Yule mama hakutoa form kokote bali katengeneza story ya uongo akiamini chadema watadai form kwa nguvu wapate kisingizio cha kuwabambikia kesiKiukweli yako mambo yanasababishwa na vyombo vingine Ila lawama kwa polis.kwa mfano ujinga uliofanywa na mkurugenzi wa ubungo haukubaliki, anatoa fomu kwa wagombea feki..
IGP The Hague inamwita
Mungukwahiyo CHADEMA inategemea kushinda uchaguzi kwa njia gani???
Sent from my G3226 using JamiiForums mobile app
kwahiyo Mungu yuko na CHADEMA peke yenuMungu
Tayari mahakama ya uhalifu ya kumataifa wameipata video yake wanafanyia kazi wakijiandaa na kesi kwa matukio yatayofuataSirro kumbuka hauko mbali na kustaafu ni vyema ukaandaa vyema maisha yako yasije yakawa ya dhiki na fedheha! Hujui yajayo! usije ukamalizia maisha yako mahakamani na mahabusu kama ambavyo unawaona wengine yakiwakuta.
Mungu atakaa vipi CCM wakati mnawabambikia kesi mnawapiga risasi chadema?kwahiyo Mungu yuko na CHADEMA peke yenu
[emoji3][emoji3]
Sent from my G3226 using JamiiForums mobile app
hayo ni mawazo yako, Mungu ni wa kila amuombaye.Mungu atakaa vipi CCM wakati mnawabambikia kesi mnawapiga risasi chadema?
This guy is very unfortunate to be IGP in this term Government. He knows it, however what can he do??!-- he is protecting his position so he has to please "the king".
Hamna lolote mnafiq huyoKushinda madhabahuni ndio tabia yake na mapenzi yake kwa mwenyezi Mungu. Tena tumshukuru sana anaiongoza nchi kwa kumtegemea Mungu
Nani ataingia barabarani? Njoo na wewe uingie barabarani mbona umekaa tu huko UK?Ninachoona ni kuwa wanajiandaa kwa matukio baada ya matokeo kutoka kufuatia kauli ya Lissu kuwa akishindwa kwa kuonewa anaingiza watu barabarani.
Swali ni je wanajua matokeo yatakuaje?
Whether you like or not; still he is IGP of this country!! And nothing you can doThis guy is very unfortunate to be IGP in this term Government. He knows it, however what can he do??!-- he is protecting his position so he has to please "the king".
IGP anafanya kazi yake, anakemea lugha zinazochochea uvunjifu wa amani
Sasa kama mtu hajajiandaa kushinda ila anaanza kuhamasisha watu kuingia barabarani ndio nini
Unawaza mtihani wewe mwanafunzi?? Sisi tunawaza maisha ya uwekezaji wewe unawaza kishule shule!!Sipati picha ulifanyaje mtihani wako wa darasa la 7
Unawaza mtihani wewe mwanafunzi?? Sisi tunawaza maisha ya uwekezaji wewe unawaza kishule shule!!