Je, atajiuzulu au atasubiri kura Wabunge ya kutokuwa na imani naye?

Je, atajiuzulu au atasubiri kura Wabunge ya kutokuwa na imani naye?

Aaah, kumbe!

Kundi hili linanyukana na la PM ili ili mtu wao aunyakue u - PM..

Honestly, hakuna wakati mwingine tena ambapo Watanzania tunahitaji kuiona Tanzania mpya yenye mfumo mpya wa utawala wa kikatiba na kisheria usio na chembechembe za kijani asilani...
Lakini ni muhimu waTanzania wapate uongozi sasa hivi utakaowaelekeza huko kwa haralka sana kabla ya 2025, vinginevyo tutaendelea tu kuwa chini ya hiki chama amabacho kimewaduwaza waTanzania wasijue la kufanya.

Kama safari hii itashindikana kuwaweka pembeni CCM, basi tena sijui wakati mwafaka utatokea lini na wapi.
 
By the way Hizo ni ndoto za mchana hivi jamani kwa siasa za Sasa za Tanzania zilizojaa anaupiga mwingi,bunge la Tanzania Kuna mtu wa kuibua hoja Kama hiyo na ikaungwa mkono na Nani wakati wanalinda maslahi ya chama Chao.

Any way tuseme mpina ameanzisha je,spika ataruhusu ijadiliwe?
Hakuna lisilowezekana chini ya Bongo
 
Mtu pekee aliyekua na ngozi ya chuma akajiuzulu alikua Edward Ngoyai Lowassa na yote kwa sababu hakua na njaa.PM huyu hawezi jiuzulu kwanza ameshatoa press kumsagia kunguni huyo aliyekamatwa na pia Bunge hili la sasa la Ndiyoooooooooooo Ndiyooooooooo kupiga kura ya kutokua na imani na PM ni jambo lisilowezekana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu pekee aliyekua na ngozi ya chuma akajiuzulu alikua Edward Ngoyai Lowassa na yote kwa sababu hakua na njaa.PM huyu hawezi jiuzulu kwanza ameshatoa press kumsagia kunguni huyo aliyekamatwa na pia Bunge hili la sasa la Ndiyoooooooooooo Ndiyooooooooo kupiga kura ya kutokua na imani na PM ni jambo lisilowezekana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Akasahau kuwa mwanae ndiye kinara wa kumtetea baba kuwa mzigo si wake.
 
Lakini ni muhimu waTanzania wapate uongozi sasa hivi utakaowaelekeza huko kwa haralka sana kabla ya 2025, vinginevyo tutaendelea tu kuwa chini ya hiki chama amabacho kimewaduwaza waTanzania wasijue la kufanya.

Kama safari hii itashindikana kuwaweka pembeni CCM, basi tena sijui wakati mwafaka utatokea lini na wapi.
I agree..

But what is important ni kuwa, watatoka tu na tutawasahau kabisa kabisa...

Haijalishi ni lini. Iwe kesho, ama 2025. Lakini mimi nakuhakikishia jambo moja kwamba, there's no more time for CCM...!!!
 
I agree..

But what is important ni kuwa, watatoka tu na tutawasahau kabisa kabisa...

Haijalishi ni lini. Iwe kesho, ama 2025. Lakini mimi nakuhakikishia jambo moja kwamba, there's no more time for CCM...!!!
Labda mwenzangu kuna unalolijuwa wewe, ambalo mimi silijui.
Kamwe siwezi kuhoji unachosema hapa.
 
Shida Vijana wa Ki Zanzibar wana ona muiba pekee kwa Mama ni Kassim Majaliwa. Hivyo wana tengeneza hila za kipumbavu kisa kodi ya vitenge isiyo zidi hata million 200.
Je hiyo mi hotel mnayo jenga nyie huko mbugani Kaskazini ni bilioni ngapi?

Plz Majaliwa usiji uzuru. Watanganyika wote tupo nyuma yako. Kama vipi na ww lipua skendo zao zote. Dawa ya moto ni moto.
 
Labda mwenzangu kuna unalolijuwa wewe, ambalo mimi silijui.
Kamwe siwezi kuhoji unachosema hapa.
Exactly, lipo nilijualo na kwa wakati wako hata wewe utalijua...

Vinginevyo, wewe amini tu kuwa, CCM hawana muda mrefu wa kuishi kwani kufa kwao kutathibitika rasmi kiasi cha kila mtu kushangaa na kusema...

Looh, hivi haya mambo yamekuwaje....!!!?

Farao na Wamisri wa kale walikuwaga na dhana na mawazo kama ya maCCM hivihivi...

Walikuwa wakiamini kuwa Israel angekuwa mtumwa wao milele...

Yaani baadhi ya Israel nao walishajikatia tamaa kiasi cha kuzoea hali ya utumwa na kuamini kuwa, wameandikiwa kuwa watumwa wa Misri milele...

Lakini Mungu alitumia njia rahisi mno kuwatoa kwa kuachilia pumbazo dogo kwenye akili ya Farao na serikali yake na kutoa maamuzi waliokuja kuyashangaa hata wao...

Walikuja kushituka, kuku ameshaliwa, wameachiwa manyoya tu kwenye sahani...

Yes, It happened. Mungu husikia kilio cha watu wake...

Na matukio ya kweli ya kihistoria yanatufundisha kujiamini na kuamini kuwa, Mungu husikia vilio vya watu wake wanaonewa na kunyanyaswa...

Na akichoka, hutumia njia rahisi mno kuwakomboa toka ktk utumwa wa watesi wao...!
 
Exactly, lipo nilijualo na kwa wakati wako hata wewe utalijua...

Vinginevyo, wewe amini tu kuwa, CCM hawana muda mrefu, kwani kufa kwao kutathibitika rasmi kiasi cha kila mtu kushangaa na kusema...

Looh, hivi haya mambo yamekuwaje....!!!?

Farao na Wamisri wa kale hawakuweza kuamini kuwa, wale watumwa wao (Israel) ambao walijenga dhana ya kudumu kuwa hao wangekuwa ni watumishi wao milele na kwamba ingetokea siku rahisi wasioidhania wangekombolewa kirahisi sana...!

It happened. Matukio ya kweli ya kihistoria yanatufundisha kujiamini na kuamini kuwa, Mungu husika vilio vya watu wake na akichoka, hutumia njia rahisi mno kuwakomboa toka ktk utumwa wao...!
Mimi siyajui uyasemayo mkuu ila nakuelewa..
 
Vinginevyo, wewe amini tu kuwa, CCM hawana muda mrefu wa kuishi kwani kufa kwao kutathibitika rasmi kiasi cha kila mtu kushangaa na kusema...
Umeandika mengi ya kutia moyo, nami nitaendelea kujifunza na kusikiliza. Hii CCM imekuwa balaa la nchi sasa!
 
Exactly, lipo nilijualo na kwa wakati wako hata wewe utalijua...

Vinginevyo, wewe amini tu kuwa, CCM hawana muda mrefu wa kuishi kwani kufa kwao kutathibitika rasmi kiasi cha kila mtu kushangaa na kusema...

Looh, hivi haya mambo yamekuwaje....!!!?

Farao na Wamisri wa kale walikuwaga na dhana na mawazo kama ya maCCM hivihivi...

Walikuwa wakiamini kuwa Israel angekuwa mtumwa wao milele...

Yaani baadhi ya Israel nao walishajikatia tamaa kiasi cha kuzoea hali ya utumwa na kuamini kuwa, wameandikiwa kuwa watumwa wa Misri milele...

Lakini Mungu alitumia njia rahisi mno kuwatoa kwa kuachilia pumbazo dogo kwenye akili ya Farao na serikali yake na kutoa maamuzi waliokuja kuyashangaa hata wao...

Walikuja kushituka, kuku ameshaliwa, wameachiwa manyoya tu kwenye sahani...

Yes, It happened. Mungu husikia kilio cha watu wake...

Na matukio ya kweli ya kihistoria yanatufundisha kujiamini na kuamini kuwa, Mungu husikia vilio vya watu wake wanaonewa na kunyanyaswa...

Na akichoka, hutumia njia rahisi mno kuwakomboa toka ktk utumwa wa watesi wao...!
Okh Naona malkia ameagiza vikosi vyake vikafanye mazoezi ya kijeshi HUKO kusini KWA kina katelephone!(source-milad Ayo updates)

NASIKIA vugu vugu la kinyonga wa kijani kuondoka litaanzia hapo novembre na desembre mwaka huu!!

Kuna mpasuko utatokea ambao utagawa pande Mbili ndani ya kijani ni hapo ndipo kifo kitatokea Rasmi!!!

Malkia aliambiwa mchakato wa kitabu kipya uanze Rasmi mwaka huu ,matokeo yake akaanzisha kikosi cha mchongo kinyume na matakwa ya dola!

TUSUBIRI!!
 
Exactly, lipo nilijualo na kwa wakati wako hata wewe utalijua...

Vinginevyo, wewe amini tu kuwa, CCM hawana muda mrefu wa kuishi kwani kufa kwao kutathibitika rasmi kiasi cha kila mtu kushangaa na kusema...

Looh, hivi haya mambo yamekuwaje....!!!?

Farao na Wamisri wa kale walikuwaga na dhana na mawazo kama ya maCCM hivihivi...

Walikuwa wakiamini kuwa Israel angekuwa mtumwa wao milele...

Yaani baadhi ya Israel nao walishajikatia tamaa kiasi cha kuzoea hali ya utumwa na kuamini kuwa, wameandikiwa kuwa watumwa wa Misri milele...

Lakini Mungu alitumia njia rahisi mno kuwatoa kwa kuachilia pumbazo dogo kwenye akili ya Farao na serikali yake na kutoa maamuzi waliokuja kuyashangaa hata wao...

Walikuja kushituka, kuku ameshaliwa, wameachiwa manyoya tu kwenye sahani...

Yes, It happened. Mungu husikia kilio cha watu wake...

Na matukio ya kweli ya kihistoria yanatufundisha kujiamini na kuamini kuwa, Mungu husikia vilio vya watu wake wanaonewa na kunyanyaswa...

Na akichoka, hutumia njia rahisi mno kuwakomboa toka ktk utumwa wa watesi wao...!
Kung'ang'ana KWA malkia kugombea muhula ujao ndio dalili kuu ya anguko la kijani!
 
CCM haijawahi kujirekebisha [emoji23][emoji23][emoji23]wananchi ndio wameamua kuamini CCM imejirekebisha
 
Back
Top Bottom