Je, harusi ya Adam na Hawa ilifanyikia wapi, nani aliwafungisha ndoa?

Je, harusi ya Adam na Hawa ilifanyikia wapi, nani aliwafungisha ndoa?

Naomba niambie inawezekana vipi?

Ikiwa Mungu wakati anamuumba mtu x (mfano Safuher) anajua fika kabisa kuwa huyu Safuher kulingana na jinsi nilivyomuumba nikimpeleka duniani atakuwa mzinzi, jambazi na tapeli na akifa ni motoni moja kwa moja.

Naomba nipe uwezekano wa huyu Safuher ni vipi akaja duniani na kisha nafsi yake ichague tofauti na Mungu alivyotaraji. Nikiwa namaana ya kwamba Safuher aje duniani lakini asiwe mzinzi, jambazi nasio tapeli.
Mola alivyotuumba ametupa na uwezo wa kufanya jambo na kujizuia kufanya jambo fulani.

Kadhalika kujua kwake Allah hakukuzuii wewe kufanya jambo au kutofanya.

Kadhalika kuna kutubia, ukikosea basi utubie, na Allah ni mwingi wa kusamehe.

Ngoja nikuulize swali rahisi : Weee ni kitu gani kinakufanya ufanye uovu na ufanye wema ? Je unajua wewe ni wa motoni au peponi ? Kama huju, kipi kinachokuzuia wewe usifanye wema ukalipwa pepo ?
 
Thibitisha wewe kwanza kuwa adamu na hawa waliwahi kuwepo kweli nasio masimulizi ya juma na uledi
Kijanabona unalimbia kivuli chako mzee ? Twende hatua kwa hatua. Nithibitishie hilo kisha nakuja kuthibitisha hiki.
 
Kijanabona unalimbia kivuli chako mzee ? Twende hatua kwa hatua. Nithibitishie hilo kisha nakuja kuthibitisha hiki.
Nathibitisha hilo kwa sababu vitabu vinavyo ongelea hayo masimulizi vyote vinajipinga pinga vyenyewe na kuna baadhi ya maandiko yake yaakosa logic ..ao kitabu Ambacho Chenyewe kia sifa ya kujipinga kinajivua haki ya kukifanya kiaminiwe
 
Nathibitisha hilo kwa sababu vitabu vinavyo ongelea hayo masimulizi vyote vinajipinga pinga vyenyewe na kuna baadhi ya maandiko yake yaakosa logic ..ao kitabu Ambacho Chenyewe kia sifa ya kujipinga kinajivua haki ya kukifanya kiaminiwe
Hujathibitisha bado. Gusia tukio husika usiende nje ya mada na kujadili yasiyo husika, mara vitabu mara ooh, unapo ulizwa jambo maalumu jibu kwa umaalumu wake, usilete habari za samaki mmoja akioza basi wotw wameoza. Uhitaji kutumia akili kubwa kujua kama wewe hukijui unachokikanusha.

Kama kitabu gani kinajipinga chenyewe ?

Unaposema "logic" una maanisha nini ? Kwamba jambo mpaka akili yako liikubali au likiwiana na uhalisia ndiyo ukweli huo ?
 
Hujathibitisha bado. Gusia tukio husika usiende nje ya mada na kujadili yasiyo husika, mara vitabu mara ooh, unapo ulizwa jambo maalumu jibu kwa umaalumu wake, usilete habari za samaki mmoja akioza basi wotw wameoza. Uhitaji kutumia akili kubwa kujua kama wewe hukijui unachokikanusha.

Kama kitabu gani kinajipinga chenyewe ?

Unaposema "logic" una maanisha nini ? Kwamba jambo mpaka akili yako liikubali au likiwiana na uhalisia ndiyo ukweli huo ?
Hivi wewe Uko sawa kweli kichwani ... Nawezaje kuiongelea story ya adamu na hawa bila kumention hivyo vitabu vya dini wakati hiyo story huko ndio inapotoka ? Wewe umenitaka nilete ushahidi then unanipangia mipaka ya kuutoa huo ushahidi wenyewe uko sawa kweli !?? Au kichwa chako kinawaza mabishano tu wakati wote?
 
Hivi wewe Uko sawa kweli kichwani ... Nawezaje kuiongelea story ya adamu na hawa bila kumention hivyo vitabu vya dini wakati hiyo story huko ndio inapotoka ? Wewe umenitaka nilete ushahidi then unanipangia mipaka ya kuutoa huo ushahidi wenyewe uko sawa kweli !?? Au kichwa chako kinawaza mabishano tu wakati wote?
Tuliza akili kijana na usome nilichokiandika. Narudia tena hujathibitisha hilo.Tumia hivyo vitabu kwa tukio hili la Adamu utuonyeshe udhaifu wa hizi habari. Usikimbie swali la msingi.
 
Tuliza akili kijana na usome nilichokiandika. Narudia tena hujathibitisha hilo.Tumia hivyo vitabu kwa tukio hili la Adamu utuonyeshe udhaifu wa hizi habari. Usikimbie swali la msingi.
Hahaha sasa kama kitabu kinasema kuwa malaika huwa hawana dhambi kwa sababu hawajawahi kumuasi mungu wanacho agizwa wanafuata ...halafu malaika hao hao kitabu kinasema kuwa kabla ya mungu kumuumba binaadamu aliwaagiza wake kuwaangiza majini wote waliopo duniani na malaika wakaja duniani kufanya hivyo wakaua majini wote ila wakambakisha mtoto wa jini mmoja ... Je kama kweli huwa hawafanyi dhambi kitendo cha kumbakisha huyo mtoto wa jini wakati walitumwa waue majini wote wazee vijana mpaka watoto kinaitwaje kama sio kukaidi amri ya mungu... Na kukaidi amri ya mungu sindio kutenda dhambi kwenyewe huko "...inakuwaje kitabu kinasema kuwa malaika hawatendi dhambi hawakaidi amri ya mungu halafu hapo hapo Kinatoa kisa Ambacho Ndani yake kuna uthibitisho kuwa malaika walikaidi amri ya mungu ....

Hivi kitabu kama hicho ukiendelea kukisoma Na kukiamini siutakuwa hauna akili timamu
 
Hahaha sasa kama kitabu kinasema kuwa malaika huwa hawana dhambi kwa sababu hawajawahi kumuasi mungu wanacho agizwa wanafuata ...halafu malaika hao hao kitabu kinasema kuwa kabla ya mungu kumuumba binaadamu aliwaagiza wake kuwaangiza majini wote waliopo duniani na malaika wakaja duniani kufanya hivyo wakaua majini wote ila wakambakisha mtoto wa jini mmoja
Sasa hili mbona liko wazi. Sasa onyesha wapi kitabu kimejipinga kama si akili yako ni ndogo inashindwa kuelewa maandiko.

Malaika walitii amri ya Mola wao na kuja kuua, sasa hapo kujipinga ni wapi na kosa lao liko wapi. ?

Vijana acheni kuruka ruka.
 
... Je kama kweli huwa hawafanyi dhambi kitendo cha kumbakisha huyo mtoto wa jini wakati walitumwa waue majini wote wazee vijana mpaka watoto kinaitwaje kama sio kukaidi amri ya mungu...
Kitabu gani kimeandika haya...?
 
inakuwaje kitabu kinasema kuwa malaika hawatendi dhambi hawakaidi amri ya mungu halafu hapo hapo Kinatoa kisa Ambacho Ndani yake kuna uthibitisho kuwa malaika walikaidi amri ya mungu ....
Kitabu gani hicho kaka, nionyeshe.
 
Sasa hili mbona liko wazi. Sasa onyesha wapi kitabu kimejipinga kama si akili yako ni ndogo inashindwa kuelewa maandiko.

Malaika walitii amri ya Mola wao na kuja kuua, sasa hapo kujipinga ni wapi na kosa lao liko wapi. ?

Vijana acheni kuruka ruka.
We we ndio huna akili tena unazidi kudhihirisha kuwa ni hamnazo ..walitumwa kuja kuuwa majini wote ...wakaja kuua majini ila jini 1 mmoja ambaye ni mtoto walimuacha ..swali ni ilikuwaje waache kumuua huyo jini 1,mtoto au yeye hakuwajini ' kitendo cha kutomuua wakati waliagizwa waue majini wote sio kukaidi amri ya mungu!? Kama jibu ni ndio .. So inakuwaje quran inasema kuwa malaika hawatendi dhambi (hawakaidi amri za mungu) ..hauoni kuwa hicho kitabu kinajikosoa kosoa chenyewe ?😂 😂
 
Quran nenda kasome suratil baqara inahicho kisa au wajifanya haujui!?
Najua kisa kipo wapi, nataka unionyeshe wapi kunako pingana.

Kijana mbona unakimbia swali la msingi na unajifanya hulioni ? Surat al Baqarah inaelezea kisa cha kuumbwa Adamu sasa hizi habari za kutumwa malaika na wakaenda kuua majini wote isipokuwa jini mmoja ndiyo unionyeshe tunayapata katika kitabu gani ?
 
We we ndio huna akili tena unazidi kudhihirisha kuwa ni hamnazo ..walitumwa kuja kuuwa majini wote ...wakaja kuua majini ila jini 1 mmoja ambaye ni mtoto walimuacha ..swali ni ilikuwaje waache kumuua huyo jini 1,mtoto au yeye hakuwajini ' kitendo cha kutomuua wakati waliagizwa waue majini wote sio kukaidi amri ya mungu!? Kama jibu ni ndio .. So inakuwaje quran inasema kuwa malaika hawatendi dhambi (hawakaidi amri za mungu) ..hauoni kuwa hicho kitabu kinajikosoa kosoa chenyewe ?😂 😂
Kijana huelewi wapi ? Weka andiko linalo onyesha kujipinga.
 
We we ndio huna akili tena unazidi kudhihirisha kuwa ni hamnazo ..walitumwa kuja kuuwa majini wote ...wakaja kuua majini ila jini 1 mmoja ambaye ni mtoto walimuacha ..swali ni ilikuwaje waache kumuua huyo jini 1,mtoto au yeye hakuwajini ' kitendo cha kutomuua wakati waliagizwa waue majini wote sio kukaidi amri ya mungu!? Kama jibu ni ndio .. So inakuwaje quran inasema kuwa malaika hawatendi dhambi (hawakaidi amri za mungu) ..hauoni kuwa hicho kitabu kinajikosoa kosoa chenyewe ?😂 😂
Kwahiyo hizi habari za kuua majini wote tunazipata katika Qur'aan au ? Kama katika Qur'aan zipo katika sura gani ?
 
Mola alivyotuumba ametupa na uwezo wa kufanya jambo na kujizuia kufanya jambo fulani.

Kadhalika kujua kwake Allah hakukuzuii wewe kufanya jambo au kutofanya.

Kadhalika kuna kutubia, ukikosea basi utubie, na Allah ni mwingi wa kusamehe.

Ngoja nikuulize swali rahisi : Weee ni kitu gani kinakufanya ufanye uovu na ufanye wema ? Je unajua wewe ni wa motoni au peponi ? Kama huju, kipi kinachokuzuia wewe usifanye wema ukalipwa pepo ?

Kama Mungu amekupa uwezo wa kujizuia basi ile kauli ya kusema binadamu hawajakamilika isiwepo. Mimi nafanya jema au uovu ni kulingana na aina ya utashi na akili aliyonipa Mungu. Ningekuwa nimejiwekea mwenyewe utashi na akili nisingethuhutu kujiwekea utashi na akili itakayonipelekea nichague uovu bali kwavile sitaki kufanya uovu.

Wewe Jurjan bila shaka najua kabisa najua hakuna kitu unakichukia Kama kufanya jambo lililo kinyume na Mungu. Lakini pamoja na kuchukia kwako kufanya hivyo vitendo bado inakuwa ngumu kwako kuamka asubuhi mpaka usiku kukuta hujafanya kitendo chochote kilichokuwa kinyume na Mungu. Unaweza kuniambia kwanini?
 
Kama Mungu amekupa uwezo wa kujizuia basi ile kauli ya kusema binadamu hawajakamilika isiwepo.
Ile kauli ipo sababu mwanadamu hajakamilika na anakosea, na ndiyo maana kuna toba ukikosea unatubia.

Pili, mwanadamu anafanya mambo kwa kujua, kwa kutokujua, kwa makusudi na bahati mbaya. Mangapi watu wanajua nk maovu lakini wanafanya ?
 
Back
Top Bottom