAKE NI HALALI? NA KAMA SIO HALALI SERIKALI IPO WAPI KULISHUGHULIKIA HILI

3-NANI YUKO NYUMA YA MAFANIKIO YA BWANA JB NA HASA KAMA NI MTU WA SERIKALI YETU

4-NA KAMA SIO MTU NDANI YA SERIKALI YETU JE NINI MADHARA YA UTAJIRI WA JB NA WATU WALIO-NYUMA YAKE KWA

5-USALAMA WA TANZANIA KI-UCHUMI, SIASA, UTAMADUNI NA ZAIDI USALAMA KAMA TAIFA.
 
kumiliki siyo tatizo. Anamiliki kwa namna gani ndiyo la kujadili

Hawa jamaa hawana nidham mmiliki wa Kamalpa anaitwa HASSAN BASSAJA BALABA Nae msumbufu kwelkwel kweli TANZANIA shsmba la bibi kila kona ALAFU SERIKARI HAINA MENO HATA jino moja ni hakuna haisikii hata mpige:violin:
 
Belmont...acha huyo tu, kuna waganda, makongo kibao wanaofanya kazi ya utapeli tu kwenye sekta ya madini..wanajiita generals, kanali, waasi kutoka kongo..kumbe matapeli wakubwa..mwaka jana walitutapeli fedha nyingi tu, wakakimbia zao kongo..lakini kibaya zaidi hawa jamaa huwa wakishatapeli hugawa fungu kwa polisi..ili wsikamatwe..wameharibu kabisa sekta yetu ya madini...na njia yao kubwa wanayotumia..ilikuishi hapa ni kuoa mabinti wa kitanzania na kuzaa nao ili kuhalalisha uwepo wao hapa nchini..nashangazwa na kusikitishwa sana na hali kama hii

....tatizo liko wapi?na hizo rushwa zisingekuwepo kama polisi wazawa wenzako wasingekuwa wanachukua,acha wanaume wajisaidie...seems hujawahi kuishi nje ya nchi uliyozaliwa.
 
acha kujidharau..hakuna uTanzania, u-ganda ama uMarekani kwenye ishu ya kutengeneza pesa...kinachojalisha ni juhudi yako na commitment na kuomba Mungu..mbona sisi tunao watu wa kujivunia tu ambao wamekua na bado wanaendelea kukua kwa kasi??,.Said Salim Bakhresa mfano??acha fikra za kitumwa...we are born equal...we fall at our own discretions!!!
Who told you najidharau?Najiamini naweza kupambana na mganda au mkenya na ndio maana nimekuwa nikiunga mkono na kuitetea hoja ya sisi kupambana katika jumuiya ya Afrika nasi kuonesha woga na kujidharau kwa kuikimbia.kamwe sitakubaliana na this kind of ---- ya kudiscuss maisha ya mtu,after all small minds discuss people...great minds discuss ideas.Sioni hoja yoyote ya sisi kuanza kumponda JB as long as he has not broken any law.
 
Please guys stop hate mentality. Nothing is impossible to the willing heart! Just work hard wherever in any of the East Africa Community Countries you'll success. But please do obey and follow their rules.
 
Hicho chuo kimejaa watumishi hasa wahadhiri waganda ambao professional qualification zao ni questionable.
Sielewi TCU waliwezaje kuwapa ithibati ya kufanya kazi ya kutoa elimu kwa kiwango cha degree bila kuangalia viwango vya elimu vya wahadhiri.

Pia kuna taarifa za wafanyakazi wazawa kubaguliwa na kunyanyaswa na hao waganda wa KIU.

kwa hiyo hapa kamanda Mwita Maranya unaiangalia pia TCU kwa jicho la kutowajibika?
mhhh Tanzania yetu jaman,nina hakika makaburi yetu ni lazima yaje kucharazwa viboko na wajukuu na vitukuu vyetu
 
haahaaaaaaaaaa
watasema watachoka na sisi tuhangaike tuwe kama yeye
binafsi na mpenda jamaa ana uchungu wa maendeleo sana sana ana maduka kama chupi za kodeco pale jengo la quality plaza na pale nssf ana hotel nzuri sana na mwanza nafikiri anayo na soon niliambiwa inafunguliwa
 
mbonna huyu mtu ni mtu mzuri ti ingawa alikuwa ni mwana jeshi uko uganda akakosana na mseveni akabwaga akaenda uingereza na badaye akarudi hapa tz akuweza kurudi uganda na ameoa mtanzania dada mmoja wa kihaya wanaishi tegeta wako vizuri kifedha ni tajiri sana
 
Back
Top Bottom