- Thread starter
- #221
Swali muhimu ni kwanini mtoto wa PM kwa kushirikiana na watumishi wasiokuwa waaminifu walistage mitandaoni kwa kusema TRA inabambikia watu kodi…?
Tuwapongeze TRA kwa ujasiri wa kutoa Taarifa kwa umma juu ya upotoshaji uliofanyika kupitia kwa mtoto wa Waziri Mkuu.
Tuwapongeze TRA kwa ujasiri wa kutoa Taarifa kwa umma juu ya upotoshaji uliofanyika kupitia kwa mtoto wa Waziri Mkuu.