Je, Baba askofu wa Kanisa Katoliki anaweza kugombea Ubunge?

Je, Baba askofu wa Kanisa Katoliki anaweza kugombea Ubunge?

Watu sijui kwanini tumeumbwa na kutoridhika. Huyu jamaa angejua angebaki na uchungaji kondoo wake tu mambo ya siasa angeyaacha tu au kama anahisi ni lazima kufanya siasa basi angekuwa low profile. Yale madudu yake ya mapicha ya uchi yatachokonolewa upyaaaaaaaaaaaa yaani. Kama alifanikiwa kuyazima kipindi kile ajiandae kwa maushahidi mapya sasa hivi.

Sijui ubunge unakiwaga na nini sijui, huyu mbona ameshafanikiwa tu hadi hapo alipo, anahisi akiwa mbunge atakuwa na pesa kuliko sasa? Au umashuhuri wake utaongezeka? Mbona ameshapiga bao sana tu hapo alipo.
Yani unafikiri zile picha ndio zitasababisha Gwajima asipate ubunge?
Na msiombe Gwajima aanze kujitetea kuhusu hizo picha, mbona mtaomba poo!

Ninachokiona hapa Chadema wanamhofia sana Gwajima.
 
Yani unafikiri zile picha ndio zitasababisha Gwajima asipate ubunge?
Na msiombe Gwajima aanze kujitetea kuhusu hizo picha, mbona mtaomba poo!

Ninachokiona hapa Chadema wanamhofia sana Gwajima.
CDM wamhofie Gwajima, kwamba atawafanya nini..!!??
 
Na ndiyo maana, maparokia mbalimbali yalishawahi kufiwa na maparoko wao, lakini maparokia hayo yapo vile vile... Lao hii mtazame Kakobe na kanisa lake...
Yeah,maana yeye ndiye anamwongozo wote,akiyumba tu,kila kitu kinayumba.


Ila nasubilia ninarafiki yangu mmoja ni mshabiki mkubwa wa Gwaji boy yupo mkoa fulani na anaichukia sana sisiemu sijui atajigawaje
 
Yeah,maana yeye ndiye anamwongozo wote,akiyumba tu,kila kitu kinayumba.


Ila nasubilia ninarafiki yangu mmoja ni mshabiki mkubwa wa Gwaji boy yupo mkoa fulani na anaichukia sana sisiemu sijui atajigawaje
Na wapo wengi sana wa hivi.. Yaani ni shida
 
Kwanza askofu wa Kanisa Katoliki akigombea ubunge anakuwa amejishusha sana, ni sawa na rais agombee udiwani.
Cheo chake ni kikubwa kuliko huo ubunge!
True Askofu wa Kanisa Katoliki ni nafasi kubwa sana na sana...hili halina ubishi kwa anayejua

Ila kukiwa kuna uhitaji wa yeye kuwa mbunge nadhani anaweza kuwa....Catholic Church wana maaskofu ni majenerali wa majeshi
 
Kumbuka uaskofu kanisa katoliki sio lele mama, ameiva kifalsafa hivyo hawezi kuchanganya dini na siasa. Labda aombe ruhusa maalum na aache uaskofu.
 
Hao maaskofu wakatoliki hawawez kugombea kwa sababu uaskofu wao hupewa na papa tofauti na hao wengine ambao hujitangaza kwa wafuasi wao kuwa ni maaskofu
Hivi hawa wanaosali kwenye vijiwe vinavyoitwa makanisa wanajielewa kweli!!
 
Watu sijui kwanini tumeumbwa na kutoridhika. Huyu jamaa angejua angebaki na uchungaji kondoo wake tu mambo ya siasa angeyaacha tu au kama anahisi ni lazima kufanya siasa basi angekuwa low profile. Yale madudu yake ya mapicha ya uchi yatachokonolewa upyaaaaaaaaaaaa yaani. Kama alifanikiwa kuyazima kipindi kile ajiandae kwa maushahidi mapya sasa hivi.

Sijui ubunge unakiwaga na nini sijui, huyu mbona ameshafanikiwa tu hadi hapo alipo, anahisi akiwa mbunge atakuwa na pesa kuliko sasa? Au umashuhuri wake utaongezeka? Mbona ameshapiga bao sana tu hapo alipo.
Pia anaweza kusababisha yule binti hata akadhuriwa kupoteza ushahidi.
 
Nauliza tu wadau kama baba askofu wa Kanisa Katoliki anaweza kugombea ubunge.

Kwa mfano baba askofu Ruwaich anaweza kugombea ubunge jimbo la Ilala?

Maendeleo hayana vyama!
Hawa maaskofu na manabii wa makanisa yasiyo na mifumo ni matatizo matipu...mweka hazina yeye, signatory yeye, Mwenyekiti Balaza la wadhamini yeye, accountant yeye, store keeper yeye, procurement manager yeye...shughuli ni pevu.
 
Watu sijui kwanini tumeumbwa na kutoridhika. Huyu jamaa angejua angebaki na uchungaji kondoo wake tu mambo ya siasa angeyaacha tu au kama anahisi ni lazima kufanya siasa basi angekuwa low profile. Yale madudu yake ya mapicha ya uchi yatachokonolewa upyaaaaaaaaaaaa yaani. Kama alifanikiwa kuyazima kipindi kile ajiandae kwa maushahidi mapya sasa hivi.

Sijui ubunge unakiwaga na nini sijui, huyu mbona ameshafanikiwa tu hadi hapo alipo, anahisi akiwa mbunge atakuwa na pesa kuliko sasa? Au umashuhuri wake utaongezeka? Mbona ameshapiga bao sana tu hapo alipo.
Labda anataka kupata kipato cha halali kuliko anazopata sasaivi za kilagai kwa kisingizio cha yesu anaokoa
 
Practically, ukiliwaza jimbo kuu katoliki la Dar lenye wabunge kadhaa, lina askofu mmoja... AU jimbo kuu katoliki la Songea lenye majibo kadhaa ya kisiasa, lina askofu mmoja, hivyo kieneo, kwenda kwenye ubunge ukitokea kwenye uaskofu ni kungungua ukubwa wa eneo unalilitawala
Nimekuelewa mkuu!
 
Papa ni binadamu kama binadamu mwingine.mo nlidhani uaskofu wanazaliwa nao. Kwanza anzia nini maana ya askofu. Kupewa na papa,pweza au nguru huo ni utaratibu ambao watu wanaweza jiwekea

Hao maaskofu wakatoliki hawawez kugombea kwa sababu uaskofu wao hupewa na papa tofauti na hao wengine ambao hujitangaza kwa wafuasi wao kuwa ni maaskofu
 
Serikali haina dini, na Dini haina siasa. Tafakari!!
Kama kuna tungo tata, hii ni mojawapo. Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inasema (kwa fasili ya Kiingereza ambayo ndiyo fasili rasmi: Ibara ya 1(3): The Republic is a secular...state..." Ina maana Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 'haina dini rasmi' (kama ilivyo kwa baadhi ya nchi kwa mfano, dini ya nchi ya Uingereza ni 'Anglicanism', Poland ni Roman 'Catholicism', Morocco ni Sunni Islam, Israel ni 'Judaism', Cambodia ni 'Buddhism' etc.

Kama nchi haina dini rasmi haina maana wananchi wake hawana dini rasmi. Ina maana kila mwananchi wa Tanzania anaamini au haamini katika dini fulani. Na kila mwanachi ni mwanasiasa, lakini siyo kila mwanasiasa ni muumini wa dini fulani. Kwa hiyo, muumini au kiongozi wa dini akisema kitu fulani kinachohusiana na siasa, kwa vile yeye pia ni mwananichi, mpiga kura na mlipa kodi, akiona kuna sehemu mambo hayaendi, akisema 'mambo hayaendi...' siyo kwamba amechanganya dini na siasa. Anayechanganya dini na siasa ni kwa mfano anayempigia debe mtia nia wa cheo fulani katika nchi au chama cha siasa. Siasa maana yake ni the art of governance of its country and people'. Na kila muumini ni mwanadamu (yaani mwanasiasa). Kwa hiyo, kila mwanadini ni mwanasiasa, ila siyo kila mwanasiasa ni mwanadini/muumini wa dini fulani. Mfano, huwa tunawasikia viongozi wetu wakisema "viongozi wa dini mna mchango mkubwa sana kwenye jamii. Mtusaidie kuwaasa vijana wawe waadilifu, kutokomeza maambukizi ya virusi vya ukwimwi etc."Je, ni kuchanganya dini na siasa? Lakini kuna viongozi wa dini pia huwa wanasema: "wanasiasa wanapaswa kutenda haki ili tuwe na jamii inayojali utu, utawala wa sheria na uwajibikaji..." Je, kiongozi wa dini akisema hivi anachanganya dini na siasa? Kwa wa upande wangu, akisema hivyo ametimiza wajibu wake kama Mtanzania na pia kama kiongozi wa dini anayewaongoza waumi wake ambao kati yao ni wanasiasa pia kwa sababu kama hakuna siasa yenye tija nchini hata dini haifuatwi vizuri. Na kama wanasiasa wanaosali kama hawataambiwa hivyo, kiongozi wa dini anayewaongoza anakuwa hajatimiza wajibu wake.
 
Watu sijui kwanini tumeumbwa na kutoridhika. Huyu jamaa angejua angebaki na uchungaji kondoo wake tu mambo ya siasa angeyaacha tu au kama anahisi ni lazima kufanya siasa basi angekuwa low profile. Yale madudu yake ya mapicha ya uchi yatachokonolewa upyaaaaaaaaaaaa yaani. Kama alifanikiwa kuyazima kipindi kile ajiandae kwa maushahidi mapya sasa hivi.

Sijui ubunge unakuwaga na nini sijui, huyu mbona ameshafanikiwa tu hadi hapo alipo, anahisi akiwa mbunge atakuwa na pesa kuliko sasa? Au umashuhuri wake utaongezeka? Mbona ameshapiga bao sana tu hapo alipo.
Tangu picha za ngono biashara yake haiendi vizuri lazima atafute source nyingine ya income
 
Back
Top Bottom