Je, harusi ya Adam na Hawa ilifanyikia wapi, nani aliwafungisha ndoa?

Je, harusi ya Adam na Hawa ilifanyikia wapi, nani aliwafungisha ndoa?

Mimi nafanya jema au uovu ni kulingana na aina ya utashi na akili aliyonipa Mungu. Ningekuwa nimejiwekea mwenyewe utashi na akili nisingethuhutu kujiwekea utashi na akili itakayonipelekea nichague uovu bali kwavile sitaki kufanya uovu.

Kwanza inaonekana hujui maana ya AKILI, akili yenyewe tu kwa dhati yake ni kizuizi baada ya utambuzi katika jema na baya. Mwanadamu humtenganishi jambo hili.

Ushasema wewe sababu ni mwanadamu hujakamilika, Mola ametupa utashi na akili na kuchagua ili tuwe huru na tuwe na uhuru wa kuchagua.
 
Wewe Jurjan bila shaka najua kabisa najua hakuna kitu unakichukia Kama kufanya jambo lililo kinyume na Mungu. Lakini pamoja na kuchukia kwako kufanya hivyo vitendo bado inakuwa ngumu kwako kuamka asubuhi mpaka usiku kukuta hujafanya kitendo chochote kilichokuwa kinyume na Mungu. Unaweza kuniambia kwanini?
Ndiyo maana kwa kujua hilo Mola wetu ametupa fursa ya kuomba msamaha na anasehe sana.

Kwahiy nahitimisha kwa kusema ya kuwa :
1. Tumepewa uhuru wa kuchagua
2. Tumepewa uwezo wa kufanya jambo na kujizuia pia.
3. Sababu tunakosea ba hatujakamilika mlango wa toba uko wazi muda wote.

Sasa nikuulize wewe, unataka upewe nini zaidi ya hivyo na kwanini na ili iweje ?
 
Mimi nimekulia katika mazingira ya watu walevi, na wavuta bangi lakini sivuti bangi wala sinywi pombe.
Hili naam lipo linatokea sana tu.
Kuna watu kwanzia familia yao yote ni watu wanaojitahidi kushika Imani ya Mungu na pia katika malezi wanamlea mtoto katika mazingira ya hofu ya Mungu lakini huyo mtu anakuwa muovu kupindukia
Tunachozungumza kwanza tuelewane kuwa huyu mtoto si anao uhuru wa kuchagua lipi afanye na lipi asifanye ama sivyo ?

Hapa mkuu hakuna uhalisia kwakile ulichokijibu. Unataka kuniambia 50-70% ya watu wa Saudia Arabia au Israel au Vatican ni wema kwavile tu nafsi zimelelewa katika mazingira ya kiimani?
Tukizungumzia kwa ujumla huu wakristo wa tanzania hawawezi kuwa sawa na wakristo wa huko vatican.

Waislamu wa tanzania hawawezi kuwa sawa na waislamu wa saudia kwa kujumuisha uwingi wa wema katika jambo fulani.

Kama utapima wema ni kusali msikitini basi bila shaka waislamu wa saudia wanajaa msikitini kuliko tanzania,hivuo waislamu wa saudia watakuwa kuna wema wengi kuliko tanzania.
 
Ndiyo maana kwa kujua hilo Mola wetu ametupa fursa ya kuomba msamaha na anasehe sana.

Kwahiy nahitimisha kwa kusema ya kuwa :
1. Tumepewa uhuru wa kuchagua
2. Tumepewa uwezo wa kufanya jambo na kujizuia pia.
3. Sababu tunakosea ba hatujakamilika mlango wa toba uko wazi muda wote.

Sasa nikuulize wewe, unataka upewe nini zaidi ya hivyo na kwanini na ili iweje ?
Kuna swali limeuliza kwanini? Nahitaji uniambie ni kwanini
 
Kwanza inaonekana hujui maana ya AKILI, akili yenyewe tu kwa dhati yake ni kizuizi baada ya utambuzi katika jema na baya. Mwanadamu humtenganishi jambo hili.

Ushasema wewe sababu ni mwanadamu hujakamilika, Mola ametupa utashi na akili na kuchagua ili tuwe huru na tuwe na uhuru wa kuchagua.

Yaani unasema kabisa kuwa mtu hajakamilika halafu bado unakazana kusema umepewa utashi na akili. Je hiyo akili na utashi itasaidia nini wakati haujawa mkamilifu?
 
Hili naam lipo linatokea sana tu.

Tunachozungumza kwanza tuelewane kuwa huyu mtoto si anao uhuru wa kuchagua lipi afanye na lipi asifanye ama sivyo ?


Tukizungumzia kwa ujumla huu wakristo wa tanzania hawawezi kuwa sawa na wakristo wa huko vatican.

Waislamu wa tanzania hawawezi kuwa sawa na waislamu wa saudia kwa kujumuisha uwingi wa wema katika jambo fulani.

Kama utapima wema ni kusali msikitini basi bila shaka waislamu wa saudia wanajaa msikitini kuliko tanzania,hivuo waislamu wa saudia watakuwa kuna wema wengi kuliko tanzania.
Sijazungumzia wema wa kujaa msikitini, bali nimezungumzia hoja yako kuwa nafsi inalelewa na kukuwa kulingana na mazingira yanayokulia nayo. Nikakwambia jambo hilo sio kweli kwasababu kuna watu wameishi katika mazingira ya ouvu tokea wakiwa watoto mpaka wanakuwa watu wazima lakini wanakuwa watu wema. Na pia kuna watu wanalelewa na kukulia katika mazingira ya kidini lakini ni waovu.
 
Na ikawaje Adam nae akaanza kula sehemu ya mwili wake mwenyewe?
“Mungu akawabarikia, Mungu akawaambia, Zaeni, mkaongezeke, mkaijaze nchi, na kuitiisha; mkatawale samaki wa baharini, na ndege wa angani, na kila kiumbe chenye uhai kiendacho juu ya nchi.”
— Mwanzo 1:28 (Biblia Takatifu)
 
Nikakwambia jambo hilo sio kweli kwasababu kuna watu wameishi katika mazingira ya ouvu tokea wakiwa watoto mpaka wanakuwa watu wazima lakini wanakuwa watu wema.
Hawakuwa na uwezo wa kuufanya uovu huo ?

Yani mfano wewe hukuwa na uwezo wa kuvuta bangi ama kunywa pombe kama vile wenzio mkuu ?

Na hao wanaovuta hawakuwa na uwezo wa kuacha bangi na pombe kama wewe ulivyoacha ?
 
kutokana na kauli hiyo uliyotoa. nikisema Mungu kakusudia kumuumba mtu ili akafanye makosa nitakuwa nakosea?
Si kweli hapa inabidi uthibitishe kauli yako, si uishie kusema tu.

Ndiyo maana tunaambiwa kila mwanadamu ni mkosani, na mbora ya wakosaji ni mwenye kutubia.

Mola amemuumba mja ili amuabudu. Hili lina ushahidi.
 
Yaani unasema kabisa kuwa mtu hajakamilika halafu bado unakazana kusema umepewa utashi na akili. Je hiyo akili na utashi itasaidia nini wakati haujawa mkamilifu?
Nimecheka kidogo. Unayo yaandika yanaonyesha hujui maana ya utashi pia kama ulivyo kuwa hujui maana ya akili.

Utashi unaingia katika ile hali ha mwanadamu kuamua kufanya jambo, akili ni kizuizi cha kumsaidia mja aepukane na uovu baada ya kujua na kufanya wema baada ya kuujua.

Labda utuambie nani alikwambia ya kuwa kuwa na akili na utashi ni ukamilifu ?

Ukiambiwa mwanadamu haja kamilika ujue ya kuwa anakosea na ana madhaifu mengi mno. Lakini amepewa utashi wa kuamua na kutamani na akilo ya kumfanya ajue lipi jema na lipi baya.
 
Si kweli hapa inabidi uthibitishe kauli yako, si uishie kusema tu.

Ndiyo maana tunaambiwa kila mwanadamu ni mkosani, na mbora ya wakosaji ni mwenye kutubia.

Mola amemuumba mja ili amuabudu. Hili lina ushahidi.

Unakataa unasema sio kweli halafu mwishoni unatoa kauli kuwa kila mwanadamu ni mkosaji. Usiwe unajibu majibu ili mradi uwe umejibu bali tafakari majibu yako unayoyajibu yanaashiri kipi.
Umeshathibitisha wewe mwenyewe kwa kusema kila binadamu ni mkosaji.
 
Nimecheka kidogo. Unayo yaandika yanaonyesha hujui maana ya utashi pia kama ulivyo kuwa hujui maana ya akili.

Utashi unaingia katika ile hali ha mwanadamu kuamua kufanya jambo, akili ni kizuizi cha kumsaidia mja aepukane na uovu baada ya kujua na kufanya wema baada ya kuujua.

Labda utuambie nani alikwambia ya kuwa kuwa na akili na utashi ni ukamilifu ?

Ukiambiwa mwanadamu haja kamilika ujue ya kuwa anakosea na ana madhaifu mengi mno. Lakini amepewa utashi wa kuamua na kutamani na akilo ya kumfanya ajue lipi jema na lipi baya.
Utashi na akili inafungwa na kutokuwa na ukamilifu.
 
Unakataa unasema sio kweli halafu mwishoni unatoa kauli kuwa kila mwanadamu ni mkosaji. Usiwe unajibu majibu ili mradi uwe umejibu bali tafakari majibu yako unayoyajibu yanaashiri kipi.
Umeshathibitisha wewe mwenyewe kwa kusema kila binadamu ni mkosaji.
Soma kwa umakini unachokiandika na ujue wapi ulipoegemea.

Sasa ulitaka nisemaje ? Sasa wapi nimepinga kwamba mwanadamu hakosei ?
 
Utashi na akili inafungwa na kutokuwa na ukamilifu.
Sasa mbona unajikanganya mzee ? Nilichokiona ni kuwa hufikiri juu ya unachokiandika.

Kama unajua hilo mbona unaufanya utashi na akili ndiyo ukamilifu wenyewe ?
 
Uta
Ukishajua km walikuwa wazungu,waafrika au waarabu itakusaidia nini???.Muhimu hapo ni kumwamini Mungu na neno lake tu.
Utamwaminije mtu usiye muona? Na asiyeweza kukusaidia lolote? Ni akili ndogo tu zinazo amini kuwa Kuna kitu kinaitwa Mungu ,,story za kusadikika tuu
 
Back
Top Bottom