Je, atajiuzulu au atasubiri kura Wabunge ya kutokuwa na imani naye?

Watu wanapenda sana Madaraka.
Jana usiku Majaliwa ameita waandishi kwenye mashamba ya miwa kusema wapo wafanyabiashara wanaowasumbua TRA kwa kutumia majina ya viongozi. Hakujiuliza kwanini mwanae alituma watu kumtetea wasiseme mzigo ni wa mzee.

Anapenda kuondoka kwa mjadala wa aibu skendo ya kushiriki magendo.
 
Sijui km haya wananchi wanayotaka yatakuwa, dunia ya tatu hii siyo ta kwanza km kule kwa wenzetu.
 
Jana usiku Majaliwa ameita waandishi kwenye mashamba ya miwa kusema wapo wafanyabiashara wanaowasumbua TRA kwa kutumia majina ya viongozi.
Hakuna atakayeamini kwasababu ni muongo muongo sana.
Na ni kwanini Usiku? Kwenye Mashamba ya Miwa? 🤔


Katika kutafuta hiyo clip ya kwenye Mashamba ya miwa nimekutana na hii...

Karma is Bitch!



CCM imeoza.
 
Issue kama hio sio ya kujiuzulu,Labda ujiuzulu wewe kupost huku jamii forum.🤣🤣🤣
 
Halafu Zungu anasema tuendelee kukamuliwa Tozo.
 
Hakuna wakujizuru, binadamu wa siku hizi ni wabishi ana...
 
Mzee umebandika hoja kali mno.

Spinners wakiishikia bango nchi itatikisika
 
Kwa hiyo Namungo nae amekwenda kula samaki za mwisho mwisho?????
 
Serikali hailogwi [emoji23][emoji23][emoji23]…. Tunajua ni mchawi kweli hadi kupeleka Moshi kwenye gari la Magu haikuwa mchezo, apeleke Moshi TRA
ngoja tusubiri moshi wamepeleka wahuni sio Mama Mgaya, muda utaongea serikali ina individuals they will be dealt with kila mmoja na dhuluma yake, innocent majini yatamwacha lakini wahuni watanyonywa damu yote
 
Hiyo nafasi itaenda KWA INOCENT KAMA IKIWA HIVYO!!NIMEONA INOCENT AKISOGEZWA KAMA KETE YA DRAFT HADI KINGI!!
hahah bashungwa awe waziri mkuu pupuuu what a shame, labda kama anajiandaa kupinduliwa nawaapia hili jaribu la kumsogeza bashungwa karibu maeneo nyeti mtajionea mengi. Mungu wafunue watanzania wajua classes ya citizens na regions zao , uzalendo na uaminifu wao kwa mama tanzania sio kila mtu anafaa kuwa karibu na jikoni
 
Mpiga ramli umefika….!!
Franklin delano roosevelt na utawala wa miaka 12 ndani ya Tanzania!

Mkuu FDR ni Nani!!?

Nikicheki ramli zangu nawaona hawa;-ulega, aweso, Inocent,katelephone,mkono wa baunsa,mwinyi junior!!?

Ongezea nyama Sasa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…