state agent
JF-Expert Member
- Jul 1, 2019
- 1,764
- 2,510
Wekeni picha tumuone huyo bongozozo
Hoyeeeewachaga oyeee!! luambo makiadi
asante mkuu, nashukuru umelijua hilo, watu wanahemka tu bila kuumiza kichwa kufikirisha akili zao“Mtoa uzi ni mdadisi wa kutaka kujua ila hawa wachangiaji ndo nimegundua kuna tatzo kubwaaaa la ubongo,,elimu zao za kukalili na viburi vinawafanya wakuone kilaza ndugu yangu.Tafuta namna nyingine ya kuujua ukweli hapa hekima ni sifuri kabisa utatukanwa tu .Ukiujua ukweli leta mrejesho hapa.
Ahsante kwa kuliona hilo mkuu, japo nimepolomoshewa zihaka sana, hahahahahKWeli una jicho la kijasusi. Bongozozo ni kama anatengeneza cover story. Soon ata gain access na watu waliopo mahali sensitive. Na ni kitu kimeanza kutokea tayari. Na wafuatao ndo itakuwa next point of contact maana hawa ndo weakest link kama kweli jamaa yupo kimkakati: Kigwangala, Mwakyembe, Makonda.
miaka yote hiyo mwana hajagusa mwili wa mkewe, watu wanakwambia inawezekanaImenishangaza kusikia jamaa yule demu wanaishi nae nyumba moja wamezaa watoto wawili ila wametengana kwa miaka nane hawalali chumba kimoja na hawafanyi kitu naungana na mtoa mada
nisaidie naww kumuelewesha huyo Mbulula“Alitumia vigezo vipi kabla ya kuandika kutukana waafrika ???ndo mana skuizi project nyingi ni za kishenzi kutokana na kuwaamini mburula wachache kufanya research njiwa kisha kuhitimisha na matokeo ya kishenzi kama uo upuuzi ulioongea .Waambie mwende mkafanye tena reseach ndo mtagundua wewe na huyo mwandishi wako ndo mko less intelligent mpaka kuamua kutukana waafrika wote[emoji35][emoji35]
nimebaki nawatazama tuWengi hawatokuelewa katika hili,maana mambo haya huwa yanahitaji hisia zisizo za kawaida,hisia ambazo hutatuliwa na kiungoz kingine cha hisia ambacho ndichjo kinachoendesha hisia zote,jambo hili hawa watoto hawatokuelewa hata uwachape vipi.
Labda na wewe useme si mpenzi wa mpira. ila kama ni mpenzi wa mpira utakuwa shabiki kindaki ndaki wa Man U, Arsenal, Chelsea, au Real Madrid au Barca je una ajenda gani na team za wenzio.Hoja yako sio ya kupuuzwa japo watu wanakupinga.. Unaweza kuta hata ni undercover agent wa CIA