FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
-
- #281
Na ndio maana na mimi nikasema, kafiri baake, kwani shida iko wapi? Na pia nime take the Liberty ya kumuita yeye mbwa kama yeye alivyotake Liberty ya kutuita kafiri, kwani unateseka? Tumejadiliana hapa tokea mwanzo hadi sasa, tumetukanana kwani? Vipi iweje kwa yeye?Kafiri siyo tusi mzee. Ukipewa haki yako ichukue kwani ulichokiandika hakibadilishi ukweli wa kuwa wewe ni KAFIRI.
Kafiri kilugha ni mficha ukweli na kudhihirisha uovu na uongo.
Jifunze kuwa mvumilivu na uwe na moyo wa kiume.
Tuliza akili na usitoe mfano mahala si pake.Wewe ndio unatakiwa udhibitishe kwamba hizo sio hadithi za kutunga, na sio the other way round we jamaa vipi? Mfano mi nakuja halafu nakuambia hapo mbele yako kuna Simba ila humuoni na hakuna namna ya kumuona kamwe, halafu ukinimbia huo ni uongo, mimi nakwambia dhibitisha kwamba ni uongo badala ya mimi nidhibitishe kwamba huyo Simba yupo kweli
Elimu ya mjadala hailei ujinga, anaye kanusha ndiye anawajibika kuthibitisha na si mimi ambaye nina kiri, sababu anaye kanusha tunamdhania ya kuwa ni mjuzi zaidi ya hili jambo.Kwahiyo ningekuona upo makini endapo ungemuuliza na umtake ushahidi yule aliyesema ya kuwa hizi ni hadithi za kutungwa.Ingekuwa ni vyema kama ungeweza kuthibitisha hadithi ni za kweli na sio za kutunga. Chochote kinawezekana..
Tuthibitishie ya kuwa baba ake ni kafiri, ila mimi naweza kuthibitisha ya kuwa wewe ni Kafiri. Sasa msiandike mambi ilimradi mmeandika,bali andikeni ya kweli.Na ndio maana na mimi nikasema, kafiri baake, kwani shida iko wapi? Na pia nime take the Liberty ya kumuita yeye mbwa kama yeye alivyotake Liberty ya kutuita kafiri, kwani unateseka? Tumejadiliana hapa tokea mwanzo hadi sasa, tumetukanana kwani? Vipi iweje kwa yeye?
Sasa kama huna uhakika ulipaswa kwanza uulizeNingekuwa najua ningeuliza?
Ulipaswa uulize walifungia ndoa wapi, na sio walifungia msikitini au kanisani?Nauliza ili nijue walifungia ndoa wapi
Yote unayoyafahamu katika dunia hii umeyasoma kwenye kitabu? Mtu haruhusiwi kujua jambo lolote kwa namna ingine yeyote ile isipokuwa kwa vitabu, ina maana binadamu kabla ya kugunduliwa vitabu walikuwa mambumbumbu kabisa wa maarifa? Mbona unaleta vioja?
Hujitambui aisee, sasa natambua ulileta hoja kufurahisha genge lakini umepotea. Hilo swali lako ulilielekeza wapi? Kuwa makini unapozungumzia jambo, acha kujizongazongaJe, walifungia ndoa kanisani au msikitini?
Pole kwa kicheko kitupu. Ila ushauri wa bure kwako, unapouliza swali usiwe na majibu upate kujifunza. Rekebisha hiyo kasoro.Kwahiyo nikienda kununua malaya wawili na nikalala nao nakuwa nimefunga nao ndoa? Kwa mantiki hiyo unataka kusema wale malaya wa Sinza wameshafunga ndoa ngapi hadi leo hii? Na je zinaa definition yake ni ipi? Maana kila utakaezini nae automatically unafunga nae ndoa, hahah, we jamaa umechanganyikiwa?!
Take care.Wewe ndio unajibu serious kwa kunipa majibu ya rejareja ya kipuuzi? I am serious, huna hoja piga kimya
Ni wajibu wako wewe unayesisitiza hadithi zako ni za kweli kutuaminisha la sivyo tutaendelea kuamini ni za kusadikikaWewe ndio unatakiwa udhibitishe kwamba hizo sio hadithi za kutunga, na sio the other way round we jamaa vipi? Mfano mi nakuja halafu nakuambia hapo mbele yako kuna Simba ila humuoni na hakuna namna ya kumuona kamwe, halafu ukinimbia huo ni uongo, mimi nakwambia dhibitisha kwamba ni uongo badala ya mimi nidhibitishe kwamba huyo Simba yupo kweli
Ndio umeandika nn sasaHujitambui aisee, sasa natambua ulileta hoja kufurahisha genge lakini umepotea. Hilo swali lako ulilielekeza wapi? Kuwa makini unapozungumzia jambo, acha kujizongazonga
Nani kabisha? Sasa jibu hilo swali.Kwahiyo nikienda kununua malaya wawili na nikalala nao nakuwa nimefunga nao ndoa? Kwa mantiki hiyo unataka kusema wale malaya wa Sinza wameshafunga ndoa ngapi hadi leo hii? Na je zinaa definition yake ni ipi? Maana kila utakaezini nae automatically unafunga nae ndoa, hahah, we jamaa umechanganyikiwa?!Pole kwa kicheko kitupu. Ila ushauri wa bure kwako, unapouliza swali usiwe na majibu upate kujifunza. Rekebisha hiyo kasoro.
1 Wakorintho 6 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
¹⁵ Je! Hamjui ya kuwa miili yenu ni viungo vya Kristo? Basi nivitwae viungo vya Kristo na kuvifanya viungo vya kahaba? Hasha!
¹⁶ Au hamjui ya kuwa yeye aliyeungwa na kahaba ni mwili mmoja naye? Maana asema, Wale wawili watakuwa mwili mmoja.
My point exactlyNi wajibu wako wewe unayesisitiza hadithi zako ni za kweli kutuaminisha la sivyo tutaendelea kuamini ni za kusadikika
Tufanye hivi, nakupa hadithi hii fupi “Kichwani kwako kuna kinyesi cha paka na huwezi kukuona wala kukigusa”. Hadithi yangu imeisha. Nani anapaswa kudhibitisha kwamba uwepo wa hicho kinyesi sio uongo, ni ikweli, mimi ninaehadithia au wewe unaesikiliza?Tuliza akili na usitoe mfano mahala si pake.
Nani amesema ya kuwa hizi ni hadithi za kutungwa ? Ina maana huyi aliyesema hivyo ameoteshwa au anajua ya kuwa kweli zimetungwa ?
Sasa ni wajibu wake atuambie amejuaje kama zimetungwa na atupe ushahidi. Usilete mfani mfu, weka mfano ambai hapa ni mahala pake.
Kwanza nimecheka sana. Haya mambo yanahitaji elimu, shida yenu ni ujuaji mwingi.Tufanye hivi, nakupa hadithi hii fupi “Kichwani kwako kuna kinyesi cha paka na huwezi kukuona wala kukigusa”. Hadithi yangu imeisha. Nani anapaswa kudhibitisha kwamba uwepo wa hicho kinyesi sio uongo, ni ikweli, mimi ninaehadithia au wewe unaesikiliza?
AhahahahahNa ikawaje Adam nae akaanza kula sehemu ya mwili wake mwenyewe?
We nae unachuja sasa! Tushakuzoea na hako ka kauli kako ka kutaka wanaokataa kuthibitisha.Mimi ukinithibitishia ya kuwa hizi ni hadithi za kutunga, naacha kutumia hii ID rasmi, na wewe utakuwa shahidi.
Acheni kuandika mambo kwa lengo la kufurahisha nafsi zenu, hali ya kuwa mnajua kabisa hamna ithibati juu ya haya mnayo yaandika.
Haka kajitu ni kapuuzi tu. Kanaera sana kiasi kwamba kameanza kujulikana na katakuwa kanapuuzwa tuWewe ndio unatakiwa udhibitishe kwamba hizo sio hadithi za kutunga, na sio the other way round we jamaa vipi? Mfano mi nakuja halafu nakuambia hapo mbele yako kuna Simba ila humuoni na hakuna namna ya kumuona kamwe, halafu ukinimbia huo ni uongo, mimi nakwambia dhibitisha kwamba ni uongo badala ya mimi nidhibitishe kwamba huyo Simba yupo kweli
Je, walifungia ndoa kanisani au msikitini?
Kwa hiyo akikwambia ameoteshwa ivyo utaamini. Yaani nyie watu wa dizaini hii sijui tuwatupe wapi!!? Na ndio mnaoamini walioawaandikia hadithi za kutungwa kuwa walioteshwa na mnatupa kazi sisi ya kuwathibitishia kuwa hawakuota.Tuliza akili na usitoe mfano mahala si pake.
Nani amesema ya kuwa hizi ni hadithi za kutungwa ? Ina maana huyi aliyesema hivyo ameoteshwa au anajua ya kuwa kweli zimetungwa ?
Sasa ni wajibu wake atuambie amejuaje kama zimetungwa na atupe ushahidi. Usilete mfani mfu, weka mfano ambai hapa ni mahala pake.