Je, CDF na IGP wakifikisha miaka 60 wanaweza kuongezewa muda au lazima wastaafu?

Je, CDF na IGP wakifikisha miaka 60 wanaweza kuongezewa muda au lazima wastaafu?

Kazi yao rahisi kuliko JWTZ

We mtu kazi yako kupambana na majambazi ambao technically ni raia alieshika bunduki kwenda kupora ulinganishe na luteni ambae anaenda front kupambana na adui mpiganaji kweli kweli mwenye silaha aina zote
hapana sidhani kama waliopanga wamezingatia hilo swala.

maana ingekuwa hivyo basi jeshi lingekuwa miongoni mwa kazi zinazolipa vizuri sana,ikifuatiwa na hiyo polisi.

but sio hivyo hawapo kwenye orodha zinazolipwa vizuri,ila wako kwenye zenye afadhali.
 
hapana sidhani kama waliopanga wamezingatia hilo swala.

maana ingekuwa hivyo basi jeshi lingekuwa miongoni mwa kazi zinazolipa vizuri sana,ikifuatiwa na hiyo polisi.

but sio hivyo hawapo kwenye orodha zinazolipwa vizuri,ila wako kwenye zenye afadhali.
TRA hata wafike kwenye mishahara ya kukaa miaka mingi kazini bado sana kuwalinganisha na maafisa JWTZ waliisomea sheria na udaktari

Na nchi hii sifahamu sehemu yenye mishahara mikubwa zaidi ya TRA nje ya JWTZ ,mishahara ya TISS siijui sababu mi sio TISS
 
TRA hata wafike kwenye mishahara ya kukaa miaka mingi kazini bado sana kuwalinganisha na maafisa JWTZ waliisomea sheria na udaktari

Na nchi hii sifahamu sehemu yenye mishahara mikubwa zaidi ya TRA nje ya JWTZ ,mishahara ya TISS siijui sababu mi sio TISS
hoja yangu ni kwamba mishahara haikupangwa kwa kuzingatia ugumu wa kazi.

kuna watu wana kazi za kawaida tu,ila wanalipwa kweli kweli TPA,TRA,TANAPA,TANESCO

angalia kazi zote hapo dactari hayupo,pamoja na msoto wote kuanzia shuleni mpaka kazini.
 
Kwa mujibu wa katiba na Sheria za nchi yetu viongozi waandamizi wa polisi, Jeshi la Wananchi na wengineo wakistaafu wanaruhusiwa kuomba kuongezewa muda au mteule wao anaweza waongezea muda?

Kama wataongezewa muda, ukomo wakuwaongezea muda ni miaka mingapi?

Je, ipo mifano ya viongozi wa vyombo hivi ambao wamewahi kuongezewa muda wakiutumishi baada yakuvuka umri wa kustaafu?
Mmoja wao kishastaafu tokea Mwaka juzi
Kaongezewa Muda
 
Nimekwambia huo ni utaratibu wa kijeshi kutokana na Katiba ya TPDF. Kuvunja Katiba kwa kiongozi wa nchi sio kuhalalisha kitendo kuwa utaratibu. Kama tunasema ni mvunja katiba wadhani alianzia wapi? Au mangapi ambayo ameenda nje ya utaratibu wa Katiba? So usishangae mkuu
Hakuna kitu kinaitwa Katiba ya Jeshi wewe Nanga.
Uteuzi wa CDF upo kwa Mujibu wa Katiba ya Nchi.
Afisa yeyote aliyefikia rank Brigedier, Major au Liutenant General anaweza kuwa CDF.
Na kwa Taarifa yako enzi za Mkwere kulikuwa na Liutenant General kama 8.
Kwa sasa wako wa tatu, CoS, Mkuu wa TMA na Mkuu wa NDC
 
Rais anaweza muongeze CDF kukaa madarakani.. Kumbuka Mwamunyange alikua keshastafu lakini aliongezewa mwaka mmoja au miwili na Jonh Pombe

Pia suala la IGP anaweza muongezea,ili watoke wote pamoja! Ngoma hua nzito kwa Mkuu wa TISS..
Ki Katiba Rais, halazimishwi kuchagua Mkuu wa TISS kutoka TISS,anaweza hata kumtoa Jalalani.
 
Pengine mazoea tu na tabia za watu

Ila afisa JWTZ maslahi manono sana hamna wa kuwalinganisha serikalini
Hamna kitu,Jeshini bila kwenda UN mission unakufa Masikini,labda uwe National Service kwenye Projects za Ki Siasa na Kusafiri Safiri
 
Hamna kitu,Jeshini bila kwenda UN mission unakufa Masikini,labda uwe National Service kwenye Projects za Ki Siasa na Kusafiri Safiri
Mkuu maafisa waandamizi (sio majenerali) wapo hadi kwenye mishahara ya zaidi ya milioni kumi
 
Back
Top Bottom