Je, CCM na TISS wanakuzwa nguvu zao kuliko uhalisia (Overrated)?

Je, CCM na TISS wanakuzwa nguvu zao kuliko uhalisia (Overrated)?

JPM alisema chanjo haifai ila SSH kasema ni muhimu tuchanjwe afu kuna wana CCM wanashangaa hizi U turn!! Je kivp wanaduwaa wakati CCM ndio ilimuandaa kuwa Rais?? Au mnakiri kuwa hakuandaliwa kma mnavyojisifiaga!!
Kuandaliwa hakumaanishi ukubaliane na mtangulizi hata kama ni ya kijinga.
Lazima achukue yale mazuri na yale ya kipuuzi aache nchi isonge mbele.
Kumbuka kwamba kila binadamu ana mapungufu yake ambayo hutofautiana na wengine.
Hivyo SSH kutofautiana na JPM hakuna la ajabu, na ni uthibitisho kuwa aliandaliwa fika.
Asiyeandaliwa angefuata ya mtangulizi wake tu.
 
Una maneno mengi sana lakini ni matupu. Strategic Vision 2025 ina malengo makuu matatu:
1. Maisha bora kwa kila mtanzania (Achieving quality and good life for all)
2. Kujenga mfumo bora wa utawala wa sheria (Good Governance and Rule of Law)
3. Kujenga uchumi imara ambao utaleta ushindani duniani (Building resilient and competitive economy globally)

Lengo la huu mkakati lilikuwa ni kuubadilisha uchumi wa Tanzania (Transformation and Modernisation). Sasa ukiangalia tangu Mzee Jakaya ni mangapi yamefanyika kuakisi huu mkakati utafahamu ni machache sana. Miaka 5 ya Raisi Magufuli, mamilioni ya watanzania wameingia kwenye lindi la umasikini na utawala bora ulisiginwa. Naomba katika hili tuache mzaha. Hayo malengo makuu matatu hayajatimizwa kwasababu ya siasa za hovyo za nchi hii....


Unaongea mambo mengi sana ya kusadikika, inaweza ikawa ni kweli. Lakini uhalisia mchungu ni kwamba sehemu yoyote iliyojaa rushwa kamwe hakuwezi kuwepo na usawa baina ya tabaka la juu na tabaka la chini. Haiwezekani, CCM is a GOLD-STANDARD OF CORRUPTION. Umewaongelea wakina majaliwa, hizo ni nafasi chache sana na za juu.

Ukija kwenye ngazi zenye watu wengi ambazo hazionekani ndiyo utaona uozo wa CCM. Hivi mtu kama Raisi Magufuli alivyokuwa anawachagua wakina Kabula ambao ni wanawake zake alikuwa ana maana gani labda. Kura za maoni alishindwa lakini akapita. Hivi leo unadhani kabisa mama yako mzazi akienda kugombea jimbo la mama Salma, hata kama kamshinda vigezo anaweza kupita ??? Hawa wakina Nape walipokuwa na vyeo walifanya juu chini hadi wakwe zao wapenyezwe..Tuna mengi ya kusema ila niishie hapa


Iko hivi, binafsi sina tatizo kabisa na watoto wa vigogo. Hata mkitaka kuwaweka ukoo mzima wa Samia waweke tu. I COULD CARE LESS. Tunachotaka sisi ni weredi na uwezo, leo hii watanzania ambao ni viongozi wana uwezo mdogo kwasababu ya michezo yenu ya kamlete. Mbali na hapo mmeiga michezo ya Warusi ya NOMENCLATURA, kwamba mnaweka makada hadi kwenye nafasi ambazo hawatakiwi kuwekwa wanasiasa......SHAME


Ndiyo viongozi wengi waandamizi wa Tanzania (TOP-BRASS) ni watu wasiokuwa na uwezo. Kama unabisha leo hii omba uone PhD za hao vijana wenzenu Jafo na Dotto, au hata ili ya marehemu iliyofichwa. Lakini kuwa zaidi, akili ya mtu hatuipimi kwenye shule peke yake, tungaalia mambo mengi.

Akili ya viongozi inapimwa kwa kuangalia maamuzi yenye maslahi mapana ya taifa kwa muda mrefu (How often does a leader make correct and accurate decision affecting a large margin of a population). Sasa ukijiuliza kwanini wizara ilifanya maamuzi ya ajabu kama kufuta masomo ya kilimo, kuunganisha somo la fizikia/kemia na Raisi kusaini mikataba ya hovyo ya madini na kudiriki kabisa kutetea haya maamuzi, utapata picha nchi hii ina viongozi aina gani.


Tanzania iko kwenye Crisis. AU mwenzangu Crisis ni mpaka uone machafuko kama Rwanda na Kenya ???
No, No, No! This type of thinking is myopic, bismal, parochial and lackadaisical. Tanzania kuna tatizo la rushwa na ufisadi. Mfumo wetu wa elimu umevurugika, watoto wanaanza kidato cha kwanza hawajui kusoma na kuandika lakini walifaulu mtihani, kuna tatizo kubwa sana la ajira, kuna tatizo la mabadiliko ya hali ya nchi. Can't you see that these are national Crises ???


Tafadhali sana, usinilisha maneno.....


Suala siyo kuwa na chama, hata chama cha KINAZI cha Adolf Hitler kilikuwa na nguvu sana na taasisi imara. Lakini swali la msingi mno kujiuliza ni kwamba chama kinaifanyia nini nchi. Mfumo wa chama mliouiga kule Urusi ulifikirika kwamba ndiyo bora kabisa duniani, lakini baada ya miaka 88 nchi ikaangukia pua. Chama kilikuwa na nguvu kweli, lakini kilijaa rushwa, upendeleo na uhafidhina. Ndiyo CCM ni chama chenye nguvu nchini, hili halina ubishi.

Lakini tukiuliza kama CCM kinaisaidia nchi, hili ni swala ambalo wengi mtamung'unya maneno bila kutoa majibu yaliyonyooka.....
Tatizo ni fikra kwamba mtu akiwa na vyeti basi ana uwezo wa kiakili.
Hujaona professor mpuuzi kabisa akikufundisha? Utavumilia mambo yaende.
Vyeti ni kitu kimoja na akili ni kingine.
Kwa sababu jamii inathamini vyeti bila akili ya kawaida, na kwa kuwa wanasiasa ni wapenda sifa na kuenenda na mawimbi, lazima watafute vyeti kwa gharama yoyote.
 
1. Ingekuwa CCM haijui kuandaaa na kuendeleza viongozi isingedumu tangu 1977
2. Ingekuwa TISS ni dhaifu kama unavyodhani isingeweza kuimarisha tunu za Taifa kwa miaka 60 sasa.

kwa ufupi hizi taasisi zote mbili zimefanya kazi kubwa ya kuimarisha ustawi wa nchi yetu.
 
Tatizo ni fikra kwamba mtu akiwa na vyeti basi ana uwezo wa kiakili.
Hujaona professor mpuuzi kabisa akikufundisha? Utavumilia mambo yaende.
Vyeti ni kitu kimoja na akili ni kingine.
Hakuna sehemu duniani ambako yaliwahi kupatikana maendeleo na mapinduzi ya fikra bila wasomi.
Tutabishana usiku kucha kuhusu hili, lakini ukweli ndiyo uko hivyo: Wasomi hujenga jamii.
Kama kuna sehemu unaifahamu ambako kumeendelea bila wasomi nitajie....
 
TISS na CCM bado hawana machinery ya kuchakata mambo na mipango ya muda mrefu. Of course hapa naizungumzia serikali nzima ya CCM na si chama cha siasa tu

AU

Huenda wanao watu wazuri wenye upeo mpana wa kuchora mipango na mikakati lakini hawawatumii ipasavyo kwa sababu ya negligence za watu wachache ambao wanajiona bora zaidi.
... mfano Jiwe!
 
Hakuna sehemu duniani ambako yaliwahi kupatikana maendeleo na mapinduzi ya fikra bila wasomi.
Tutabishana usiku kucha kuhusu hili, lakini ukweli ndiyo uko hivyo: Wasomi hujenga jamii.
Kama kuna sehemu unaifahamu ambako kumeendelea bila wasomi nitajie....
Sijaandika kuwa kuna maendeleo bila wasomi na hilo haliwezekani.
Kuna wasomi na wenye vyeti wasio wasomi (wasomi fake).
 
Stigler Gorge investment ya kupata 2000 plus MW ni USD 5 to 7 billion
thanks PhD for taking ur time to comment on the thread however I would like to object few things.

Kwanini umeangalia gharama tu mfano tukiangalia gharama huoni SGR ni bei kuliko conventional railways? Kma issue ni initial investment ina maana tubaki na reli ya kati na Tazara coz ni cheaper na tusiangalie ufanisi ama long term sustainability?? Mfano kina cha maji kikipungua ile hasara ya mgao uki calculate vis a vis realiable gas supply huoni hyo cheap itakua expensive cumulatively?

Kingine unaposema gesi sio yetu una maana gani?? Kwani concession agreements haitupi sisi mgao wetu pamoja na 16% Free-carried interest (Correct me kama haipo applicable kwa sheria ya mapato ya mafuta na gesi 2015 na amendment zake)? Mbona hta dhahabu ama Tanzanite sio za kwetu ila tunapata stahiki zetu (kodi na spillover effects zingine) ambazo tusingepata kama tungesubiri tupate mtaji wa kuchimba wenyewe!!? Tunapata hasara gani? In fact tumeanzisha sovereign wealth fund kumanage pesa za gesi huoni hyo faida yake in long run?

NB; Kingine TPDC kuna maeneo imeanza kufanya exploration wenyewe na kuchimba wenyewe so hya pia yanatupeleka in the right direction hta kma ni pilot projects tu

Faida ya moja kwa moja ingekuwa umeme tuu
Mbona mpango ulikua gesi ifike majumbani kma nishati mbadala hta kupikia so tungenunua kwa bei nafuu? Hyo recuperated cost ingetumika na raia kwa vitu vingine
na ni mali yetu sio undeleze kitu cha mwenzako kwa kukimbilia kuvizia kodi tuu.
Na ndio kiini cha mada sasa, kama CCM walijua gesi sio dili why watu set kuwa tunaeleka uchumi wa gesi afu ghafla mnakuja kugeuka alipoingia JPM na kudai HEP ndio way to go? Huoni inaonyesha hakuna consensus na continuity ndani ya CCM about the approach to crucial policy initiatives? And if that's the case je ile jeuri kuwa CCM ni makini katika kumanage transitions za serikali inakua rendered obsolete!
 
Kuandaliwa hakumaanishi ukubaliane na mtangulizi hata kama ni ya kijinga.
Lazima achukue yale mazuri na yale ya kipuuzi aache nchi isonge mbele.
Kumbuka kwamba kila binadamu ana mapungufu yake ambayo hutofautiana na wengine.
Hivyo SSH kutofautiana na JPM hakuna la ajabu, na ni uthibitisho kuwa aliandaliwa fika.
Asiyeandaliwa angefuata ya mtangulizi wake tu.
Sasa kama taasisi ndio inaandaa inakuaje inaruhusu viongozi wanaotofautiana kufuatana!! Yaani kma sera ya CCM ni kwamba watoto waliopata mimba warudi shule kivp anaingia mtu anasema hapana warudi shule then 2025 akiingia mwingine utaskia wajawazito hawaruhusiwi kurudi shule!! Hyo chaos ndio naongelea hapa maana inatucost sana wananchi.

Fikiria CCM walisema muswada wa mapato na gesi ulikua sahihi, anaingia JPM anasema ni wa kifisadi, ghafla tena akiingia SSH naye anaona shida tofauti. Sasa unajiuliza mbona chama ni kile kile na baadhi ya watendaji/watafiti/washauri ni wale wale je wanakwama wapi kuandaa succession management inayorandana na maazimio ya chama??

Hivi CCM si chama cha kijamaa? Nitajie mjamaa mmoja tu CCM yaani anayefuata zile principles za marxism!! Nitajie mmoja tu alafu utaona hoja yangu inapoanzia!!
 
1. Ingekuwa CCM haijui kuandaaa na kuendeleza viongozi isingedumu tangu 1977
2. Ingekuwa TISS ni dhaifu kama unavyodhani isingeweza kuimarisha tunu za Taifa kwa miaka 60 sasa.

kwa ufupi hizi taasisi zote mbili zimefanya kazi kubwa ya kuimarisha ustawi wa nchi yetu.
Naongelea consistency sio uwezo wa kukaa madarakani, maana hta ZANU PF inatawala zimbabwe tokea uhuru ila nchi inazidi kudidimia tu!!! Sasa utawasifia kwa kubaki madarakani tu au unaangalia output?

Mfano kilimo kwanza yaliwekezwa mabilion ghafla tena bajeti ya kilimo kipindi cha JPM zikawa below 20% ya allocated development expenditure!!! Tutafika kweli kma hatuwezi kuanzisha jambo tukalisimamia mpka mwisho maana CCM si ile ile? Ssa inakwama wapi
 
CCM ilitanguliza tu ya kuwa na Makamu wa Rais mwanamke ,haikujiandaa kufiwa ilijua inamiliki kifo inamiliki ugonjwa.
Yametokea yaliyotokea TISS ipo kwa ajili ya kuendeshwa na CCM,unakuta wakati wa uchaguzi wa maoni wanaanza kufanya screening ya nani ni bora huko CCM badala ya nani anakubalika na wananchi huko mtaani kupitia vyama vingine.
 
Kama angekuwepo suitable replacement nadhani ingewezekana kumshauri huyu Mama ajiuzulu.
 
CCM ilitanguliza tu ya kuwa na Makamu wa Rais mwanamke ,haikujiandaa kufiwa ilijua inamiliki kifo inamiliki ugonjwa.
Yametokea yaliyotokea TISS ipo kwa ajili ya kuendeshwa na CCM,unakuta wakati wa uchaguzi wa maoni wanaanza kufanya screening ya nani ni bora huko CCM badala ya nani anakubalika na wananchi huko mtaani kupitia vyama vingine.
TISS hawana issue kabisa ni kitengo kimojawapo cha chama tawala wanaendeshwa kama gari bovu.Shughuli zao za kila siku wameweka kando kutwa kufatilia vyama vya upinzani tu.
 
Naheshimu Mchango wako mkongwe but quote me corrected "unazungumziaje Magufuli kabla na kutoka CCM, chama kilikua na hali gani kwa wananchi wa kawaida mitaani?

Viongozi na wanachama walikua hawana audacity hata ya kuvaa sare na mabango ya chama kitaa, vikaoni matawini walikua wanaenda na vibegi ama majaketi ya kubadilisha before and after vikao.

Na sasa hivi hao hao iliyotaka kuwafia CCM ndio wanapata kibass cha kuongea na kuiongelea CCM.

Trust it or not bila Magufuli ku step in Chama kilikua kinaenda kupasuka pasuka from the roots. A project is a project, mzigo mzito mpatie mnyamwezi. Hata Punda usiyempenda lengo lake ni kukufikishia mzigo salama.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app

Sio kwamba Magufuli aliifanya iwe na nguvu ya kisiasa, bali alitumia kiburi chake cha madaraka kuifanya CCM itambe. Kimsingi wakati wake CCM haikutamba kisiasa,bali ilitambia nguvu ya dola na kundi la watu wasiojulikana lililokuwa linamilikiwa na CCM. Usitake kupotosha kuwa Magufuli aliipandisha CCM, wakati hata kwenye chaguzi tulikuwa tunaona mabox ya kura yakiletwa kwenye vyumba vya kura, mbele ya polisi na tume ya uchaguzi.
 
SSH aliandaliwa. Hadi anateuliwa kuwa VP mara mbili zote(first of that kind) tulipofika Uchaguzi Mkuu, maanake ni aliandaliwa. Mama SSH kuwepo kwenye CC ya CCM toka 2002, maanake ni nini kama sio kuandaliwa kushika madaraka makubwa?
Na, Je toka ashike madaraka, kuna lolote kubwa lililomshinda? Kuna jambo baya la kuhaini alilolifanya? Kuna ubaguzi wowote alioufanya kwa kutumia madaraka yake? Kuna mtikisiko wowote ulioukumba nchi? Kama upo je, uliachwa ukasambaa bila kuthibitiwa?
Maneno ya kina Polepole, Nape na Bulembo ni maneno ya kawaida ya vita ya makundi ndani ya CCM. Ni vita ya peripherals kutafuta namna ya kukaa kimkakati na kujiattach kwenye centre. Centre ni SSH na Viongozi wengine Wakuu kama Jaji Mkuu, Speaker, Waziri Mkuu na Makamu wa Rais.
SSH aliandaliwa. Hadi anateuliwa kuwa VP mara mbili zote(first of that kind) tulipofika Uchaguzi Mkuu, maanake ni aliandaliwa. Mama SSH kuwepo kwenye CC ya CCM toka 2002, maanake ni nini kama sio kuandaliwa kushika madaraka makubwa?
Na, Je toka ashike madaraka, kuna lolote kubwa lililomshinda? Kuna jambo baya la kuhaini alilolifanya? Kuna ubaguzi wowote alioufanya kwa kutumia madaraka yake? Kuna mtikisiko wowote ulioukumba nchi? Kama upo je, uliachwa ukasambaa bila kuthibitiwa?
Maneno ya kina Polepole, Nape na Bulembo ni maneno ya kawaida ya vita ya makundi ndani ya CCM. Ni vita ya peripherals kutafuta namna ya kukaa kimkakati na kujiattach kwenye centre. Centre ni SSH na Viongozi wengine Wakuu kama Jaji Mkuu, Speaker, Waziri Mkuu na Makamu wa Rais.
SSH aliandaliwa. Hadi anateuliwa kuwa VP mara mbili zote(first of that kind) tulipofika Uchaguzi Mkuu, maanake ni aliandaliwa. Mama SSH kuwepo kwenye CC ya CCM toka 2002, maanake ni nini kama sio kuandaliwa kushika madaraka makubwa?
Na, Je toka ashike madaraka, kuna lolote kubwa lililomshinda? Kuna jambo baya la kuhaini alilolifanya? Kuna ubaguzi wowote alioufanya kwa kutumia madaraka yake? Kuna mtikisiko wowote ulioukumba nchi? Kama upo je, uliachwa ukasambaa bila kuthibitiwa?
Maneno ya kina Polepole, Nape na Bulembo ni maneno ya kawaida ya vita ya makundi ndani ya CCM. Ni vita ya peripherals kutafuta namna ya kukaa kimkakati na kujiattach kwenye centre. Centre ni SSH na Viongozi wengine Wakuu kama Jaji Mkuu, Speaker, Waziri Mkuu na Makamu wa Rais.
Mkuu kesi ya Mbowe ambayo imezaa udhalilishaji wa makomando wastaafu na jeshi la polisi na taifa kwa ujumla ni ushahidi kuwa TISS na kamati kuu ya ccm ni MABOGUS sana!!!Leo tunachafuka kizembe kisa upumbavu wa wachache ndani ya nchi!!SAMIA HAKUJIANDAA kama Raisi asingeenda kusema BBC eti Mbowe ni Gaidi wakati shauri lipo Mahakamani!!JESHI LETU LIMEDHALILIKA KWA KUIONYESHA DUNIA ETI LIMETOA MAFUNZO YA KIGAIDI KWA MAKOMANDO WAKE!ETI MAFUNZO YA KIJESHI HAPA NCHINI YANAANDAA MAKOMANDO MAGAIDI!!!TISS na CCM wameonyesha Upumbavu wao wa kiakili tena wazi kabisa !!Nashangaa Diwani Athumani hajiuzulu kwa kutia aibu Taifa letu na nchi Ujumla!!Halafu NA ILE FILAMU YA UTALII YA SAMIA ILIKUWA YA NINI WAKATI UMESHATANGAZIA DUNIA KUWA MBOWE NA MAKOMANDO WASTAAFU WA JESHI ETI NI MAGAIDI??
 
Mkuu kesi ya Mbowe ambayo imezaa udhalilishaji wa makomando wastaafu na jeshi la polisi na taifa kwa ujumla ni ushahidi kuwa TISS na kamati kuu ya ccm ni MABOGUS sana!!!Leo tunachafuka kizembe kisa upumbavu wa wachache ndani ya nchi!!SAMIA HAKUJIANDAA kama Raisi asingeenda kusema BBC eti Mbowe ni Gaidi wakati shauri lipo Mahakamani!!JESHI LETU LIMEDHALILIKA KWA KUIONYESHA DUNIA ETI LIMETOA MAFUNZO YA KIGAIDI KWA MAKOMANDO WAKE!ETI MAFUNZO YA KIJESHI HAPA NCHINI YANAANDAA MAKOMANDO MAGAIDI!!!TISS na CCM wameonyesha Upumbavu wao wa kiakili tena wazi kabisa !!Nashangaa Diwani Athumani hajiuzulu kwa kutia aibu Taifa letu na nchi Ujumla!!Halafu NA ILE FILAMU YA UTALII YA SAMIA ILIKUWA YA NINI WAKATI UMESHATANGAZIA DUNIA KUWA MBOWE NA MAKOMANDO WASTAAFU WA JESHI ETI NI MAGAIDI??
Wale makomando sio kabisa.wanajitetea eti walipigwa hadi wakalia mwingine sijui luteni urio nae alionekana akilia baada ya kupokea kichapo cha nguvu kituo cha polisi Tazara.
 
Naheshimu Mchango wako mkongwe but quote me corrected "unazungumziaje Magufuli kabla na kutoka CCM, chama kilikua na hali gani kwa wananchi wa kawaida mitaani?

Viongozi na wanachama walikua hawana audacity hata ya kuvaa sare na mabango ya chama kitaa, vikaoni matawini walikua wanaenda na vibegi ama majaketi ya kubadilisha before and after vikao.

Na sasa hivi hao hao iliyotaka kuwafia CCM ndio wanapata kibass cha kuongea na kuiongelea CCM.

Trust it or not bila Magufuli ku step in Chama kilikua kinaenda kupasuka pasuka from the roots. A project is a project, mzigo mzito mpatie mnyamwezi. Hata Punda usiyempenda lengo lake ni kukufikishia mzigo salama.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Naheshimu Mchango wako mkongwe but quote me corrected "unazungumziaje Magufuli kabla na kutoka CCM, chama kilikua na hali gani kwa wananchi wa kawaida mitaani?

Viongozi na wanachama walikua hawana audacity hata ya kuvaa sare na mabango ya chama kitaa, vikaoni matawini walikua wanaenda na vibegi ama majaketi ya kubadilisha before and after vikao.

Na sasa hivi hao hao iliyotaka kuwafia CCM ndio wanapata kibass cha kuongea na kuiongelea CCM.

Trust it or not bila Magufuli ku step in Chama kilikua kinaenda kupasuka pasuka from the roots. A project is a project, mzigo mzito mpatie mnyamwezi. Hata Punda usiyempenda lengo lake ni kukufikishia mzigo salama.

Sent from my SM-G9350 using JamiiForums mobile app
Mkuu kwani ccm ndio chama pekee nchini?Huyo jpm angeandaliwa kwa kwenda NccR akashinda nchi ingekufa kibudu??Fikra mgando za Tiss ndio hizi za kuipigania ccm wakati tuna vyama vingi hapa nchini!kama Lowasa aliiteka ccm 2015 kwanini wasingeiandaa Chadema ya jpm akashinda Uraisi na hapo nchi ikaheshimika kimataifa?kuliko kuua watu na kuwabambikia kesi ili ccm iwe hai??UPUMBAVU UMEZIDI SIO KWA TISS TU HATA DEEP STATE YETU UJINGA UMETAMALAKI!!!KIFUPI NI HAYO TU!!
 
Kumekuwepo na propaganda ya miaka mingi kuwa CCM inajua kuandaa na kulea viongozi sio tu ndani ya nchi mpaka nchi jirani (Enzi za Mwalimu) nakumbuka hta Mhe.Polepole alisema wana master plan ya kuongoza nchi mpaka 2075!!

Kinachonishangaza toka Mama SSH aingie madarakani ni kama vile CCM haikumuandaa wala haikumtarajia kuwa Rais. Ilifika mahali wanaona bora katiba ingebadilishwa turudi kwa uchaguzi. Watu kama kina Polepole nao wamegeuka na kudai chama kimeshikwa na wahuni.

Sasa nachojiuliza kama CCM ni mabingwa wa siasa inakuaje hawakujiandaa na mbadala wa JPM (maana ugonjwa wake ulifahamika) kiasi walalamike as if SSH ni zao la CUF au TLP?

Kingine kama SSH anaonekana ni unfit kuwa Rais, ilikuaje akapitishwa kuwa makamu wa Rais on the first place? Ina maana unaweza kuwa makamu wa Rais bila kuandaliwa kuwa Rais ikitokea emergency??

Back to polepole, kama aliandaa master plan ya CCM mpaka 2075 inakuaje alalamike sasa ilihali Rais wa sasa ni zao la chama kile kile? Au plan haikujiandaa na mabadiliko ya Rais? Na kama haikujiandaa je ile propaganda kuwa CCM ni mabingwa wa succession na strategy politics ni uongo??

Cc The Boss MALCOM LUMUMBA Salary Slip
Binafsi nilishangaa sana na ninaendelea kushangaa, mbibi anayedate vijana wadogo tena wenye sifa za kishenzi kama Bashite anakuwaje Rais?

Akina polepole wana haki ya kulalamika na kumdharau
 
Back
Top Bottom