minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
IGP dawa yake ni The Hague pekeeIGP Sirro ameshaonyesha rangi yake halisi ni muhimu CHADEMA kuwaandaa wafuasi wao kukabiliana na ccm na vijana wa Sirro.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
IGP dawa yake ni The Hague pekeeIGP Sirro ameshaonyesha rangi yake halisi ni muhimu CHADEMA kuwaandaa wafuasi wao kukabiliana na ccm na vijana wa Sirro.
Huwezi kupambana na uhalifu kwa kufanya uhalifuIGP anafanya kazi yake, anakemea lugha zinazochochea uvunjifu wa amani
Sasa kama mtu hajajiandaa kushinda ila anaanza kuhamasisha watu kuingia barabarani ndio nini
Kunatofauti kubwa sana ya mambo ya Mali na Bongo kuhusu utawala, uonevu na opportunities, ndio maana nakwambia utakuwa Bwege kuingia mtaani kisa Kichaa fulani kakosa whisky au kufuata unayosikia ya Mali bila kujiridhishaMali wajinga?hata hapa panachimbika jiandae
hivi alisema kumbeMarehemu kombani alimtabiria kifo Lowasa akaja kufa kabla ya lowasa
Huwa unakutana na wanyama unaojidanganya kuwa ni binadamu.Sijawahi kukutana na Binadamu asiyemchukia Tundu lisu, ...