Je, atajiuzulu au atasubiri kura Wabunge ya kutokuwa na imani naye?

Je, atajiuzulu au atasubiri kura Wabunge ya kutokuwa na imani naye?

Wakazi wa Kusini wanajua umafia wanaofanyiwa kwenye korosho, leo ameingia kwenye vitenge.

Hongera nyingi kwa Vijana wa TRA kufanikisha kazi Yao.
Aliposababisha mpinzani wake kwenye Jimbo akamatwe kwa tuhuma za Rushwa ili apote bila kupingwa ndio mwanzo niliachaga kumuamini tena
 
Tupo katika kipindi kingine cha mapambano yasionekana kwa macho, baada ya muhimili wa Bunge kutikisika kwa kauli ya aliyekuwa spika wa bunge sasa ni zamu ya Msimamizi wa shughuli za serikali.

Mwezi ujao vikao vya 9 katika bunge vinakwenda kuanza wakati wowote kuanzia hivi leo bunge linaweza kuja na agenda ya ya kutokuwa na imani nae.

Mjadala ulioibuka hivi karibuni wa suala la mfanyabiashara maarufu nchini Salome Mgaya Maarufu kama Mama Bonge unaweza kuset ajenda ya standard ya kile kitakachokwenda kujadiliwa Bungeni.

Katika hali isiyotarajiwa na wengi kinachokwenda kujadiliwa katika mkutano wa 9 utakaoanza November moja ya ajenda moto ni juu ya suala la kiongozi wa Serikali kushiriki kukwepa kodi.

Kuanzia tarehe 17 Oktoba hadi 30 Oktoba kamati za kudumu 4 za bunge zitaanza kukutana.

Familia yamtumia mwanaharakati Martin Maranja Masesa kupitia katika mitandao ya kijamii imevuja sauti ya moja ya wanafamilia mtoto wa msimamizi wa shughuli za serikali (PM) kuwa Martin MM alitumwa kuweka mambo sawa katika mitandao katika sakata hilo la ukwepaji kodi kuwa mzigo uliokamatwa wajitahidi mzee asitajwe.

Samia na chama kimejaribiwa;

Miongoni mwa vyama vikongwe vinavyotolewa mfano katika Afrika na dunia juu ya uimara wake, ukongwe wake na namna ya kinavyoweza kuhimili fukuto zake za ndani kikajisahihisha na kusonga mbele ni CCM. Kimeendelea kuwa ni mfano na hivi karibuni kinaweza kuingia katika rekodi ya kidunia kwa kuwa Chama kikongwe zaidi kubaki madarakani. Chama iko sasa kiko katika mtihani, kimejaribiwa.

-CCM inatajwa kuwa ni chama kinachosimamia misingi yake na chenye kujisahihisha kila pale kinapogundua kuwa kilifanya makosa yenye kukigharimu. Ndiyo maana katika sakata hili TRA wamekuwa wazi juu ya kukamatwa kwa mfanyabiashara Salome Mgaya.

Samia alifanya makosa, kosa kubwa lilikuwa ni kitendo cha kuruhusu kuishi na NYOKA ndani ya nyumba kama mtendaji Mkuu wa serikali akiamini kuwa “zimwi likujualo halikuli likakwisha” …ni kosa vitoto vya Nyoka kuanza kumea upya ndani Serikali.

Endapo ataamua kujiuzulu mapema kabla ya tarehe 1 November, Rais anayo mamlaka ya kuchagua na kupendekeza jina moja kwa ajili ya kupigiwa kura na wabunge wote..
Nyie wafanyabiashara msio waaminifu mnajulikana sana na fitina zenu lakini muda sio mrefu mtanasika tu kisha mkondo wa sheria utawahusu pima. Mnamwandama sana kiongozi wa shughuli za serikali bungeni ili mpachike mtu wenu bila kutambua kwamba mnaenda kusambaratisha watu wenu wote.

Tawala hizi zinabadilika msijione mnauhuru wa kufanya chochote mkafikiri mtaendelea kunyanyasa na kupora mali za umma
 
Kumbe ni Prime Minister Kassim Majaliwa Majaliwa..?

Sasa huyu Salome Mgaya a.k.a Mama Bonge ni nani? Na kwanini Salome Mgaya halafu kesi inakuwa ya PM Majaliwa? Huyu Salome Mgaya ni mke wa PM au iko vipi?

Kalamu JokaKuu Waminyato
Duh!
Mkuu 'Palm Beach', umeniita kwenye mada ambayo nilikuwa nachungulia na kupita tu bila kusema kitu. Niseme wazi kwamba haya maswala ya aina hii yamekuwa mengi sana ndani ya nchi hii kiasi kwamba ni vigumu kufahamu ukweli ulipo.

Ninaepukana sana na mada kama hizi, kwa sababu zinasikitisha na kuumiza moyo kujuwa kwamba watu wanaopewa majukumu ya kuwasaidia wananchi, wao wanatumia fursa hizo kujineemesha na kukwamisha juhudi za wananchi. katika kutafuta maendeleo yao.

Taasisi zilizopo kushughulikia uchafu kama huo unaosemwa, ni kama hazipo. hao vijana wa Mwenge wanapiga kelele na madudu waliyoyaona huko walikokuwa wakipita, hakuna kinachofanyika. Ripoti ya CAG kila mwaka imejaa madudu, lakini limekuwa ni swala la kawaida tu kulifanya kila mwaka. Takukuru sijawahi hata siku moja kusikia ripoti yao ya mwaka ikieleza kazi walizotekeleza....

Kwa hiyo, nadhani inabidi tukubali kwamba maswala kama haya ni sehemu ya utendaji wa serikali iliyopo madarakani.

baada ya kusema yote haya, pengine sasa umenistua, nami nianze kujikaza, niache woga wa kuumiza akili na moyo kufuatilia uozo huu unaoendelea ndani ya nchi yetu kwa sasa.

N.B. Mkuu 'The Palm Beach', imenilazimu nirudi juu kwenye mada husika na kuipitia upya:
Nilicho nacho uhakika sasa ni kwamba hii ni vita kati ya makundi kati ya wahusika ndani ya serikali na chama.
Wananyukana.
Mada hii imefadhiriwa na moja ya makundi hayo.
 
Nyie wafanyabiashara msio waaminifu mnajulikana sana na fitina zenu lakini muda sio mrefu mtanasika tu kisha mkondo wa sheria utawahusu pima. Mnamwandama sana kiongozi wa shughuli za serikali bungeni ili mpachike mtu wenu bila kutambua kwamba mnaenda kusambaratisha watu wenu wote.

Tawala hizi zinabadilika msijione mnauhuru wa kufanya chochote mkafikiri mtaendelea kunyanyasa na kupora mali za umma
Kuna jambo hapa, si bure.
Kuna msuguano wa aina fulani kati ya makundi mawili. muda si muda ukweli utajulikana.
 
Tupo katika kipindi kingine cha mapambano yasionekana kwa macho, baada ya muhimili wa Bunge kutikisika kwa kauli ya aliyekuwa spika wa bunge sasa ni zamu ya Msimamizi wa shughuli za serikali.

Mwezi ujao vikao vya 9 katika bunge vinakwenda kuanza wakati wowote kuanzia hivi leo bunge linaweza kuja na agenda ya ya kutokuwa na imani nae.

Mjadala ulioibuka hivi karibuni wa suala la mfanyabiashara maarufu nchini Salome Mgaya Maarufu kama Mama Bonge unaweza kuset ajenda ya standard ya kile kitakachokwenda kujadiliwa Bungeni.

Katika hali isiyotarajiwa na wengi kinachokwenda kujadiliwa katika mkutano wa 9 utakaoanza November moja ya ajenda moto ni juu ya suala la kiongozi wa Serikali kushiriki kukwepa kodi.

Kuanzia tarehe 17 Oktoba hadi 30 Oktoba kamati za kudumu 4 za bunge zitaanza kukutana.

Familia yamtumia mwanaharakati Martin Maranja Masesa kupitia katika mitandao ya kijamii imevuja sauti ya moja ya wanafamilia mtoto wa msimamizi wa shughuli za serikali (PM) kuwa Martin MM alitumwa kuweka mambo sawa katika mitandao katika sakata hilo la ukwepaji kodi kuwa mzigo uliokamatwa wajitahidi mzee asitajwe.

Samia na chama kimejaribiwa;

Miongoni mwa vyama vikongwe vinavyotolewa mfano katika Afrika na dunia juu ya uimara wake, ukongwe wake na namna ya kinavyoweza kuhimili fukuto zake za ndani kikajisahihisha na kusonga mbele ni CCM. Kimeendelea kuwa ni mfano na hivi karibuni kinaweza kuingia katika rekodi ya kidunia kwa kuwa Chama kikongwe zaidi kubaki madarakani. Chama iko sasa kiko katika mtihani, kimejaribiwa.

-CCM inatajwa kuwa ni chama kinachosimamia misingi yake na chenye kujisahihisha kila pale kinapogundua kuwa kilifanya makosa yenye kukigharimu. Ndiyo maana katika sakata hili TRA wamekuwa wazi juu ya kukamatwa kwa mfanyabiashara Salome Mgaya.

Samia alifanya makosa, kosa kubwa lilikuwa ni kitendo cha kuruhusu kuishi na NYOKA ndani ya nyumba kama mtendaji Mkuu wa serikali akiamini kuwa “zimwi likujualo halikuli likakwisha” …ni kosa vitoto vya Nyoka kuanza kumea upya ndani Serikali.

Endapo ataamua kujiuzulu mapema kabla ya tarehe 1 November, Rais anayo mamlaka ya kuchagua na kupendekeza jina moja kwa ajili ya kupigiwa kura na wabunge wote..
Tetesi zilizotufikia ni kwamba mzee wa super black aliandika barua ya kujiuzulu lakini Hangaya amemkatalia. Na kumkumbusha juu ya hotuba yake ( hangaya) ya kuruhusu viongozi kula kwa urefu wa kamba zao.

Kwa hiyo, super black bado yupo yupo sana.
 
Tupo katika kipindi kingine cha mapambano yasionekana kwa macho, baada ya muhimili wa Bunge kutikisika kwa kauli ya aliyekuwa spika wa bunge sasa ni zamu ya Msimamizi wa shughuli za serikali.

Mwezi ujao vikao vya 9 katika bunge vinakwenda kuanza wakati wowote kuanzia hivi leo bunge linaweza kuja na agenda ya ya kutokuwa na imani nae.

Mjadala ulioibuka hivi karibuni wa suala la mfanyabiashara maarufu nchini Salome Mgaya Maarufu kama Mama Bonge unaweza kuset ajenda ya standard ya kile kitakachokwenda kujadiliwa Bungeni.

Katika hali isiyotarajiwa na wengi kinachokwenda kujadiliwa katika mkutano wa 9 utakaoanza November moja ya ajenda moto ni juu ya suala la kiongozi wa Serikali kushiriki kukwepa kodi.

Kuanzia tarehe 17 Oktoba hadi 30 Oktoba kamati za kudumu 4 za bunge zitaanza kukutana.

Familia yamtumia mwanaharakati Martin Maranja Masesa kupitia katika mitandao ya kijamii imevuja sauti ya moja ya wanafamilia mtoto wa msimamizi wa shughuli za serikali (PM) kuwa Martin MM alitumwa kuweka mambo sawa katika mitandao katika sakata hilo la ukwepaji kodi kuwa mzigo uliokamatwa wajitahidi mzee asitajwe.

Samia na chama kimejaribiwa;

Miongoni mwa vyama vikongwe vinavyotolewa mfano katika Afrika na dunia juu ya uimara wake, ukongwe wake na namna ya kinavyoweza kuhimili fukuto zake za ndani kikajisahihisha na kusonga mbele ni CCM. Kimeendelea kuwa ni mfano na hivi karibuni kinaweza kuingia katika rekodi ya kidunia kwa kuwa Chama kikongwe zaidi kubaki madarakani. Chama iko sasa kiko katika mtihani, kimejaribiwa.

-CCM inatajwa kuwa ni chama kinachosimamia misingi yake na chenye kujisahihisha kila pale kinapogundua kuwa kilifanya makosa yenye kukigharimu. Ndiyo maana katika sakata hili TRA wamekuwa wazi juu ya kukamatwa kwa mfanyabiashara Salome Mgaya.

Samia alifanya makosa, kosa kubwa lilikuwa ni kitendo cha kuruhusu kuishi na NYOKA ndani ya nyumba kama mtendaji Mkuu wa serikali akiamini kuwa “zimwi likujualo halikuli likakwisha” …ni kosa vitoto vya Nyoka kuanza kumea upya ndani Serikali.

Endapo ataamua kujiuzulu mapema kabla ya tarehe 1 November, Rais anayo mamlaka ya kuchagua na kupendekeza jina moja kwa ajili ya kupigiwa kura na wabunge wote..
Wewe unaota mchana,hilo lichama mafisadi wote wanajificha humo.hutasikia chochote zaidi ya kulindana.kwani haya yameanza leo au umesahau historia?
 
Endapo ataamua kujiuzulu mapema kabla ya tarehe 1 November, Mwenyekiti na kamati kuu inayo mamlaka ya kuwajadili na kupendekeza majina matatu na lipatikane jina moja kwa ajili ya kupigiwa kura na wabunge wote..
Mshana sisi huku hatuna utamaduni uho Yani niache mpunga kilaisi hv[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Tetesi zilizotufikia ni kwamba mzee wa super black aliandika barua ya kujiuzulu lakini Hangaya amemkatalia. Na kumkumbusha juu ya hotuba yake ( hangaya) ya kuruhusu viongozi kula kwa urefu wa kamba zao.

Kwa hiyo, super black bado yupo yupo sana.
TETESI!!!!
 
Duh!
Mkuu 'Palm Beach', umeniita kwenye mada ambayo nilikuwa nachungulia na kupita tu bila kusema kitu. Niseme wazi kwamba haya maswala ya aina hii yamekuwa mengi sana ndani ya nchi hii kiasi kwamba ni vigumu kufahamu ukweli ulipo.

Ninaepukana sana na mada kama hizi, kwa sababu zinasikitisha na kuumiza moyo kujuwa kwamba watu wanaopewa majukumu ya kuwasaidia wananchi, wao wanatumia fursa hizo kujineemesha na kukwamisha juhudi za wananchi. katika kutafuta maendeleo yao.

Taasisi zilizopo kushughulikia uchafu kama huo unaosemwa, ni kama hazipo. hao vijana wa Mwenge wanapiga kelele na madudu waliyoyaona huko walikokuwa wakipita, hakuna kinachofanyika. Ripoti ya CAG kila mwaka imejaa madudu, lakini limekuwa ni swala la kawaida tu kulifanya kila mwaka. Takukuru sijawahi hata siku moja kusikia ripoti yao ya mwaka ikieleza kazi walizotekeleza....

Kwa hiyo, nadhani inabidi tukubali kwamba maswala kama haya ni sehemu ya utendaji wa serikali iliyopo madarakani.

baada ya kusema yote haya, pengine sasa umenistua, nami nianze kujikaza, niache woga wa kuumiza akili na moyo kufuatilia uozo huu unaoendelea ndani ya nchi yetu kwa sasa.

N.B. Mkuu 'The Palm Beach', imenilazimu nirudi juu kwenye mada husika na kuipitia upya:
Nilicho nacho uhakika sasa ni kwamba hii ni vita kati ya makundi kati ya wahusika ndani ya serikali na chama.
Wananyukana.
Mada hii imefadhiriwa na moja ya makundi hayo.
Hizo sentensi za mwisho ndiyo ukweli wa mambo...Aibu sana kwa nchi, watu wanatumia vyombo vya nchi kwa maslahi yao binafsi, cry my country...Lakini there is hope, ngoja tuone...
 
Hizo sentensi za mwisho ndiyo ukweli wa mambo...Aibu sana kwa nchi, watu wanatumia vyombo vya nchi kwa maslahi yao binafsi, cry my country...Lakini there is hope, ngoja tuone...
Wamepewa ruksa toka juu. Ni staili ya uongozi wa juu ndio unaoruhusu hayo, kwa hiyo wanautumia kama wanavyotarajiwa kuutumia.
Unapoambiwa na mkuu wako kwamba unakamba yenye urefu kadhaa utakaokuruhusu kula, wewe utaachaje kutumia fursa hiyo uliyopewa?
 
Tupo katika kipindi kingine cha mapambano yasionekana kwa macho, baada ya muhimili wa Bunge kutikisika kwa kauli ya aliyekuwa spika wa bunge sasa ni zamu ya Msimamizi wa shughuli za serikali.

Mwezi ujao vikao vya 9 katika bunge vinakwenda kuanza wakati wowote kuanzia hivi leo bunge linaweza kuja na agenda ya ya kutokuwa na imani nae.

Mjadala ulioibuka hivi karibuni wa suala la mfanyabiashara maarufu nchini Salome Mgaya Maarufu kama Mama Bonge unaweza kuset ajenda ya standard ya kile kitakachokwenda kujadiliwa Bungeni.

Katika hali isiyotarajiwa na wengi kinachokwenda kujadiliwa katika mkutano wa 9 utakaoanza November moja ya ajenda moto ni juu ya suala la kiongozi wa Serikali kushiriki kukwepa kodi.

Kuanzia tarehe 17 Oktoba hadi 30 Oktoba kamati za kudumu 4 za bunge zitaanza kukutana.

Familia yamtumia mwanaharakati Martin Maranja Masesa kupitia katika mitandao ya kijamii imevuja sauti ya moja ya wanafamilia mtoto wa msimamizi wa shughuli za serikali (PM) kuwa Martin MM alitumwa kuweka mambo sawa katika mitandao katika sakata hilo la ukwepaji kodi kuwa mzigo uliokamatwa wajitahidi mzee asitajwe.

Samia na chama kimejaribiwa;

Miongoni mwa vyama vikongwe vinavyotolewa mfano katika Afrika na dunia juu ya uimara wake, ukongwe wake na namna ya kinavyoweza kuhimili fukuto zake za ndani kikajisahihisha na kusonga mbele ni CCM. Kimeendelea kuwa ni mfano na hivi karibuni kinaweza kuingia katika rekodi ya kidunia kwa kuwa Chama kikongwe zaidi kubaki madarakani. Chama iko sasa kiko katika mtihani, kimejaribiwa.

-CCM inatajwa kuwa ni chama kinachosimamia misingi yake na chenye kujisahihisha kila pale kinapogundua kuwa kilifanya makosa yenye kukigharimu. Ndiyo maana katika sakata hili TRA wamekuwa wazi juu ya kukamatwa kwa mfanyabiashara Salome Mgaya.

Samia alifanya makosa, kosa kubwa lilikuwa ni kitendo cha kuruhusu kuishi na NYOKA ndani ya nyumba kama mtendaji Mkuu wa serikali akiamini kuwa “zimwi likujualo halikuli likakwisha” …ni kosa vitoto vya Nyoka kuanza kumea upya ndani Serikali.

Endapo ataamua kujiuzulu mapema kabla ya tarehe 1 November, Rais anayo mamlaka ya kuchagua na kupendekeza jina moja kwa ajili ya kupigiwa kura na wabunge wote..
Huenda ni mwendelezo wa game la akina Ndugai. PM ndiye mteule pekee wa Magufuli aliyebaki. Huenda safari hii katengenezewa zengwe.
 
Duh!
Mkuu 'Palm Beach', umeniita kwenye mada ambayo nilikuwa nachungulia na kupita tu bila kusema kitu. Niseme wazi kwamba haya maswala ya aina hii yamekuwa mengi sana ndani ya nchi hii kiasi kwamba ni vigumu kufahamu ukweli ulipo.

Ninaepukana sana na mada kama hizi, kwa sababu zinasikitisha na kuumiza moyo kujuwa kwamba watu wanaopewa majukumu ya kuwasaidia wananchi, wao wanatumia fursa hizo kujineemesha na kukwamisha juhudi za wananchi. katika kutafuta maendeleo yao.

Taasisi zilizopo kushughulikia uchafu kama huo unaosemwa, ni kama hazipo. hao vijana wa Mwenge wanapiga kelele na madudu waliyoyaona huko walikokuwa wakipita, hakuna kinachofanyika. Ripoti ya CAG kila mwaka imejaa madudu, lakini limekuwa ni swala la kawaida tu kulifanya kila mwaka. Takukuru sijawahi hata siku moja kusikia ripoti yao ya mwaka ikieleza kazi walizotekeleza....

Kwa hiyo, nadhani inabidi tukubali kwamba maswala kama haya ni sehemu ya utendaji wa serikali iliyopo madarakani.

baada ya kusema yote haya, pengine sasa umenistua, nami nianze kujikaza, niache woga wa kuumiza akili na moyo kufuatilia uozo huu unaoendelea ndani ya nchi yetu kwa sasa.

N.B. Mkuu 'The Palm Beach', imenilazimu nirudi juu kwenye mada husika na kuipitia upya:
Nilicho nacho uhakika sasa ni kwamba hii ni vita kati ya makundi kati ya wahusika ndani ya serikali na chama.
Wananyukana.
Mada hii imefadhiriwa na moja ya makundi hayo.
Hakika naunga mkono hoja, mada hii inafadhiliwa na kundi fulani.
 
N.B. Mkuu 'The Palm Beach', imenilazimu nirudi juu kwenye mada husika na kuipitia upya:
Nilicho nacho uhakika sasa ni kwamba hii ni vita kati ya makundi kati ya wahusika ndani ya serikali na chama.
Wananyukana.
Mada hii imefadhiriwa na moja ya makundi hayo.
Aaah, kumbe!

Kundi hili linanyukana na la PM ili ili mtu wao aunyakue u - PM..

Honestly, hakuna wakati mwingine tena ambapo Watanzania tunahitaji kuiona Tanzania mpya yenye mfumo mpya wa utawala wa kikatiba na kisheria usio na chembechembe za kijani asilani...
 
Back
Top Bottom