Je, Afande Sirro ana chuki binafsi na Tundu Lissu? Kwanini atoe kauli kama hizi dhidi yake?

Je, Afande Sirro ana chuki binafsi na Tundu Lissu? Kwanini atoe kauli kama hizi dhidi yake?

Sirro pamoja na Jeshi la Polisi wanaona Wapinzani haswa CHADEMA Kama wahalifu, Haikushangaza pale aliposema Tundu Lissu akirudi tu watamkamata
Kweni siyo wahalifu?hv unajua kuna baadhi ya nchi ukienda nchi nyingine na kuisema serikali yako vibaya ukirudi wanakufanya nini? Hujui kuna nchi ukibadirisha wimbo wa taifa wanakufanya nini? Tambueni tu ya kwamba Tanzania kuna amani na watu wake (viongozi) hawana shida na mtu isipokua kuna watu wanalazimisha kwa faida zao
 
IGP anafanya kazi yake, anakemea lugha zinazochochea uvunjifu wa amani
Sasa kama mtu hajajiandaa kushinda ila anaanza kuhamasisha watu kuingia barabarani ndio nini
Wanapoongea akina Musiba, Nape na wengine wa CCM huyo IGP wako anakuwa amwbanwa na mavi nn. Kwann anashindwa kuwakemea au kukemea. This time lazima watatema vyeo na watashtakiwa kwa kutumia vyeo vyao vibaya. Bora tufe wachache kwa ajili ya wengine. Na ni bora kufa kwa kuwatetea wenzako. Ndivyo tutakavyofanya this time hakuna kumbembelezana wakirusha tunarusha, wakipiga tunapiga. Subiri ngoma ianze hapo 26/8 mmetunyanyasa vya kutosa SASA BASIII
 
aangalie kauli zake mwisho wa siku inawezekana kabisa akafa yeye akamwacha Tundu Lissu hai
 
Katika Mkutano wa Tume ya Uchaguzi, Vyama vya Siasa, Viongozi wa Dini, na Jeshi la Polisi, IGP ametumia muda mrefu kumshambulia Tundu Lissu na CHADEMA.

Hali hiyo ilisababisha mpaka Naibu Katibu Mkuu CHADEMA, Benson Kigaila, kuingilia kati ya kumtaka Mwenyekiti wa Tume, Jaji Kaijage, umuelekeze IGP Sirro kutokuishambulia CHADEMA.

IGP alitoa kauli mbalimbali za chuki na vitisho, lakini mbaya kuliko zote ni pale alipotamka, "KAMA UNATAKA KUFA, SUMU SI ZIPO."



Analinda ulaji wake bila kujali yanayotokea Mali na Beralus!
 
Ni lugha ipo inayo chochea uvunjifu wa amani, mtu akikuambia kuwa Safari hii mkiiba kura hapatatosha kwako hiyo Ni lugha ya kichochezi kweli ? Mbona anapo sema kuwa Kama atashindwa kiuhalali atakubali matokeo mbona kwa Hilo hamliungi mkono ?.
Wanajihami. Wamejiandaa kuiba kura. Kwa nini wawe wakali hivyo kwa mtu anayewaonya wasiibe kura?
 
IGP anafanya kazi yake, anakemea lugha zinazochochea uvunjifu wa amani
Sasa kama mtu hajajiandaa kushinda ila anaanza kuhamasisha watu kuingia barabarani ndio nini
Ukipewa mtihani wa insha, Nina uhakika hutatoboa. Bora kukaa kimya kuliko kuhalalisha ambacho hukukielewa vizuri.
 
Katika Mkutano wa Tume ya Uchaguzi, Vyama vya Siasa, Viongozi wa Dini, na Jeshi la Polisi, IGP ametumia muda mrefu kumshambulia Tundu Lissu na CHADEMA.

Hali hiyo ilisababisha mpaka Naibu Katibu Mkuu CHADEMA, Benson Kigaila, kuingilia kati ya kumtaka Mwenyekiti wa Tume, Jaji Kaijage, umuelekeze IGP Sirro kutokuishambulia CHADEMA.

IGP alitoa kauli mbalimbali za chuki na vitisho, lakini mbaya kuliko zote ni pale alipotamka, "KAMA UNATAKA KUFA, SUMU SI ZIPO."


IGP Sirro ameshaonyesha rangi yake halisi ni muhimu CHADEMA kuwaandaa wafuasi wao kukabiliana na ccm na vijana wa Sirro.
 
IGP anafanya kazi yake, anakemea lugha zinazochochea uvunjifu wa amani
Sasa kama mtu hajajiandaa kushinda ila anaanza kuhamasisha watu kuingia barabarani ndio nini
Sirro haoni kauli za Nape, Heri James na vijana wengine wa green guard?
 
IGP anafanya kazi yake, anakemea lugha zinazochochea uvunjifu wa amani
Sasa kama mtu hajajiandaa kushinda ila anaanza kuhamasisha watu kuingia barabarani ndio nini
Hivi kinachowashinda ccm kufanya uchaguzi huru na haki ni nini? Rejea chaguzi za znz
 
Afande Sirrro kaongea kwa kujifanya yuko neutral yeye pamoja na jeshi lake ..... ila ameshindwa kujificha. Kama wasemavyo jasiri haachi asili. Kitendo cha kuleta video ya CDM ya 2010 hapo amechemsha sana. Presantation yake kwa kiasi kikubwa kaonyesha ni jinsi gani walivyo bias ......!!
 
Katika Mkutano wa Tume ya Uchaguzi, Vyama vya Siasa, Viongozi wa Dini, na Jeshi la Polisi, IGP ametumia muda mrefu kumshambulia Tundu Lissu na CHADEMA.

Hali hiyo ilisababisha mpaka Naibu Katibu Mkuu CHADEMA, Benson Kigaila, kuingilia kati ya kumtaka Mwenyekiti wa Tume, Jaji Kaijage, umuelekeze IGP Sirro kutokuishambulia CHADEMA.

IGP alitoa kauli mbalimbali za chuki na vitisho, lakini mbaya kuliko zote ni pale alipotamka, "KAMA UNATAKA KUFA, SUMU SI ZIPO."



Damu ya Lissu inamlilia, hawezi kamwe kupata amani katika maisha yake mpaka kufa kwake...he wishes Lissu asingekuwepo hai maana Ingekuwa ni rahisi Kwao kuficha dhambi waliyoitenda...now Lissu is alive and telling the story, black and white!
 
Sijawahi kukutana na Binadamu asiyemchukia Tundu lisu, ...
 
Ni lugha ipo inayo chochea uvunjifu wa amani, mtu akikuambia kuwa Safari hii mkiiba kura hapatatosha kwako hiyo Ni lugha ya kichochezi kweli ? Mbona anapo sema kuwa Kama atashindwa kiuhalali atakubali matokeo mbona kwa Hilo hamliungi mkono ?.
Unadhani wote tunafikiri. Wengine wanawaza.
 
Katika Mkutano wa Tume ya Uchaguzi, Vyama vya Siasa, Viongozi wa Dini, na Jeshi la Polisi, IGP ametumia muda mrefu kumshambulia Tundu Lissu na CHADEMA.

Hali hiyo ilisababisha mpaka Naibu Katibu Mkuu CHADEMA, Benson Kigaila, kuingilia kati ya kumtaka Mwenyekiti wa Tume, Jaji Kaijage, umuelekeze IGP Sirro kutokuishambulia CHADEMA.

IGP alitoa kauli mbalimbali za chuki na vitisho, lakini mbaya kuliko zote ni pale alipotamka, "KAMA UNATAKA KUFA, SUMU SI ZIPO."



ajuwe wanao teseka kwa utawala mbovu wa ccm sio viongozi wa vyama ni wananchi wa kawaida. yeye haona hao ccm wanao sema watapinga watu mabuti ?
 
Wapinzani mmezidi upole.Wacha mkione cha moto.
 
mpuuzi huyo pia ajuwe wanao teseka kwa utawala mbovu wa ccm sio viongozi wa vyama ni wananchi wa kawaida. yeye haona hao ccm wanao sema watapinga watu mabuti ? sirro ni IGP wa ovyo kabisa.
The Hague haipo mbali na IGP wameipata video yake wanaifanyia kazi
 
Back
Top Bottom