Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 4,043
- 8,686
Zile Lugha za Musiba mbona hajawai kuzikemea?IGP anafanya kazi yake, anakemea lugha zinazochochea uvunjifu wa amani
Sasa kama mtu hajajiandaa kushinda ila anaanza kuhamasisha watu kuingia barabarani ndio nini