Je, Bongozozo ana nia iliyojificha?

Je, Bongozozo ana nia iliyojificha?

Japo watakupuuza lkn hoja yako ina mashiko sana, mtu mweupe hawezi kuwa na mapenzi ya dhati kwa taifa jingine haiwezekani hapo kuna kitu, yeye huyo Bongo zozo kipindi alichokuwepo hapa tz alikuwa anafanya shughuli gani? na Sasa anafanya shughuli gani huko uingereza kiasi Cha kuja kugawa ticket bure? km yeye nishabiki na mpnzi wa taifa star kuna ulazima gani wa kujitangaza kwy media na kuandaa wanna habari wampokee airport? kushabikia manchester au Liverpool na club zingine kwa sisi ni swala la kawaida sana kwa sababu hizo sio timu za taifa, hizo timu zimebeba wachezaja wa nchi mbalimbali duniani ikiwemo na afrika. kwa hiyo hapo kwy hoja ya jamaa kuna swala fikirishi sio bure.
.
 
Maktaba nitakuta kitabu kimeandikwa Kuhusu Bongozozoo?? Acha ujinga wewe hakuna mzungu atapotezaa muda kuwazuga wabongo kuwa anawaspy kwa kwenda uwanjani na kupiga kelele insta... Nchi yenyewe hii ya kiboyaa data gani wazungu waitake wasipate mpaka waanzs kupoteza mudaa..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kujipenyeza kuna hatua.... Hawezi toka 1 akarukia 9
 
Wengi hawatokuelewa katika hili,maana mambo haya huwa yanahitaji hisia zisizo za kawaida,hisia ambazo hutatuliwa na kiungoz kingine cha hisia ambacho ndichjo kinachoendesha hisia zote,jambo hili hawa watoto hawatokuelewa hata uwachape vipi.
 
“Mtoa uzi ni mdadisi wa kutaka kujua ila hawa wachangiaji ndo nimegundua kuna tatzo kubwaaaa la ubongo,,elimu zao za kukalili na viburi vinawafanya wakuone kilaza ndugu yangu.Tafuta namna nyingine ya kuujua ukweli hapa hekima ni sifuri kabisa utatukanwa tu .Ukiujua ukweli leta mrejesho hapa.
Imefikia hata sijui nipo jukwaa gani, natamani nisijikute jamii intelligence... Maana JF itakuwa Imevamiwa na facebook users wanaopost picha wakiwa wanakula
 
kuna sehemu imezungumzia timu ya Taifa hapo..?, hivo ni vilabu, huyu mapenzi yake kayapeleka timu ya taifa, why asichukue uraia kabisa
Kipindi cha mashindano ya Euro na World Cup unakuaga wapi?!!
 
Kumfikiria mtu vibaya bila ushahidi ni jambo baya sana.
Ubaya siku akija kujua jamaa anafanya hayo kwa mapenzi yake tu atapiga kimya kimya. Ndivyo walivyo wabongo watakutangaza wewe shoga, fisadi, mwizi n.k halafu siku inagundulika sio kweli wanakaa kimya hawatii neno walau kuomba radhi. Wao ndio kwanza wanatafuta mwingine wa kumzushia.

Wanasema kati ya Watanzania Wanne mmoja ni kichaa lakini mimi nasema kati ya Watanzania Wanne mmoja ni mchawi.
 
Hakuna Mzungu mwenye Mapenzi mema na Mtu mweusi ifike mahali tujifunze yule Mzungu Dj aliyesambaza Ukimwi kwa Wadada wengi wa Kiafrika Wadada zaidi ya 600 tusimfurahie tu kwakua anaongea Kiswahili Mi naungana na Mtoa uzi tuwe makini sana na Watu aina ya Bongozozo tunaweza kuja lia baadae Mtu mwenye akili timamu ajiulize anawezaje safiri kwa gharama kiasi icho ili kuja kuangalia mechi moja nani? Anayemdhamini ktk safari zake anaway tuwaachie wahusika wanaosimamia usalama wa Nchi ingawaje sisi sote tuna jukumu la kuhakikisha usalama wa Taifa letu
Usisahau waliopiga kelele biashara ya utumwa ikakomeshwa ni baadhi ya Wazungu hao hao. Rejea upya matumizi ya neno "HAKUNA".
 
Lumumba wana hofu anamchunguza sizonje
Naweza nikasaidiwa humu kwa wajuzi, haya masuala siyafahamu kiundani ila kupitia maandiko mbalimbali, nk nimekuwa kuna watu siwaamini, nakukaa kwa umakini, kutokumuamini kila mtu, issue za usalama, upelelezi.

Hivi Bongo ZOZO ni shabiki tu na mtu mwenye mapenzi na Tanzania au kuna kitu nyuma yake? Je kuna taarifa anazitafuta au kuna mission anaifanya kwa muda mrefu na kafikia kwenye hatua ya mwisho kaja na aina hii ya kujiexpose kama mtu mwenye mapenzi na Tanzania, japo anadai alishakaa muda mrefu, why huko juma hakujulikana?

Mshana Jr Yericko Nyerere wakubwa mnaweza mkazungumza chochote kwa mtazamo wenu
 
Lolote laweza kuwa kweli hata hivyo naamini wahusika wetu hawajalala kama inavyodhani
Naamini wanamjua kuliko tumwonavyo sisi kwahiyo tuwe na amani tu kazi ilishafanywa inafanywa na itaendelea kufanywa
asante
 
Haaaaas agent wa CIA mbona wakitaka kuja tz wanakalibishwa ikulu kabisa na wapo tu kibao ubalozini kwani tz ni north Korea hata serikali ya tz aina tatizo inafanya nao kazi kila siku
Hoja yako sio ya kupuuzwa japo watu wanakupinga.. Unaweza kuta hata ni undercover agent wa CIA
 
Kuna mahali niliona MPAKA amepata access ya ubalozi wetu sijui Ni Korea ....sikumbuki.....Yuko ofisini kea balozi amejiachia kwelikweli.....

Kwenye historian Kuna yule mzungu nimemsahau jina alikaa na wenyeji miaka 30..... Kumbe kidogo kidogo ananunua ile kingdom na kusainisha machief makaratasi .... Na lugha ya Kabila Lile aliongea KABISA.....

Anaweza kuwa na Nia nzuri ila Ni vizuri akichujwa na kuchunguzwa .......

Wenyewe weupe wanasema no free lunch .....

Hivyo tusikenue kenue tu......
 
Back
Top Bottom