Kuna utafiti unaonesha watoto walioteswa au kuwa mbali na baba zao, hutafuta upendo kwa wanaume baki, au ikitokea mwanaume akamuonesha ukarimu na wema fulani, basi atakuwa karibu naye kwani hakuyapata hayo kwa Baba yake, na ukaribu ukupitiliza, yanatokea haya yanayopigiwa mwayo zama hizi.Alifanya vyema maana aliwaandaa kwa ajili ya kupambana na hii dunia ya kiwaki.
Angezubaa mngekua mchele mchele, vijana rojo rojo mnaopenda kuita ita dadi .
ENDELEZA moto huo huo kwa wanao.
Mwanaume ukipenda kudekezwa huchelewi kufinywa kajicho.
Hongera nyingi ziende kwa huyo soja.
Ni mistreat sio treat tu.Alitakiwa kuwa-treat zaidi ya hapo.
tatizo wazazi wengi wanafikiri kufanya kukomeshea au kuonekana una hasira kunamfanya mtoto awe na tabia nzuri na huku kila mtu anazaliwa kivyake kama una asili ya uvivu ,ukaidi utakua hiyo..Kibaya zaidi unampoteza mtoto maana nayeye anaishi nyumbani kwa masharti ndio unampoteza maana hutakaa kama mzazi kufahamu changamoto binafsi za mtoto. Maana utakuta mtoto anaweza kuwa na shida ila umeshamounesha hii picha anaona anaweza kumuambia ukampiga, adhabu mwisho siku anaamua kukausha.....Ndio hapa unakuta mzazi anajua mwanae yuko hivi kumbe yuko tofauti...Wazazi tutumie mbinu tofauti kuwajengea uwezo, tabia, watoto huuu ubabe wa kipumbavu haufai,,,,Nazungumza hapa maana kaka yangu ni mlemavu baada ya mzee kulazimisha kumbebesha mzigo wa mahindi tena nakumbuka mama kamuambia mpunguzie aende arudie akakataa kaka akajitwisha mara ya kwanza akashindwa mama akasimama akamuambia mzigo ni mkubwa akalazimisha kaka yangu akajitwisha akaufikisha kichwani alitembea kama hatua tatu akaanguka basi akalia sana kwa maumivu kumsogelea hakuweza kusimama baba akawa anadhani anakiburi akatafuta fimbo akaanza kumchapa bro hakusimama mpaka masaa bado yuko chini kumpeleka hospitali wakasema uti wa mgongo umpata hitilafu..tokea siku hiyo akawa wa wheelchair ...i hate himBaba yangu alikuwa kanali wa jeshi la wananchi (jwtz)huko kusini mwa Tanzania mkoa unaozalisha mahindi kwa wingi hapa nchini mzee wetu alikuwa mkali Sana
Nakumbuka mwaka 2008 wakati Mimi nko darasa la sita ,kaka yangu mkubwa first born yupo form one na mdogo angu marehemu kwa Sasa (r.i.p) tulipewa kazi ya kubeba tofali 100 Mimi na Kaka, mdogo wetu abebe tofali 50 na sehemu zilipokuwa tofali ni mbali Sana hakuna gari unabeba kichwani unavuka Kama mitaa 3 mikubwa nakumbuka siku Ile tulibeba tofali mpaka unalia njia nzima unapumzika ukikutana mtu mnaye fahamiana anakupiga tafu kidogo,nakumbuka bimkubwa alikuwa ana toa machozi kutuhurumia na sauti kwa mzee hana ilibidi tupambane tu
Tukio lingine home tulikuwa na eneo kubwa mzee alipanda miti ya matunda na migomba kila mtu alipewa miti yake ole wake mti wako unyauke utachezea fimbo na adhabu zakutosha
Ukirud shuleni baada ya kula unachukua ndoo zako unaenda mtoni kuchota maji tulikuwa tunaisha karibu na mto na usiku ata arudi saa 6 anachukua tochi anapita kugagua kila mti Kama umepata maji ya kutosha ole wako usimwagilie utaenda mtoni usiku kuchota maji umwagilie
Nakumbuka nilikuwa mchezaji mzuri Sana wa mpira nishachaguliwa Sana umintashuta na umisenta kwenda kuwakilisha shule kwenye soka Ila tatizo mzee alikuwa hataki kusikia habari za mpira alichotaka yeye ni kusoma tu na saa 12 jioni uwe ndani kipaji kikapotea...
Tukio lingine nyumbani tulikuwa tunafuga kuku Kuna siku moja kuku mmoja jogoo kumbe hakulala ndani na sisi hatukukagua na tulikuwana na jogoo mmoja tu kwa wakati huo usiku kumbe mzee ajalala anasikilizia saa 9 jogoo awike kimya saa 11 alfrajiri Tena kimya jogoo ajawika akatoka kwenda chumba Cha kuku kuangalia kumbe yule jogoo hayupo nakumbuka tuliamsha wote nyumba nzima tukatafute kuku Hadi tumpate ilikuwa kasheshe kila pori tunatafuta hatuna ata tochi tulifanikiwa kumpata asubuhi kesi ikaisha
Ni matukio mengi Sana yalitokea home mzee alikuwa mafia afu acheki ovyo majirani walikuwa wanamuogopa Sana
Nw kastaafu yupo nyumbani tu Japo ukali umepungua wajukuu na ndugu wanaoishi pale wananienjoy tu
Fact mkuu Hilo halina ubishi wazazi wanatumia Sana force kwenye malezitatizo wazazi wengi wanafikiri kufanya kukomeshea au kuonekana una hasira kunamfanya mtoto awe na tabia nzuri na huku kila mtu anazaliwa kivyake kama una asili ya uvivu ,ukaidi utakua hiyo..Kibaya zaidi unampoteza mtoto maana nayeye anaishi nyumbani kwa masharti ndio unampoteza maana hutakaa kama mzazi kufahamu changamoto binafsi za mtoto. Maana utakuta mtoto anaweza kuwa na shida ila umeshamounesha hii picha anaona anaweza kumuambia ukampiga, adhabu mwisho siku anaamua kukausha.....Ndio hapa unakuta mzazi anajua mwanae yuko hivi kumbe yuko tofauti...Wazazi tutumie mbinu tofauti kuwajengea uwezo, tabia, watoto huuu ubabe wa kipumbavu haufai,,,,Nazungumza hapa maana kaka yangu ni mlemavu baada ya mzee kulazimisha kumbebesha mzigo wa mahindi tena nakumbuka mama kamuambia mpunguzie aende arudie akakataa kaka akajitwisha mara ya kwanza akashindwa mama akasimama akamuambia mzigo ni mkubwa akalazimisha kaka yangu akajitwisha akaufikisha kichwani alitembea kama hatua tatu akaanguka basi akalia sana kwa maumivu kumsogelea hakuweza kusimama baba akawa anadhani anakiburi akatafuta fimbo akaanza kumchapa bro hakusimama mpaka masaa bado yuko chini kumpeleka hospitali wakasema uti wa mgongo umpata hitilafu..tokea siku hiyo akawa wa wheelchair ...i hate him
Inawezekana lakini sio wote yanachangia na malezi yakoKuna utafiti unaonesha watoto walioteswa au kuwa mbali na baba zao, hutafuta upendo kwa wanaume baki, au ikitokea mwanaume akamuonesha ukarimu na wema fulani, basi atakuwa karibu naye kwani hakuyapata hayo kwa Baba yake, na ukaribu ukupitiliza, yanatokea haya yanayopigiwa mwayo zama hizi.
Mkuu 50% yamenisaidia..tushapoa mkuu tunazidi kumuombea apumzike salama kifo Cha mdogo wangu ni mipango ya munguUmefaidika aje na haya mateso? Pole kwa kufiwa na ndogo wako, natumaini hakufariki akiwa anapitia mateso ya mzazi wake.
Mkuu Ilo kweri mzee alituanda kwa ajili ya maisha ya kesho ..Japo muda mwingine tuliteseka Ila heshima nyingi kwake mshuaAngalia maisha yako ya sasa, yameathiriwa vibaya au vizuri na namna mzee alivyowalea.
Nikupe stori kuhusu (sisi)
Baba yetu alikuwa mdemokrasia sana. Nyumbani tulikuwa watoto wengi sana, mimi nilkuwa mdogo sana. Kaka zangu waliwekeana zamu ya kwenda kuchunga ng'ombe, lakini ilikuwa ikitokea mwenye zamu hajaenda baba alikuwa anaenda mwenyewe kuwachunga. Yeye ilikuwa ukiwa na shida na kitu ukimfuata atakwambia nenda kaombe ulikoshinda siku ambayo hukuenda kuchunga ng'ombe.
Tabia ya baba ya kuwa mdemokrasia sana ilifanya kaka zangu wengi waachie shule njiani. Maana ilikuwa kama hawajaenda shule atauliza "vipi mbona hujaenda shule ukijibu naumwa.. atakwambia tu, shauri yako utaumwa mpka uzeeni"
Yeye alikuwa mchapakazi sana, na alikuwa na mafanikio makubwa sana, ameacha mali nyingi sana ambazo sasa watoto wake wanagombaniana [emoji23]
Alipenda kufundisha kwa mifano sana, kwa mfano kipindi wakija watu wazima kuomba kazi ya kupalilia migomba au mahindi atakutuma ukamuoneshe shamba, ukirudi atakwambia "umeona yule mtu, alivyokuwa kama wewe alikuwa anacheza, usipokuwa makini utakuja nawe kuomba vibarua ukiwa mzee".
Na utu uzima huu, nimegundua maneno pekee hayatoshi kuleo mtoto, muda mwingine misimamo kama ya baba yako ndo inafanya mtoto awe kwenye njia flani nzuri, hata si ukatili. Malezi ya kubembelezana si maadili yetu, tumeiga tu ndo maana jamii sasa imepotoka maana hata mtoto akikosea eti inabidi uongee naye, umbembeleze (nani kasema) ujinga na upumbavu upo kwenye akili ya mtoto, anatakiwa anyooshwe hata kwa viboko.
Tumechukua tamaduni za watu, sasa hata namna ya kulea watoto wetu tunaita ukatili. Katili atanyima msosi, atakunyima pa kulala. Lakini adhabu ya kubeba tofali ukizingua ilikuwa si ukatili, alikuwa anakuandaa kukabili nyakati ngumu katika maisha, pia alikuwa anakuandaa kusimamia msimamo, ndo maana ilikuwa usipomwigilia miti hata saa nane ya usiku utaenda mwagilia. Hiyo ilikuwa na maana kuwa unakiwa kufanya wajibu wako kwa wakati sahihi.
Kwa upande wangu baba yako alikuwa sawa sana.
Kuwa shoga ni malezi au tabia Kuna mashoga wengine general wamezaliwa wako hivyo so unaweza ukapitia msoto mkali na mwisho wa siku ukawa shogaMshukuru Mungu hukawa shoga,umelelewa vyema malezi mabovu huharubu watoto
Mkuu tulifundishwa maisha na kudhamini na heshima so kwangu sijaona Kama Yuko hivoKwa heshima na taadhima napenda kukwambia kuwa baba yako alikua mshamba sana
Kwenye uzi wako umeuliza swali kwahiyo usitake kusikia majibu uliyojiandaa kuyasikia tu unatakiwa ukubaliane na majibu yote.Mkuu tulifundishwa maisha na kudhamini na heshima so kwangu sijaona Kama Yuko hivo
Mkuu pamoja na yote hatujawahi kujuta kwa malezi yake imetufanya tuwe strong kupambana na dunia na maisha ya sasaBABA YAKO ALISHINDWA KUTOFAUTISHA MAISHA YA JESHI NA FAMILIA, YAAN ALIKUA ANAWAFANYIA YALE ALIYOFANYIWA JESHINI.
Mshamba sio hoja nzuri mkuu inabid utoe hoja zenye mantiki ili tuweze kujifunza sis wenyew hatujutii kwa yote aliotufanyia kweny malezi yake kweny familia yetu pamoja na yote tunamkubali SanaKwenye uzi wako umeuliza swali kwahiyo usitake kusikia majibu uliyojiandaa kuyasikia tu unatakiwa ukubaliane na majibu yote.
Baba yako alikua mshamba kwasababu alishindwa kutofautisha maisha ya kazini na maisha ya nyumbani hadi kwa majirani, kijeshi amefeli pia maana kashindwa kubadilika kuendana na hali ya mazingira
Sasa kwanini umekuja kuuliza swali?Mshamba sio hoja nzuri mkuu inabid utoe hoja zenye mantiki ili tuweze kujifunza sis wenyew hatujutii kwa yote aliotufanyia kweny malezi yake kweny familia yetu pamoja na yote tunamkubali Sana
Sio kila swali linajibiwa mkuuSasa kwanini umekuja kuuliza swali?
Ok usirudie kuuliza swali ambalo hutaki majibuSio kila swali linajibiwa mkuu
Be blessed mchambuziOk usirudie kuuliza swali ambalo hutaki majibu
Acha ukatiliNinatabia kama za baba yako, minacheka humu Jf tu..[emoji3525]
Lazima waende shamba, shule sio muhimu sana mkuu..🤨Acha ukatili