Jf is user generated forum, sharing is caring, kama una lolote ujualo wengine hatulijui, please share!
Duh...!, hii hawana muda mrefu ni relative ila utasubiri sana, kama fisi anavyoona mikono ya binadamu inavyo ning'inia anafuatilia nyuma kwa kuibia ibia akiamini inakaribia kuanguka!.
Wa Israel walikaa utumwani Misri miaka 400!. CCM ndio kwanza miaka 50!. Msikilize mwana jf huyu
Watch TBC Live!. " William Malecela na Ndoto ya CCM Kutawala Miaka 50!.
Mungu aweza kufanya lolote ni kweli husikia vilio vya waja wake wanao teseka, onewa na kunyanyaswa ila pia...
P