Je, CCM na TISS wanakuzwa nguvu zao kuliko uhalisia (Overrated)?

Je, CCM na TISS wanakuzwa nguvu zao kuliko uhalisia (Overrated)?

zitto junior

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2013
Posts
20,537
Reaction score
31,729
Kumekuwepo na propaganda ya miaka mingi kuwa CCM inajua kuandaa na kulea viongozi sio tu ndani ya nchi mpaka nchi jirani (Enzi za Mwalimu) nakumbuka hta Mhe.Polepole alisema wana master plan ya kuongoza nchi mpaka 2075!!

Kinachonishangaza toka Mama SSH aingie madarakani ni kama vile CCM haikumuandaa wala haikumtarajia kuwa Rais. Ilifika mahali wanaona bora katiba ingebadilishwa turudi kwa uchaguzi. Watu kama kina Polepole nao wamegeuka na kudai chama kimeshikwa na wahuni.

Sasa nachojiuliza kama CCM ni mabingwa wa siasa inakuaje hawakujiandaa na mbadala wa JPM (maana ugonjwa wake ulifahamika) kiasi walalamike as if SSH ni zao la CUF au TLP?

Kingine kama SSH anaonekana ni unfit kuwa Rais, ilikuaje akapitishwa kuwa makamu wa Rais on the first place? Ina maana unaweza kuwa makamu wa Rais bila kuandaliwa kuwa Rais ikitokea emergency??

Back to polepole, kama aliandaa master plan ya CCM mpaka 2075 inakuaje alalamike sasa ilihali Rais wa sasa ni zao la chama kile kile? Au plan haikujiandaa na mabadiliko ya Rais? Na kama haikujiandaa je ile propaganda kuwa CCM ni mabingwa wa succession na strategy politics ni uongo??

Cc The Boss MALCOM LUMUMBA Salary Slip
 
SSH aliandaliwa. Hadi anateuliwa kuwa VP mara mbili zote(first of that kind) tulipofika Uchaguzi Mkuu, maanake ni aliandaliwa. Mama SSH kuwepo kwenye CC ya CCM toka 2002, maanake ni nini kama sio kuandaliwa kushika madaraka makubwa?
Na, Je toka ashike madaraka, kuna lolote kubwa lililomshinda? Kuna jambo baya la kuhaini alilolifanya? Kuna ubaguzi wowote alioufanya kwa kutumia madaraka yake? Kuna mtikisiko wowote ulioukumba nchi? Kama upo je, uliachwa ukasambaa bila kuthibitiwa?
Maneno ya kina Polepole, Nape na Bulembo ni maneno ya kawaida ya vita ya makundi ndani ya CCM. Ni vita ya peripherals kutafuta namna ya kukaa kimkakati na kujiattach kwenye centre. Centre ni SSH na Viongozi wengine Wakuu kama Jaji Mkuu, Speaker, Waziri Mkuu na Makamu wa Rais.
 
Kumekuwepo na propaganda ya miaka mingi kuwa CCM inajua kuandaa na kulea viongozi sio tu ndani ya nchi mpaka nchi jirani (Enzi za Mwalimu) nakumbuka hta Mhe.Polepole alisema wana master plan ya kuongoza nchi mpaka 2075!!

Kinachonishangaza toka Mama SSH aingie madarakani ni kama vile CCM haikumuandaa wala haikumtarajia kuwa Rais. Ilifika mahali wanaona bora katiba ingebadilishwa turudi kwa uchaguzi. Watu kama kina Polepole nao wamegeuka na kudai chama kimeshikwa na wahuni.

Sasa nachojiuliza kama CCM ni mabingwa wa siasa inakuaje hawakujiandaa na mbadala wa JPM (maana ugonjwa wake ulifahamika) kiasi walalamike as if SSH ni zao la CUF au TLP?

Kingine kama SSH anaonekana ni unfit kuwa Rais, ilikuaje akapitishwa kuwa makamu wa Rais on the first place? Ina maana unaweza kuwa makamu wa Rais bila kuandaliwa kuwa Rais ikitokea emergency??

Back to polepole, kama aliandaa master plan ya CCM mpaka 2075 inakuaje alalamike sasa ilihali Rais wa sasa ni zao la chama kile kile? Au plan haikujiandaa na mabadiliko ya Rais? Na kama haikujiandaa je ile propaganda kuwa CCM ni mabingwa wa succession na strategy politics ni uongo??

Cc The Boss MALCOM LUMUMBA Salary Slip
So wewe na ukoo wako mnaweza kupambana wakati hata pesa tu ya mlo ni shida

USSR
 
Kimsingi hizo sifa huwa wanajipa CCM wenyewe, ila sisi waelewa tunajua hamna kitu. Sifa yao kubwa hao CCM na Tiss, ni mahusiano ya kihalifu yanayolindwa na madaraka ya urais ya mwenyekiti wao kupitia katiba mbovu. Iwapo wananchi wataachana na woga, na kuamua liwalo na liwe ndio utakuwa mwisho wa CCM. Hivyo vyuo vya CCM lengo lake lilikuwa ni kutoa elimu ya uongozi ili kutekeleza siasa mfu za kijamaa, lakini kwa sasa vimegeuka kama sehemu ya kwenda kufahamiana ili ulaji ukitokea upewe.

Na elimu kubwa kwenye hivyo vyuo vya CCM, inatolewa ili kulinda CCM kubaki madarakani tu kwa njia yoyote. Siku CCM inatoka madarakani hivyo vyuo vyake vitakufa kama yalivyojifia makampuni ya umma baada ya mfumo wa soko huria.
 
Maneno ya kina Polepole, Nape na Bulembo ni maneno ya kawaida ya vita ya makundi ndani ya CCM
Na ndio nmeuliza kma polepole aliandaa master plan through 2075 hakujua kwamba kunaweza tokea transition?? Yaani unakasirika vipi if things go as planned??

So najaribu kufikiria kuwa wengi hawakujiandaa na ujio wa SSH na hata sera zake ni opposite na mtangulizi wake sasa kama aliandaliwa kivp wana CCM hawakujiandaa na mabadiliko haya??
 
SSH aliandaliwa. Hadi anateuliwa kuwa VP mara mbili zote(first of that kind) tulipofika Uchaguzi Mkuu, maanake ni aliandaliwa. Mama SSH kuwepo kwenye CC ya CCM toka 2002, maanake ni nini kama sio kuandaliwa kushika madaraka makubwa?
Na, Je toka ashike madaraka, kuna lolote kubwa lililomshinda? Kuna jambo baya la kuhaini alilolifanya? Kuna ubaguzi wowote alioufanya kwa kutumia madaraka yake? Kuna mtikisiko wowote ulioukumba nchi? Kama upo je, uliachwa ukasambaa bila kuthibitiwa?
Maneno ya kina Polepole, Nape na Bulembo ni maneno ya kawaida ya vita ya makundi ndani ya CCM. Ni vita ya peripherals kutafuta namna ya kukaa kimkakati na kujiattach kwenye centre. Centre ni SSH na Viongozi wengine Wakuu kama Jaji Mkuu, Speaker, Waziri Mkuu na Makamu wa Rais.
Tatizo la siasa huwa limatengeza "Hang over" fulani ya madaraka.

Ona hali anayopitia Pole Pole. Angalia hali anayopitia wafuasi wa Magufuli mitandaoni.

Angalia hali anayopitia Sugu.

Ni kama wamekuwa mateja fulani wa madaraka na wameporwa ghafla hali waliokuwa wameizoea.


Na tatizo la wafuasi wa wanasiasa ni kuwa kwenye cult-followership. Yaani hutumii kabisa kichwa, mtu anameza kila anachoambiwa na mwanasiasa.

Yaani mtu na akili zako timamu unakaa unaamini kila anachosema pole pole, kweli ?
 
So wewe na ukoo wako mnaweza kupambana wakati hata pesa tu ya mlo ni shida

USSR
JPM alisema chanjo haifai ila SSH kasema ni muhimu tuchanjwe afu kuna wana CCM wanashangaa hizi U turn!! Je kivp wanaduwaa wakati CCM ndio ilimuandaa kuwa Rais?? Au mnakiri kuwa hakuandaliwa kma mnavyojisifiaga!!
 
Adumu chifu mkuu Hangaya🙏

Chifu Mkuu Hangaya yuko ndani ya KAMATI KUU YA CCM toka 2002......huyu ni MBOBEZI NA MWELEDI HASWA WA CCM NA MAMBO YA TAIFA LETU......

Chifu Hangaya ni VP wa kwanza mwanamama.......

Chifu Hangaya ni Rais wa kwanza mwanamama.......

Hakika mh.SSH ni nyota ING'ARAYO💪💪😍

#Siempre CCM
 
Adumu chifu mkuu Hangaya🙏

Chifu Mkuu Hangaya yuko ndani ya KAMATI KUU YA CCM toka 2002......huyu ni MBOBEZI NA MWELEDI HASWA WA CCM NA TAIFA LETU......

Chifu Hangaya ni VP wa kwanza mwanamama.......

Chifu Hangaya ni Rais wa kwanza mwanamama.......

Hakika mh.SSH ni nyota ING'ARAYO💪💪😍

#Siempre CCM
Hakuandaliwa kuwa rais vinginevyo mume wake halisi angejulikana
 
So wewe na ukoo wako mnaweza kupambana wakati hata pesa tu ya mlo ni shida

USSR

Binafsi wewe ndio unaonekana mlo kwako ni shida, pamoja na ukoo wenu!
Wewe kila siku unalilia mfumuko wa bei, natumai una miezi minne hujawahi kula nyama!
Lete mawasiliano angalao tukufanyie matendo ya huruma, sikukuu hii upate angalao vipande vitatu vya nyama!

 
TISS na CCM bado hawana machinery ya kuchakata mambo na mipango ya muda mrefu. Of course hapa naizungumzia serikali nzima ya CCM na si chama cha siasa tu

AU

Huenda wanao watu wazuri wenye upeo mpana wa kuchora mipango na mikakati lakini hawawatumii ipasavyo kwa sababu ya negligence za watu wachache ambao wanajiona bora zaidi.
 
Chombo chetu cha intellijensia (TISS) kwenye kuandaa viongozi ama warithi wa nafasi ya Uraisi hasa pindi Rais anapotoka madarakani bado hakijawa na ujuzi huo na nilichokuja gundua chombo hiki hakina uwezo wa kufanya maamuzi yake binafsi kama taasisi na hii inatokana na mfumo ambao umekuwepo hapo kabla wa kuwasikiliza wanasiasa…

Mfano mzuri ni uchaguzi wa 2015 wengi uligubikwa na sarakasi za hapa na pale na ndio maana JPM akaibuka mshindi…

So, kwa TISS kufanya vyema ni vyema ikawa taasisi huru ikaacha kujichanganya na siasa hasa za hawa CCM wameiharibu mno idara hii miaka ya hivi karibuni..
 
Kumekuwepo na propaganda ya miaka mingi kuwa CCM inajua kuandaa na kulea viongozi sio tu ndani ya nchi mpaka nchi jirani (Enzi za Mwalimu) nakumbuka hta Mhe.Polepole alisema wana master plan ya kuongoza nchi mpaka 2075!!

Kinachonishangaza toka Mama SSH aingie madarakani ni kama vile CCM haikumuandaa wala haikumtarajia kuwa Rais. Ilifika mahali wanaona bora katiba ingebadilishwa turudi kwa uchaguzi. Watu kama kina Polepole nao wamegeuka na kudai chama kimeshikwa na wahuni.

Sasa nachojiuliza kama CCM ni mabingwa wa siasa inakuaje hawakujiandaa na mbadala wa JPM (maana ugonjwa wake ulifahamika) kiasi walalamike as if SSH ni zao la CUF au TLP?

Kingine kama SSH anaonekana ni unfit kuwa Rais, ilikuaje akapitishwa kuwa makamu wa Rais on the first place? Ina maana unaweza kuwa makamu wa Rais bila kuandaliwa kuwa Rais ikitokea emergency??

Back to polepole, kama aliandaa master plan ya CCM mpaka 2075 inakuaje alalamike sasa ilihali Rais wa sasa ni zao la chama kile kile? Au plan haikujiandaa na mabadiliko ya Rais? Na kama haikujiandaa je ile propaganda kuwa CCM ni mabingwa wa succession na strategy politics ni uongo??

Cc The Boss MALCOM LUMUMBA Salary Slip
😅😅😅😅😅😅😅😅
 
TISS na CCM bado hawana machinery ya kuchakata mambo na mipango ya muda mrefu. Of course hapa naizungumzia serikali nzima ya CCM na si chama cha siasa tu

AU

Huenda wanao watu wazuri wenye upeo mpana wa kuchora mipango na mikakati lakini hawawatumii ipasavyo kwa sababu ya negligence za watu wachache ambao wanajiona bora zaidi.
mabingwa wa wizi wa kura
 
Kumekuwepo na propaganda ya miaka mingi kuwa CCM inajua kuandaa na kulea viongozi sio tu ndani ya nchi mpaka nchi jirani (Enzi za Mwalimu) nakumbuka hta Mhe.Polepole alisema wana master plan ya kuongoza nchi mpaka 2075!!

Kinachonishangaza toka Mama SSH aingie madarakani ni kama vile CCM haikumuandaa wala haikumtarajia kuwa Rais. Ilifika mahali wanaona bora katiba ingebadilishwa turudi kwa uchaguzi. Watu kama kina Polepole nao wamegeuka na kudai chama kimeshikwa na wahuni.

Sasa nachojiuliza kama CCM ni mabingwa wa siasa inakuaje hawakujiandaa na mbadala wa JPM (maana ugonjwa wake ulifahamika) kiasi walalamike as if SSH ni zao la CUF au TLP?

Kingine kama SSH anaonekana ni unfit kuwa Rais, ilikuaje akapitishwa kuwa makamu wa Rais on the first place? Ina maana unaweza kuwa makamu wa Rais bila kuandaliwa kuwa Rais ikitokea emergency??

Back to polepole, kama aliandaa master plan ya CCM mpaka 2075 inakuaje alalamike sasa ilihali Rais wa sasa ni zao la chama kile kile? Au plan haikujiandaa na mabadiliko ya Rais? Na kama haikujiandaa je ile propaganda kuwa CCM ni mabingwa wa succession na strategy politics ni uongo??

Cc The Boss MALCOM LUMUMBA Salary Slip
Unadhani_huyu_MHUNI_anafanya_Nini_hapa%3F%0A%0AA._Anahalalisha_UHUNI%0AB._Anahalalisha_wizi_wa...jpg
 
Back
Top Bottom