Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh aiseee...Utatumia vingapi?...tumia utashi wako kwa yale unayoyaelewa
Ukiangalia Qur'an ni mkusanyiko wa maneno aliyoongea Mungu kupitia kwa mtume Muhammad ...Duh aiseee...
Haya endeleeni kutumia akili zenu
Hayo ni maoni yako siwezikuyaingiliaUkiangalia Qur'an ni mkusanyiko wa maneno aliyoongea Mungu kupitia kwa mtume Muhammad ...
Biblia nayo ni mkusanyiko wa maneno aliyoongea Mungu kupitia nabii Issa/Yesu....vivyohivyo taurati na Injili na hawa wote waliofikishiwa Ujumbe hawapo tumebaki sisi na maandishi hayo tukakuta kuna sehemu maandishi yanapingana sasa inatubidi kuumiza bongo zetu kupitia hivyo vitabu kujua which's which
Kwa mujibu wa quran walikaa peponi kwanza (ndo bustanini huko)
Narudia kwa mujibu wa quran inasema hivyo.
sawa Mkuu,ila ukristu na uislamu unanichanganya sana yaani bible unakuta inasema hivi na Quran unakuta inasema vile basi vinapingana kwa kwenda mbele !Kwa mujibu wa quran walikaa peponi kwanza (ndo bustanini huko)
Narudia kwa mujibu wa quran inasema hivyo.
Kiufupi hivyo ni vitabu viwili tofauti.na vya dini tofauti lazima viwe na maandishi ama maandiko tofauti mkuusawa Mkuu,ila ukristu na uislamu unanichanganya sana yaani bible unakuta inasema hivi na Quran unakuta inasema vile basi vinapingana kwa kwenda mbele !
Kwingine hutopata ukweli nakuhakikishai,zitabaki hisia tu za mtu mmoja mmoja.Ndio muda wa Kuumiza bongo na kupata ukweli
Madhali umetumia akili pasi na maandiko basi na sisi tunajibu kwa akili pasi na maandiko.
Kwa akili tu ,Kwani mtu hawezi kuwa mjumbe anayewaonya wanawe kutokana na mabaya?
Hata mtume muhammad alikuwa ni mtume mpaka kwa watoto wake pia akiwaelekeza njia ya sawa na kiwaonya kwa mabaya haijalishi watoto wake ndo asifae kuwa nabii kwao.
Sasa Nabii adamu hakuzaa ?
Kama alizaa jee hafai kuwa nabii kwa watoto wake mwenyewe???
Kutumika vibaya kwa akili ni pale mtu anapotumia akili kuandika ujinga.Ukweli ujisapot wenyewe,lakn uwongo unaitaj utungiwe uwongo mwingne ili ujioneshe kua n ukweli. kama adam alikua nabii dhambi ilianza kwa kpitia nan? kwaiyo shetan alimuingiza kingi nabii wa mungu adam? au m ndo naona ***? na kwa maana yako uliyoitoa hapo juu kila mtu mwenye watoto n nabii / mtume[emoji53] [emoji53]
Umeuliza maswali mengi hadi inanipa shida kuyajibu kwa pamoja, unakiwa uulize kwa awamu (in installments).
Nilipotaja sayansi sikuwa na maana kwamba nimethibitisha kwamba Adam (as) hakuwa mtu wa kwanza kuumbwa bali nilitaka ujue kuwa kama ilivyokuwa historia ni yenye faida kwetu na ndivyo ilivyokuwa sayansi.
Unaposema kuwa sayansi na Imani ni tofauti kabisa na sayansi eti inapinga kuwepo Mungu---huo ni uongo mkubwa sana, hakuna Sayansi inayopinga Mungu bali wapo WANASAYANSI kwa ujinga wao wanapinga uwepo wa Mungu. Sayansi ni elimu iliyotoka kwa Mungu na inatusaidia kuyakabili mazingira yetu ili tuweze kuishi vizuri na tumusbudu Mungu vizuri pia sayansi inatusaidia kujua utukufu wa Mungu katika kusoma na kutafiti maumbile ya Mungu,hivyo sayansi na Imani (vinashikamana) na vyote vimetoka kwake.
Mada yetu ni Nabii Adam (عليه السلام) alikuwa ni mtu wa kwanza kuumbwa duniani?.
Wewe ulisema ungeleta utetezi wako kutoka kwenye Qur'an lakini hadi saa hii hujaleta hata aya moja kutetea hoja yako bali umeamua kunitukana (الجنون فنون), je hivyo ndivyo ulivyofundishwa na Mtukufu Mtume (saw) kumtusi mwislamu mwenzako??. (هناك خطأ في رأسك).
Eti,unauliza je hawezi kuanza kuja nabii kabla ya qaumu yake? ,wewe ndio unatakiwa ulete aya inayokuunga mkono katika hiyo hoja yako na wala siyo mimi!! Mimi ninanukuu Qur'an pale iliposema;-
و لقد ضل قبلهم أكثرر الأولين و لقد أرسلنا فيهم منذيرين yaani:- Na bila shaka hapo kabla (watu) walipopotea na bila shaka tuliwatumia waonyaji (37:71-72).
👆🏻Angalia hiyo aya inasema watu wa kabla ya Mtume (saw) walipokuwa wamepotea Mungu aliwatuma waonyaji (manabii na Adam akiwemo) kuwaonya watu wao na kama Adam ni nabii basi hawezi kuepuka hiyo kanuni iliyotajwa na Qur'ani hivyo nabii anakuja kuwafundisha watu aliowakuta katika upotevu.
Unauliza eti, kama ni hivyo ina maana manabii waliotangulia hawatuhusu??, ukiwa Muislamu lazima uwakubali manabii wote na kila nabii alikuja kwa ajili ya Qaumu yake na akaongea na watu wake katika lugha aliyowakutanayo (14:4) na hata Mtume mtukufu (saw) naye alitumwa kwa duniani nzima lakini kwanza alianza kuwaonya ndugu zake waarabu kwa lugha aliyowakutanayo kiarabu.
Unataka aya inayoonyesha kwamba umma wake ulianza kuwepo kabla nabii Adam (as) hajatokea, wewe unanishangaza sana kwani huioni hiyo aya (An nahl:36) maudhui yake??, inasema; و لقد بعثنا في كل أمة رسل --- yaani , na bila shaka tulituma kwa kila ummat mtume---.
Hivi unapoambiwa kwa mfano, "tumemtuma mjumbe kupeleka barua ofisi ya kata" inaingia akilini kwamba hiyo ofisi ya kata inaweza isiwepo lakini ikawepo baada ya mjumbe kutumwa??, Hoja gani za ajabu ajabu unazoleta hapa??.
Eti unataka kujua tofauti ya kuumbwa kimwili na kiroho kwa mujibu wa Qur'an, nasema hivi hata pia utataka kujua kwa mujibu wa Qur'an kwamba ni wapi imeandikwa kuikanyaga Qur'an kwa miguu ni dhambi!!.
Tumia "common sense" tu, mtu anapokuwa ni mchamungu roho yake inakuwa na "khulqa" njema hivyo anakuwa roho yake imeumbika na ndiyo maana Mungu amemsifu mtukufu Mtume (saw) katika Qur'an pale alipomuambia; "hakika unazo hulka njema za kipekee" (sikumbuki aya). Na kuumbika ki mwili ni "khalaqa" katika lugha ya kiarabu, sasa angalia hayo maneno, khulqa na khalaqa la kwanza linahusu roho na la pili linahusu mwili.
Unasema eti, mimi ninataka kumfanya mola eti akiona watu wamekosea ndipo atume mjumbe!!
👆🏻Mimi ninanukuu Qur'an kama yeye mwenyewe Allah mtukufu alivyosema:- kwamba hapo kabla watu wengi walipoasi aliwapelekea waonyaji (37:71-72) na nabii Adam (as) alikuwa muonyaji wa kabla ya Mtukufu mtume (saw) hivyo naye pia kanuni hii ya Allah inamshika kwamba aliwakuta watu wake kwenye upotevu ndipo Allah akamtuma aende kuwaonya hivyo basi hakuwa ni mtu wa kwanza kuumbwa.
Ukumbusho: Bado hujaleta aya inayothibitisha madai yako kwamba Nabii Adam (as) alikuwa mtu wa kwanza kuumbwa.
Ukweli ujisapot wenyewe,lakn uwongo unaitaj utungiwe uwongo mwingne ili ujioneshe kua n ukweli. kama adam alikua nabii dhambi ilianza kwa kpitia nan? kwaiyo shetan alimuingiza kingi nabii wa mungu adam? au m ndo naona ***? na kwa maana yako uliyoitoa hapo juu kila mtu mwenye watoto n nabii / mtume[emoji53] [emoji53]
daaahh ume- spin fact SanaKatika Dini ya Kiislamu Adam anajulikana kama Nabii (mtume), hivyo basi kwa taratibu za kawaida ni kwamba Nabii hutokea (hutokana) miongoni mwa watu wake ili aje kuwaonya na kuwafundisha maagizo aliyotumwa kutoka kwa Mungu, hivyo Nabii huwa anazaliwa katika umma atakaokuja kuuonya na jambo hili tunaliona hata kwa mitume wengine.
Kwa muktadha huo, Adam hawezi kuwa mtu wa kwanza kuumbwa,bali ukisema kwamba yeye alikuwa ndiye mtu wa kwanza (katika manabii wote) kufunuliwa/kupata wahy kutoka kwa Mungu au ukasema Yeye alikuwa ni Nabii wa kwanza kutumwa na Mungu hapo ni SAWA kabisa na ninaunga mkono hiyo rai. Lakini yeye hakuwa mtu wa kwanza kuumbwa bali alikuwa nabii wa kwanza kabisa.
Na hii imewachanganya sana watu wakidhani kwamba Yeye ndiyo mtu wa kwanza kuumbwa---Yeye ni nabii wa kwanza kutumwa (au unaweza kusema yeye ni mtu wa kwanza kuumbwa KIROHO). Kuumbwa kiroho maana yake ni kupokea ufunuo kutoka kwa Mungu ili awapelekee watu (ujumbe).
Boonge la swali..... Kwa maana hiyo haya yote yaliyotokea ni mpango wa Mungu km mada inavyoulizaSwadakta ya Mbalaka yaan umeuliza maswali ambayo hakuna mtu yoyote atakaweza kukujibu hayo maswali hayo na mm nakuongezea maswali ya kuendelea kumuuliza na kuwakumbusha FADHAKIRR INNAMAA ANTA MUDHAKIRR
Nani alieleta dhambi?
Kwanini mungu aumbe moto kabla ya kuumba mtu?
Alikuwa na maana ipi kuumba moto kabla ya kuumba mtu katika dunia?
الَّذِي خَلَقَ الْمَوْتَ وَالْحَيَاةَ لِيَبْلُوَكُمْ أَيُّكُمْ أَحْسَنُ عَمَلًا ۚ وَهُوَ الْعَزِيزُ الْغَفُورُSwadakta ya Mbalaka yaan umeuliza maswali ambayo hakuna mtu yoyote atakaweza kukujibu hayo maswali hayo na mm nakuongezea maswali ya kuendelea kumuuliza na kuwakumbusha FADHAKIRR INNAMAA ANTA MUDHAKIRR
Nani alieleta dhambi?
Kwanini mungu aumbe moto kabla ya kuumba mtu?
Alikuwa na maana ipi kuumba moto kabla ya kuumba mtu katika dunia?
Yaliyotokea yepi?Boonge la swali..... Kwa maana hiyo haya yote yaliyotokea ni mpango wa Mungu km mada inavyouliza
Mungu aliumba Moto kabla ya binaadamu kwa maana hiyo alijua atakuja kumuumba binaadamu ambaye hatofuata maamrisho yake na kumtia humo motoni kwa hiyo tunaona kwamba haya yote Mungu alishayapanga ni mipango yake km nilivyouliza kwenye madaYaliyotokea yepi?
Kama unakusudia pepo ama moto hayo ni mipango ya mungu.
Ila kama unakusudia majanga ya asili kama volcano,tsunami n.k pia ni mipango ya mungu.
Ama kama unakusudia matrndo yaliyo katika uwezo wa binadamu ambayo Mungu kampaa hiari binadamu achague kama vile kuanzisha biashara,kuoaa,kuja jamii forum na kutukana ama kuelimisha,kuamua kusomea kazi fulani na kuangalia wapi pana maslahi,kuchaji simu,kuingia msikitini au kanisani,kula mchana na usiku,kutongoza na kuzini,kuiba,kula rushwa n.k haya yanatokana na mipango yako wala Mola hakutenzi nguvu katika hayo.
Wewe wakusudia yepi katika hayo?
Moto uliumbwa na pepo iliumbwa.Mungu aliumba Moto kabla ya binaadamu kwa maana hiyo alijua atakuja kumuumba binaadamu ambaye hatofuata maamrisho yake na kumtia humo motoni kwa hiyo tunaona kwamba haya yote Mungu alishayapanga ni mipango yake km nilivyouliza kwenye mada
Nimegundua kuwa unachanganya sana kati ya human au existing races na Ancestors...Sipingi ulichokisema ila naona majibu unayo kabisa kuhusu binadamu na early apes kuwa na uwezekano wa kushare some features of same common ancestor