Je, Habari ya watu waliochaguliwa na Mungu ni ya kweli?

Mbinguni wataenda watu 177 elfu tu, kwenda kuhudumu.

Wengine watabaki paradiso hapa hapa duniani.

So technically hapa tunaishi paradiso, ila ukitaka kuuona utamu wa paradiso enjoy mwenyewe usisubiri time.
Ngoja niache kazi.
 
Ishara inayojulisha kuwa umechaguliwa na Mungu nikufanya matendo mema lakini kama ni kinyume chake ujue hujachaguliwa.mfano ambao hawajachaguliwa na mungu ni wanasiasa wanaosema uongo mbele ya umma.
 
Kwa mfano labda visipo zingatiwa kwa bahati mbaya itakuwa je πŸ€£πŸ€£πŸ˜…
Hapo tutaangalia ni kipengele gani hakikuzingatiwa na hiko kipengele kinatoa muongozo ipi endapo kikiwa hakijazingatiwaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚.

Hii inamaanisha kwamba before course haijaanza utaratibu utatangulia(ndio vigezo na masharti yenyewe sasa hayo ya kwenye Kila kipengele).

So, you wanna be a meditator, hah.
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚unaona mawazo yako ulivyoyapeleka mbali ndicho ulichokuwa ukikilenga kwenye zile tafsiri zako
Sasa mawazo ya kunyonyana umeyaleta wewe, mimi nikikunukuu tu yanakuwa mawazo yangu tayari?

Yani umefikiria kunyonyana kabisa? Wewee!
 
Sasa mawazo ya kunyonyana umeyaleta wewe, mimi nikikunukuu tu yanakuwa mawazo yangu tayari?

Yani umefikiria kunyonyana kabisa? Wewee!
Unaninukuu tofauti kwa lengo lako
Nimesema kunyonyana nguvu
Ila kwa kiranga chako ukaamua kufipisha ili upate pakuongelea
 
Ka Kama hakuna madhara katika hiyo miongozo jibu ni ndio
 
Unaninukuu tofauti kwa lengo lako
Nimesema kunyonyana nguvu
Ila kwa kiranga chako ukaamua kufipisha ili upate pakuongelea
Kunyonyana nguvu za kiume, za kike au zote? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mwamba ameuliza kutaka kujua acheni kumuitia watu watakao mwambia mungu hay upo. Hapa hajaja kuuliza uwepo wamungu bali anataka kujua kama kuna watu wanaishi katika hii aridhi na wamechaguliwa basi.
 
Mawazo yake sio Sawa Sawa na yetu binadamu, Maana yeye hachunguziki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…