minyoo
JF-Expert Member
- May 25, 2013
- 22,405
- 21,100
Yule mama hakutoa form kokote bali katengeneza story ya uongo akiamini chadema watadai form kwa nguvu wapate kisingizio cha kuwabambikia kesiKiukweli yako mambo yanasababishwa na vyombo vingine Ila lawama kwa polis.kwa mfano ujinga uliofanywa na mkurugenzi wa ubungo haukubaliki, anatoa fomu kwa wagombea feki..