Je, Hamas wanasaidiwa katika hii vita dhidi ya Israel?

ivi we unafikiri kuna kitu ambacho mwarabu anakitamani kama kuisafisha tel aviv? shida sasa ni je ataisafishaje? au we unafikiri atatumia fagio?
Sa we tulizana hata chakula cha moto ukikila unakipuliza utababuka, sisi tunapiga mlo taratibu hio Tel Aviv haiko mbali sana tutafika tu na kuisafisha.
 
Excellent. Its a good review.
 
Mkuu, picha nyingi za vita ya Gaza hasa upande wa madhara kwa raia zinarushwa na Tv za Aljazeera, na za Kiarabu. Na nyingi ni exaggerated wakitumia sana AI. Mimi nafuatilia sana vita hii. Mfano ni picha za watoto wadogo wanaokufa zinazalishwa several times. Cha ajabu miili iliyokwishafungwa kwa maziko mingi inayoonyeshwa ni ya watu wazima. Na definately ni wapiganaji wa Hamas, ambao Tv hizo huficha kutoa idadi.
 
Sa we tulizana hata chakula cha moto ukikila unakipuliza utababuka, sisi tunapiga mlo taratibu hio Tel Aviv haiko mbali sana tutafika tu na kuisafisha.
miaka zaidi ya 50 sasa kuanzia mtimuliwe, mtafika lini?
 
Ni kazi ngumu sana kupigana na waasi/magaidi. Angalia jeshi la DRC wanavyohangaika na waasi miaka nenda rudi, Nigeria na Boko Haram, Sudan, Somalia vs Al Shabaab, Ethiopia vs Tigrey, Yemen vs Houthi etc
 
Huu ndio ukweli!!

Warusi upande wa Hamas vs USA upande wa waisrael feki!
 
Wanasaidiwa na kubwa la magaidi iran. Bila kusahau Syria, Lebanon, Jordan, Turkey nk.
 
Hahaahaaa!.
 
6 days war,wewe ulikuwepo? Advanced technology ya media ilikuwa ya kiwango gani hata tupate ukweli uliofichwa?.
Wewe ongelea tunachokiona Sasa.
 
Hama's wamesaidiwa vingi na Iran,,kingine ni vigumu kuwamaliza Hama's kwasababu hujichanganya na tasisi za kiraia wanapopigana.
 
Kwa Gaza hakuna sehemu inayoitwa karibu na shule au mbali na hospitali.Katika eneo dogo kama lile na msongamano wa watu ukitaka kujenga chini ya ardhi kila sehemu ni karibu na nyengine.
kwa ukubwa wa adui Hamas anayepigana naye hana sababu ya kutumia kanuni za kimataifa katika kupigana hasa ukitilia maanani huyo adui yake ndiye asiyeheshimu hizo kanuni kabisa.
Anachojali zaidi Hamas ni kulinda sheria za vita katika Uislamu na hilo amelifanya sana.
 
ndo wapambane sasa tuone kama watatoboa
Wenzako wanawapigia magoti Hamasi kuomba vita isimame.

Sisi tuna amini hivi vyote ni mipango ya Mungu, siku zote wanao nyanyaswa badaye wanashinda, kama ilivyo mfano kwa Nabii Ibrahimi na Mussa.

Palestine karibu watarudisha nchi yao na hao ma zionist watapotea, huwa mwenyezi Mungu anawakusanya sa wamekimbia wacha warudi ili tuwamalize.

Hio Jerusalem ni ardhi ya wafuasi wa Mungu ambao ni Waislam, tutaikomboa tu.
 
Itoshe tu kusema hii vita imejaa propaganda nyingi
 
Sasa mbona watu wanazidi kufa tu
Naam, nani ambae hatakufa?

Ni heri ufe kishujaa huku unapigania haki yako kuliko kuwawachia wazungu wanachota mali zako na kukuwachia mashimo, kisa nini? Uoga wa njaa?

Fikiri japo kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…