Je, endapo Jua likimwagiwa Maji nini kitatokea?

Ile tuu kulikaribia mnaungua wote na kuwa mkaa.
Wee fikiria liko mbali huko lakini watu tunaungua hadi vipara vinavuka moshi na udongo unanukia kuungua.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Litapunguza makali na kulia chaaaaaaà! na mvuke kidogo baada ya hapo utaisoma namba.
 
Jua halipimiki wa kusogeleka .

Huwezi kuthubutu utayeyuka kabla ya kulifikia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…