Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Unaleta maswali ambayo unasema ni ya kiimani halafu unataka majibu ya kisayansi,Mzee uelewaa wako ni wa chini mno. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Pamoja na kukupatia free education bado unaleta ubishi wa kijinga tu. Unadhani watu wanao amini uwepo wa Mungu ni wajinga halafu wewe ndiye mwelevu kuwazidi wao.
Unaleta ubishi bila hata justification. Ukiulizwa maswali unakibia.
Nimekuuliza maswali mengi halafu hujajibu hata moja. 🤣🤣🤣🤣
Stupid
Nina swali mkuu, hivi shetani aliumbwa na Nani???Mzee uelewaa wako ni wa chini mno. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Pamoja na kukupatia free education bado unaleta ubishi wa kijinga tu. Unadhani watu wanao amini uwepo wa Mungu ni wajinga halafu wewe ndiye mwelevu kuwazidi wao.
Unaleta ubishi bila hata justification. Ukiulizwa maswali unakibia.
Nimekuuliza maswali mengi halafu hujajibu hata moja. 🤣🤣🤣🤣
Stupid
Hili jinga kabisa yaani wewe unaaminikwa mujibu wa kitabu kipi ulichosoma ??
UmeandikaBro mimi naona Huna haja ya kuongeza sana kuhusu uwepo wa mungu au kutokuwepo kwake, nimejaribu kwa nguvu zote kuwaelewa hawa watu wanaopinga uwepo wa mungu lakini nilichogundua ni kwamba hawa watu wana upeo mdogo sana wa kufikiri, ndio maana wanaopinga kwa nguvu zote uwepo wa mungu, na haitokaa itokee kuwa na imani thabiti kwa chochote wanachokiamini, kwa sababu kitendo chat kupinga tu uwepo wa mungu ni uwendawazimu, Mungu sio mtu wa mchezo mchezo eti umuwazie vile unavyo fikiri Wewe, wanachltakiwa waelewe kwanza ili uweze kumuwazia au kumfikiria mungu na uwezo wake lazima uwe na akili kubwa, na kuwa na akili kubwa sio tu lazima uwe na uwezo wa kuvumbua mambo kama kina Newton na wavumbuzi wengine, ile kukubali tu kama yuko mungu na mwenyewe uwezo wa kufanya yale ambayo kiumbe mwengine hawezi basi pia ni akili kubwa, kinyume na hapo ni uwendawazimu. Kitendo chat kufikirua tu kuwa hakuna mungu. Basi elewa kuna hitilafu kwenye mfumo wako wa kufikiri, na kama ni hivyo ni lazima uone ni kawaida kuwaza hakuna mungu na hapo hapo uendelee kuishi kwa amani, au tunaweza kusema Wewe maisha yako ni hopless kabisa. Cha muhimu ni kuwaonea tu huruma hawa watu, kuendelea kuwalaumu na fikira zao finyu pia kunatufanya na sisj wenye akili timamu tupoteze utimamu wetu.
Hapo kwenye shida ni baada ya kuasi eden aitoa adhabu kwa tutaishi kwa jasho.
Ningependa kujua, je, inawezekana kuwa Rais wa nchi wakati wewe si Raia wa nchi hiyo?
Pia ningependa kufahamu, Mungu ni wa dini gani? Je, ni Muislamu au Mkristo?
Kwa nini Masheikh na Wachungaji husema kwamba dini haiwezi kukufikisha Mbinguni?
Kama Dini haziwezi kutupeleka Mbinguni, basi kwa nini zipo? Kama Mungu yuko upande wa Wakristo, kwa nini hawapendelei?
Na kama Mungu ni wa Waislamu, kwa nini nao hawapendelei? Je, inamaanisha nini kusema kwamba Mungu ni wa kila mtu?
Kwa nini alitufanya tofauti kwa rangi? Na kwa nini alitufanya tofauti hata kwa jinsi tunavyoishi duniani au kwa kipato?
Kwanini aliumba shida na matatizo?
Na kusema kwamba alituumba kwa mfano wake, ningependa kujua, kama sisi ni mfano wa Mungu, je, hii inamaanisha kwamba Mungu anakula chakula, anaenda chooni, na pia anakabiliana na matatizo kama sisi?
Kama jibu ni hapana, kwa nini sisi, ambao ni mfano wa Mungu, tunateseka hivi wakati yeye ana uwezo mkubwa wa kutusaidia?
Ungesoma kile nilichokiandika awali ungefuatilia comments zangu.Nina swali mkuu, hivi shetani aliumbwa na Nani???
Swali la pili
Kwenye dini zote zinasema Mungu/Allah ni mjuzi wa Kila kitu anajua yaliyopita, yaliyopo na yajayo,
Pia Mungu anajua kila kitu kabla hata hajaniumba nitakachofanya duniani na siku nitakayokufa na kitu kitakachoniua na nikifa anajua kama nitaenda motoni au peponi
Sasa kama Mungu kaniumba nikafanya dhambi hapa duniani na nikafariki klnikiwa kwenye dhambi nikaenda motoni
Je nikisoma Mungu kaniumba ili niende motoni akinichome Moto nitakuwa nakosea????, ( kumbuka Mungu alikuwa anajua kila kitu hata kabla hajaniumba)
Hili jinga kabisa yaani wewe unaamini
Mungu kwakuwa ameamdikwa kwenye story book?View attachment 3068075
😂muache kutuwekea mipaka na huyo bwana mwenyezi wenu tuenjoy dunia bn hakuna sehemu yeyote utaeza ona jua mateso furaha ukweli au ungo nje na hapa duniani ninyi kazi mlioichagua ni kumtetea na kumpia promo muweza wa yote asiejiweza yeye kwanini?😂😂😂
Mbona umeingiza swaga za mashahidi wa Jehovah ukaja ukaingiza na mambo ya mpira???
Pole Dada haya mambo ukiyafuatilia sana unakuwa kichaa. Ishi kwenye kusudi lako tu.
Huyo Mungu anatafutwa kwani amepotea?Dini ni nia ya mwanadamu kumtafuta Mungu, it is man made.
Huyo Mungu anatafuta wanadamu kwani hawajui na kawasahau?Wokovu ni njia ya Mungu kumtafuta mwanadamu kupitia Yesu Kristo.
Muislamu akikwambia Muhammad ndiye njia ya kweli na uzima, no other way, Utakubali tu kwa vile umeambiwa hivyo?Yesu ndie njia kweli na uzima, no other way.
Huyo Mungu Alishindwaje kuumba binadamu watakao mpenda?Wengi wetu tumekuwa watumwa wa dini, tunzipenda kuliko kumpenda Mungu.
Huyo Yesu anataka apendwe kwani yeye amekuwa demu?Yesu anasema, "Mkinipenda mtazishika amri zangu." Yohana 14:15
Usilazimishe watu waamini au wafikirie kama wewe. Waache watu waishi watakavyo. Tunajaribu kukufundisha ustaarabu, umekaza fuvuHuyo Mungu anatafutwa kwani amepotea?
Huyo Mungu anatafuta wanadamu kwani hawajui na kawasahau?
Muislamu akikwambia Muhammad ndiye njia ya kweli na uzima, no other way, Utakubali tu kwa vile umeambiwa hivyo?
Huyo Mungu Alishindwaje kuumba binadamu watakao mpenda?
Huyo Yesu anataka apendwe kwani yeye amekuwa demu?
Unajaribu kunifundisha ustaarabu wewe kama nani?Usilazimishe watu waamini au wafikirie kama wewe. Waache watu waishi watakavyo. Tunajaribu kukufundisha ustaarabu, umekaza fuvu
Unaandika too manya words. Unaandika uozo.🤮🤮🤮Unajaribu kunifundisha ustaarabu wewe kama nani?
Ustaarabu kamfunze mamako.
Kuna sehemu nimelazimisha mtu aniamini?
Nimeshika maisha ya watu niwazuie wasiishi?
Hakuna aliye lazimishwa kuwa hapa JF, Ukiona hupendezwi na maoni yangu au maoni ya mtu yeyote yule, Jamii forums imekupa option yaku ignore.
Otherwise kila mtu yuko huru kuchangia maoni na mawazo yake hapa JF.
Nyie mlikua mazombi msio weza kufikiri wala kuhoji na ni wakengeufu mlio kana imani za asili za wazee wetu,hatuwaamini wala kuwasikiliza we follow our own path now relax.Wazazi tunapombana kusomesha watoto wetu, na tunapo risk hata mali zetu na maisha yetu kwa ajili yenu basi muwe na huruma, kwasababu hatutegemei kuona mnauliza maswali kama haya na kuona kuwa mna mitazamo kama hii. Tunataka watoto wenu na wajukuu zenu wasipitie aina ya maisha tuliyoyapitia sisi, inauma sana ...
Wewe mbombo ngafuNyie mlikua mazombi msio weza kufikiri wala kuhoji na ni wakengeufu mlio kana imani za asili za wazee wetu,hatuwaamini wala kuwasikiliza we follow our own path now relax.
Nje ya vitabu ya dini hakuna mungu ala.kwa mujibu wa kitabu kipi ulichosoma ??
Jifunze kuweka paragraphs,kumbe mungu si mtu wa mchezo mchezo je ni ke au me?Bro mimi naona Huna haja ya kuongeza sana kuhusu uwepo wa mungu au kutokuwepo kwake, nimejaribu kwa nguvu zote kuwaelewa hawa watu wanaopinga uwepo wa mungu lakini nilichogundua ni kwamba hawa watu wana upeo mdogo sana wa kufikiri, ndio maana wanaopinga kwa nguvu zote uwepo wa mungu, na haitokaa itokee kuwa na imani thabiti kwa chochote wanachokiamini, kwa sababu kitendo chat kupinga tu uwepo wa mungu ni uwendawazimu, Mungu sio mtu wa mchezo mchezo eti umuwazie vile unavyo fikiri Wewe, wanachltakiwa waelewe kwanza ili uweze kumuwazia au kumfikiria mungu na uwezo wake lazima uwe na akili kubwa, na kuwa na akili kubwa sio tu lazima uwe na uwezo wa kuvumbua mambo kama kina Newton na wavumbuzi wengine, ile kukubali tu kama yuko mungu na mwenyewe uwezo wa kufanya yale ambayo kiumbe mwengine hawezi basi pia ni akili kubwa, kinyume na hapo ni uwendawazimu. Kitendo chat kufikirua tu kuwa hakuna mungu. Basi elewa kuna hitilafu kwenye mfumo wako wa kufikiri, na kama ni hivyo ni lazima uone ni kawaida kuwaza hakuna mungu na hapo hapo uendelee kuishi kwa amani, au tunaweza kusema Wewe maisha yako ni hopless kabisa. Cha muhimu ni kuwaonea tu huruma hawa watu, kuendelea kuwalaumu na fikira zao finyu pia kunatufanya na sisj wenye akili timamu tupoteze utimamu wetu.
Mungu bila elimu ?Nje ya vitabu ya dini hakuna mungu ala.
Mtaalamu Jagina, Naona uko vizuri kwenye maswala ya Kifilosofia.Mungu bila elimu ?
hebu tuambie what is the purpose of life ??